Kuna wale akina sisi ambao tunaona risk kufanya biashara ambayo mazingira yake hapa kwetu hayatabiriki na hubadilika badilika. Je endapo nina 30 M Halafu nafikiria kuweka bond za BOT, je naweza kupata faida ya shilingi ngapi kwa mwaka? Masharti ni yapi?
Nimepiga hesabu liquid fund ya UTT nikaona ni asilimia 1 tu. Je kwa pesa hiyo Benki kuu ya Tanzania inaweza kunipa tija kwa kipindi cha mwaka mmoja? Naomba msaada wakuu
Nimepiga hesabu liquid fund ya UTT nikaona ni asilimia 1 tu. Je kwa pesa hiyo Benki kuu ya Tanzania inaweza kunipa tija kwa kipindi cha mwaka mmoja? Naomba msaada wakuu