little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,385
- 2,459
Zito Jr. Unataka kumaanisha nini?Wivu wa Nini? unaona sawa watu kukanyagana hadi kufa kisa "kukanyaga mafuta" alafu unasema ni mtumishi wa Mungu?!
Zito Jr. Unataka kumaanisha nini?Wivu wa Nini? unaona sawa watu kukanyagana hadi kufa kisa "kukanyaga mafuta" alafu unasema ni mtumishi wa Mungu?!
Unafahamu kuwa hata shetani anaponya? Kwahiyo kufunguliwa kwa watu siyo hoja.regardless mkuu as long as watu wanafungulia maswahibu yao na wanatoa ushuhuda baada ya kujibiwa shida zao sioni shida kabisa... hata huko katholic kuna maji ya baraka nayo yapo tu brother so i believe that Man ever
Acha kukariri..unaikumbuka story ya naamani yule jemedari?
Unaikumbuka habari ya nyoka wa shaba?
Unakumbuka yule kipofu aliyepakwa tope?
Unafahamu wafalme walikua wakipakwa mafuta kwaajili ya upako wa kuwa wafalme?
Kama unaamini hizo story kwanini usiamini la mafuta na maji ya upako?
Kipawa? Ule ni uganga tu kama uganga mwingine. Kwa wakristo Kipawa kipo ndani ya mtu sio mafuta/keki Wala kutoa fedha Ili uombewe/appointment na MMtu
Acha uongo mkuu mbona anawaambia ambao hawajamkiri Yesu kuwa mwokozi huwaabia wakiri.Kwani waganga/wachawi hawaponyi watu? The thing is siyo mtumishi wa Mungu maana main main objective ya utumishi ni watu kuokoka umewahi ona anahubiri watu waokoke au wabatizwe?? Yeye anataka tu hata Mpagani aje apewe mafuta aendelee na Upagani wake wala Hana shida na wokovu wake!!
So nsingependa kuona anaitwa mtumishi wa Mungu.
Brother yote ni maamuzi kuwa Chadema , ACT kwa Enterprener Zitto, au CCM au TLTP kama vile wewe umeamua kutokua KKKT, au TAG... Du!
Kaaazi kweli kweli afu ukute mtu kama wewe upo chama cha Mambuzi yaani shida tupu
Unapigwa kotekote halafu unasifia kwa Amini
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafahamu kuwa hata shetani anaponya? Kwahiyo kufunguliwa kwa watu siyo hoja.
Je, wajua kwamba jina Yesu linatumikq hata ktk nguvu za giza? Kwahiyo kutajwa kwa jina la Yesu kisikuzubaishe.
Mwamposa mhuni Kama wahuni wengine. Umewahi kumshuhudia akishuka ama kupata gari lake? Kama bado tuulize sisi tuliyowahi kuwa waambata wake tukujuze. Unaibiwa wewe.
Unakumbuka Yesu mwenyewe alisema tukiwa na imani tunaweza fanya makubwa zaidi hata aliyofanya?Kipindi hicho Yeau alikuwa hajadhirishwa
Soma kwa umakini Ebrania Sura ya 5
Inaonyesha huwa unasoma biblia lakini huilewi kama yule Towashi aliyebatizwa na Filipo.Kuomba Kuthibitishia si ndiyo mojawapo ya Matumizi ya hiyo akili niliyonayo Mkuu au...... hahahahahah
kabisa na kila ibada yake hilo ndiyo tukio la Pili kutoka MwishoAcha uongo mkuu mbona anawaambia ambao hawajamkiri Yesu kuwa mwokozi huwaabia wakiri.
Ulishawahi kuhudhuria mikutano yake ama kusikiliza mahubiri yake??Kwani waganga/wachawi hawaponyi watu? The thing is siyo mtumishi wa Mungu maana main main objective ya utumishi ni watu kuokoka umewahi ona anahubiri watu waokoke au wabatizwe?? Yeye anataka tu hata Mpagani aje apewe mafuta aendelee na Upagani wake wala Hana shida na wokovu wake!!
So nsingependa kuona anaitwa mtumishi wa Mungu.
Wewe utakuwa na maana yako binafsi ya neno "kuponya"ni mganga yupi wa Kienyeji ambaye amemponya mtu
Muulize kama Yesu aliwahi batiza mtu?..chamsingi watu wahubiriwe kweli waponywe shida zao nao watalihimidi jina la Mungu.Mimi Kila siku nasikia wale ambao wanataka kumrudia Mungu anawaombea na akimaliza anawambia nendeni kwenye dhehebu lolote lilokaribu yako na muone mchungaji ili uendelee kuishi kiriho sasa Mkuu yeye anazunguka nchi nzima atawabatiza wangapi?
Kupanda Gari akitokea wapi? Ila kushuka huwa namuona ila kwa kuwa kunakuwa na watu wengi na ulinzi mkubwa wakiwepo Polisi, Usalama na wengine na walinzi wake huwezi ukaona kwa kuwa linakuwa ni jambo la dakika chache na anakuwa alutareni.. hata wakati wa kuondoka vivyo hivyo ni kama alivyo mdogo wako Diamond.... Sioni hilo unaweza liambatanisha na huo uhuni unao usemaUnafahamu kuwa hata shetani anaponya? Kwahiyo kufunguliwa kwa watu siyo hoja...
Hivi wale Wana mazingaubwe wameendaga wapi siku hizi mana siwaskii mitaan Wala mashuleni!
Si uweke wazi unaficha nini sasa.?Unafahamu kuwa hata shetani anaponya? Kwahiyo kufunguliwa kwa watu siyo hoja.
Je, wajua kwamba jina Yesu linatumikq hata ktk nguvu za giza? Kwahiyo kutajwa kwa jina la Yesu kisikuzubaishe.
Mwamposa mhuni Kama wahuni wengine. Umewahi kumshuhudia akishuka ama kupata gari lake? Kama bado tuulize sisi tuliyowahi kuwa waambata wake tukujuze. Unaibiwa wewe.
Sawa na maana uliyokuwa umeimanisha kwenye maada yako huko nyuma Mkuu... hata Ndugu yetu Mshana Jr katika maandiko yake hajawahi thibitisha kuwa Waganga wa kienyeji wanaponyaWewe utakuwa na maana yako binafsi ya neno "kuponya"
Anadanganya watanzani wenye kuamini katika miujiza SADHuyu Nabii hadi kukubaliwa kufanya mkesha Benjamini Mkapa.. haki he has something in him God Bless him big time
Huyu hawezi sema lolte basi tu ...Ngoja tuendelee mbele huko atasema tuMuulize kama Yesu aliwahi batiza mtu?..chamsingi watu wahubiriwe kweli waponywe shida zao nao watalihimidi jina la Mungu.
#MaendeleoHayanaChama
Amefanikiwa kupata wapuuzi wanaoamini katika MIUJIZAJF
Kwa heshima na taadhima ningependa kujua Nabii Mwamposa amefikaje fikaje hapo alipo na namna Mungu anavyoendelea kumtumia.. nadhani ni muhimu watumishi Hawa wawe wanatuwekea historia zao ili kuweka mazingira halisi ya mahusiano yao na Mungu wetu kabla ya kufikia hatua hiyo...wengine utakuta waliishi maporini na milimali wakimtafuta Mungu kabla hawajafanikiwa