Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

Mwanza itatingishika Lowassa atakapowasili kesho!

Aisee ningekuwepo Mwanza nisingekosa hiii ,nampenda Lowassa hata iweje hata mumpake mavi mwili mzima nampenda tu
 
E
Huku viongozi waandamizi wakianza kuwasili hapa Mwanza wakiongozwa na Kamanda wa anga Freeman Mbowe, jiji hilo linatarajiwa kutikisika kesho pale atakapowasili mwanasiasa mashuhuri baada ya Mwl Nyerere, Edward Ngoyai Lowassa kuhudhuria vikao vikuu vya chama.
Taarifa za ndani zinasema nguri huyo wa siasa za nchi hii atawasili Ijumaa mchana au Jumamosi asubuhi. Baada ya hapo Jumapili jioni atauhutubia viwanja vya furahisha kushukuru wananchi wa Mwanza kwa kumpa kura nyingi na kutambulishwa kwa katibu mkuu mpya. Tv nyingi za nchi hii zitakuwa live siku hiyo.
Eti mwanasiasa maarufu baada ya Nyerere. Yani unamlinganisha Edo na Nyerere??? Hatari Kubwa!!!
 
Chadema acheni kudanganya wananchi na thread mbuzi kama hizi ....siasa za matukio ni aibu tu ....hata issue ya katibu inafanyiwa siasa .....watu wanaandaliwa kushangilia tu ....endeleeni kudanganyana na wasiojielewa ....
 
Lowasa ni moja ya Lulu za Taifa letu
 
Back
Top Bottom