Hakika kuna ushirikina sio mambo ya kawaidaMambo mengine yatakuwa yanaambatana na ishu za kishirikina-yaani wapendanao mnajikuta tu mnafarakana at the peak of your happiness yaani Dah 😭😭😭
Kweli KabisaInawezekana kajinyonga au kanyongwa
Uchunguzi huo watafanya FBI?,km ni huu wa kibongo bongo,Sijui lkn.Usimzingizie marehemu. Uchunguzi utatujuza chanzo ninin