Mwijaku: Nikifa nisizikwe mpaka Rais Samia aje kwenye msiba wangu kunizika

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.

Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",

"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku

Screenshot_20240217-175831.jpg


Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1
 
Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.

Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",

"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku

View attachment 2907155

Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1
Shida ya kusifiaaa sana sasa inakuwa utani kwa Rais...
 
Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.

Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",

"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia yangu NISIZIKWE MPAKA MAMA ANGU Samia Suluhu afike ndio nizikwe . Tafadhali mama naomba uje unizike kama nitakutangulia mama" - Mwijaku

View attachment 2907155

Nini maoni yako?
✍️ Mjanja M1
Mjinga na Mwanga mkubwa anaweka mkataba na kifo hakijui kifo huyo Ndege ya Malaysia ilipotea miaka Hadi Leo hakuna mwenye kaburi,Mv Bukoba ilizama Kuna maiti hazikupatikana Hadi Leo

Morogoro magari yalilipuka moto watu wakaungua miili Yao hakuna hata aliyetambuliwa

Anajua kifo kitàmkuta wapi ? Mjinga huyo
 
Back
Top Bottom