Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

Huku viongozi waandamizi wakianza kuwasili hapa Mwanza wakiongozwa na Kamanda wa anga Freeman Mbowe, jiji hilo linatarajiwa kutikisika kesho pale atakapowasili mwanasiasa mashuhuri baada ya Mwl Nyerere, Edward Ngoyai Lowassa kuhudhuria vikao vikuu vya chama.
Taarifa za ndani zinasema nguri huyo wa siasa za nchi hii atawasili Ijumaa mchana au Jumamosi asubuhi. Baada ya hapo Jumapili jioni atauhutubia viwanja vya furahisha kushukuru wananchi wa Mwanza kwa kumpa kura nyingi na kutambulishwa kwa katibu mkuu mpya. Tv nyingi za nchi hii zitakuwa live siku hiyo.

"Politics is everything"
 
Aisee mimi niko mikoani,
Sema unaweza tafuta, vinaitwa.
The Secret Works of the Soviet Intelligence Agents.
New lies for old- Anatoliy Golitysn.
The deception of the Perostroika- Hiki kinaongelea mpango wa KGB na Andropov kuangusha USSR ili wamdanganye USA apeleke teknolojia yake kwao. Kimeandikwa na Soviet Defector Anatoliy Golitysn.
Mkuu hebu attach hivyo vitabu basi watu tuongeze maarifa.
 
Unajua mwanadamu akizeeka hurudi kama mtoto mdogo? Damian kisha zeeka kwa sasa hana tofauti na mtoto mdogo na ndiye anae jua kuwa Lowasa alishinda.
Ha ha mkuu halafu wanajifanya wanauchungu Na Seif, pembeni ya mada
 
Watu wengine kwa kupenda kuandika upuuzi,unawezaje kudai eti mwanza itatingishika kwa ujio wa mwanasiasa mufilisi na aliyekosa muelekeo!!
Hivi kama Lowassa si tishio kisiasa, hebu jiulize ni kwa nini Majaliwa 'anamgwaya' hadi kumpiga stop kuhutubia mikutano ya hadhara ya kuwashukuru wananchi waliompigia kura?

Hivi kama Lowassa sio tishio niekeze ni nani aliyeleta chachu ya mabadiliko hadi majiji ya Arusha, Mbeya, Moshi, Tanga, Iringa na Dar yote hiyo kuwa chini ya Ukawa?

Hivi kama Lowassa sio tishio, ni nani aliyesababisha jiji kuu la Dar, kwa mara ya kwanza tokea nchi yetu irejee kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 liwe chini ya himaya ya Ukawa?
 
Hivi kama Lowassa si tishio kisiasa, hebu jiulize ni kwa nini Majaliwa 'anamgwaya' hadi kumpiga stop kuhutubia mikutano ya hadhara ya kuwashukuru wananchi waliompigia kura?

Hivi kama Lowassa sio tishio niekeze ni nani aliyeleta chachu ya mabadiliko hadi majiji ya Arusha, Mbeya, Moshi, Tanga, Iringa na Dar yote hiyo kuwa chini ya Ukawa?

Hivi kama Lowassa sio tishio, ni nani aliyesababisha jiji kuu la Dar, kwa mara ya kwanza tokea nchi yetu irejee kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 liwe chini ya himaya ya Ukawa?
 
Umenena vema Mkuu!! Baada ya Nyerere ni Lowasa pia hakuna Kiongoz mwenye Heshima kubwa kwa Afrika Mashariki kumzid Ngoyai Edward Lowasa...Rais anaetambuliwa na Mungu kwa Tanzania
Akili kama hizi zinawafanya watu kutoka sehem atokeapo huyu fisadi waolewe huko ughaibuni
 
Huku viongozi waandamizi wakianza kuwasili hapa Mwanza wakiongozwa na Kamanda wa anga Freeman Mbowe, jiji hilo linatarajiwa kutikisika kesho pale atakapowasili mwanasiasa mashuhuri baada ya Mwl Nyerere, Edward Ngoyai Lowassa kuhudhuria vikao vikuu vya chama.
Taarifa za ndani zinasema nguri huyo wa siasa za nchi hii atawasili Ijumaa mchana au Jumamosi asubuhi. Baada ya hapo Jumapili jioni atauhutubia viwanja vya furahisha kushukuru wananchi wa Mwanza kwa kumpa kura nyingi na kutambulishwa kwa katibu mkuu mpya. Tv nyingi za nchi hii zitakuwa live siku hiyo.
Hivi kwa sasa mnazungusha viuno au bado mnazungusha mikono kurudi nyumba?
 
Politically, Lowassa is finished!

Kwa sasa ameungana na Augustino Mrema katika safari ya kisiasa.

Hizi zingine ni porojo na usanii kama ilivyo fani yake!
Sasa wasiwasi wako ni nini? Kama LOWASSA amekwisha? Si utulie? ya nini kumtajataja kila sekunde?
Mbona huyo Mrema wenu hamumtajitaji?
 
Akili kama hizi zinawafanya watu kutoka sehem atokeapo huyu fisadi waolewe huko ughaibuni
Ingekuwa hivyo wewe ungeshaolewa kitambo sana! Maana huna breki wewe, wala hukujaaliwa kukataa jambo!
 
Hivi kwa sasa mnazungusha viuno au bado mnazungusha mikono kurudi nyumba?
Tumeamua sasa kuzungusha kiingereza kibovu alafu tunasifiwa kwa kujua kiswahili cha ...
 
Back
Top Bottom