Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,590
- 19,842
Watu wanaendelea kukataa kuvuka mwaka 2022 jamani.
BTW, May his soul R.I.P
BTW, May his soul R.I.P
Safi sana. Bora wapungue tu angalau tule mara moja kwa siku.Bwana harusi ajinyonga akisubiriwa ukumbini
Mwanza. Sherehe ya harusi kati ya Swadiku Abas (50) na mke wake, Elieth Rwegashora (40) ambao ni wakazi wa Mtaa wa Zenze eneo lililopo Kiseke wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, iligeuka msiba baada ya bwana harusi kujinyonga muda mfupi
Sasa alilazimishwa kuoa?Ndoa ni utapeli tu, stress za ndoa zimemuua mwamba.
je ? unadhani nani anahusika na mauaji? na kwa sababu gani?Trust me, Kuawawa uyo,
uchunguz ufanyike,haiingii akilini[emoji848]