Huyo mzee atakuwa na hali mbaya sana si kawaida hiyo,kama hajapigwa 210,basi atakuwa na bahati sanaNamuona komredi Kinana na bakakhashia yake hapo.
Huyo mzee atakuwa na hali mbaya sana si kawaida hiyo,kama hajapigwa 210,basi atakuwa na bahati sana
Tunataka kuona matokeo chanya ya hivyo vikao kwenye maisha ya wakulima na watu wa hali ya chini na sio matajiri na Wafanyabiashara wakubwa.
Hiyo ndio CCM ya Karume na Nyerere.
Kinana hayupo hapo,atakuwa anapambania uhai wake kitandani .Namuona komredi Kinana na bakakhashia yake hapo.
Acha uongo nduguNamuona komredi Kinana na bakakhashia yake hapo.
Makamu wa rais sio mjumbe wa kamati kuu?! Simuoni kwenye picha.Kinana hayupo hapo,atakuwa anapambania uhai wake kitandani .
Chama Chenyewe Kinajiogopa Kinakwenda Kujifia Taratibu Tanzania 🇹🇿Ikulu tena??Si wangeenda kwenye office za CCM. Ila CCM wanadharau sana huu ujinga hauwezi ukuta nchi zingine.