Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Japokuwa ni mwana Ukawa , mawazo yangu mimi 2020 Lowassa asisimamishwe kama mgombea wa Kiti cha Urais . Kwa jinsi Watanzania walivyojazwa sumu za kuchukia matajiri au watu walio na uwezo kimaisha. Ukawa tuliangalien hili kwa jicho la tatu.
 
Nakumbuka aliwahi kufanya mahojiano na JK (2008) live kutoka Ikulu ya Chamwino Dodoma. Katika mahojiano yale alimwuliza JK ni kosa gan anajutia katika historia ya uongozi wake? JK alijibu anajutia aliwahi kumfukuza kazi mtu mmoja kwa kusikiliza maneno ya watu ya uongo. Jibu JK linaweza kuwa funzo kwa JPM.
 
Japokuwa ni mwana Ukawa , mawazo yangu mimi 2020 Lowassa asisimamishwe kama mgombea wa Kiti cha Urais . Kwa jinsi Watanzania walivyojazwa sumu za kuchukia matajiri au watu walio na uwezo kimaisha. Ukawa tuliangalien hili kwa jicho la tatu.
Asigombee kwakuwa tu ni tajiri?! What a stupid observation!
 
kwa hiyo kuna watu wa zamani walisoma magoma kitakita shule ya msingi baadae wakaenda sekondari za kata za enzi hizo kiasi 10 Downing street haipandi!!!!
mkuu tunywe maji mengi maana hapa mkojo unahusu.
 
Ukitaka kuona chuki za wantanzania soma comment za huu uzi
 
Back
Top Bottom