jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,889
Acha kukariri..unaikumbuka story ya naamani yule jemedari?Kipawa? Ule ni uganga tu kama uganga mwingine. Kwa wakristo Kipawa kipo ndani ya mtu sio mafuta/keki Wala kutoa fedha Ili uombewe/appointment na Mtume!!
Unaikumbuka habari ya nyoka wa shaba?
Unakumbuka yule kipofu aliyepakwa tope?
Unafahamu wafalme walikua wakipakwa mafuta kwaajili ya upako wa kuwa wafalme?
Kama unaamini hizo story kwanini usiamini la mafuta na maji ya upako?