Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,769
- 22,060
ghOshi ulinsenge faza,......
......hamalolo e Noah jashikile kokayain'gweh
Ngw'ana Kabula
ghOshi ulinsenge faza,......
......hamalolo e Noah jashikile kokayain'gweh
Ile VOA, Star TV ni kipitio tu,labda wasingizie mitamboMaagizo toka juu ,yata sababisha Diallo azuie mahojiano hayo kurushwa Star tv
Pamoja
Muulize dingi yako
Maswali mengine.ivi kwann Mh Lowassa akipiga picha mikono lazima aiwekee kwny mapaja yke?
G.O.M.D
Hilo jibu linakutosha, hata kama umetukana utajua mwenyewe.kwa hiyo alishinda? ndama wa nhumbu weee!!
Ngw'ana Kabula
You nany stop your nonsense in this thread. This thread has been perused by international and intelligent individuals who pay heed to Lowasa
ki ki ki wasomi wa zamani hao, ukiziona picha za zamani za mzee wa PHD kilaza, anafanana sana na binadamu wa kale.Lumumba wamejaa division zero tuu na phd za kuhonga,,,,,,,Taratibu ana zero Azania,Bashite ana zero ...... Makinikia ana phd ya ugoko ,,,,,DDDDDD,,,,,,Ole Sendeka ana zero.......DDD.....
ugali moto,mboga moto tufanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naomba utuwekee division zero ya Mbowe kwani tangu tumeanza kuzikia hamna jasiri anayeweza kutuwekea? Maana ya Ole sendeka timeiona3ya Mbowe tunasikia na hiyo pia tungependa tuione karne ya ki jiditali watu wanaongea na evidencemwenyekiti wa nyumbu ana divisheni ngapi kweli!! chama kuongozwa na sifuri inaakisi wazi kuwa wanachama wake nao ni sifuri tu.
Ngw'ana Kabula
"...you better keep fidelity to your man.." you perhaps think everyone is of your fadded type...then I can't devote a time arguing vs a wilbeast.......
.....haambuli kitu hapo huyo Mtumwa. Ibadakuli
Du!
Wewe tatizo ulishalishwa shangiliashangilia for nothing!! Sasa kila kitu kwako unadhani tuko kwenye uchaguzi. Interview na kwenda ikulu wapi na wapi!? Shem on you!![emoji56] [emoji56] [emoji56]Hakika sifahamu!Vipi,labda baada ya usahili huo Eddo atakuwa Rais?
Sema ulikataaa, usituchanganye na kundi LA dhambi!! Tunamheshimu Mungu wetu.......
......inakuuma eehh
Ulitaka aweke wapi?! Au kwenye mapaja yako.!!!!ivi kwann Mh Lowassa akipiga picha mikono lazima aiwekee kwny mapaja yke?
G.O.M.D
Daaaa, hii imenikosha sana. Hongera sana kwa ubunifu, ingawa pia hii ni Sifa ya umaskiniKingereza bila pesa ni kelele.....hahahaha!
The drama continues.Kuna maswali mawili kashindwa kuyajibu
1.Did they abridge your name from the LIST OF SHAME?
2.Is there any chadema leader showing up to compete with you in the 2020 general elections?
Ningeweza kuwarushia kipande ya hiyo clip ila naogopa kumaliza utamu.