Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
......
......Lowassa TheDon
......Lowassa TheDon
,..mwishowe utaondoka na ma-V...Hahahahaha!Kuchamba kwingi....
Kweli kabisa unenayo!Hata ndg yetu Eddo,pamoja na kuutafuta kwa jasho na damu km hao u-Rais atausikia tu hadi mwisho wa....yake!Kwako wewe urais ni issue ya kufa na kupona? Nduguvyako Odinga toka enzi za baba yake wanafikiri urais ni issue ya kufa na kupona na hawatakaa waupate.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima, maana tangu early 80's yupo hukoAna English ya kuotea mbali
asailiwe ili iweje, pelekeni huko maigizo ya mic na kamera + editing ya mahojiano, hayasaidii lolotejk naye ashawahi kuwa interviewed na shaka,najiuliza bwana yule lini atasailiwa
Ni Polepole......
......Simba mwendapole Thelaigwanan Muzee ya Pamba
kwa sababu ni ya kwake,unataka akuwekee weweivi kwann Mh Lowassa akipiga picha mikono lazima aiwekee kwny mapaja yke?
G.O.M.D
Chadema ya wanafiki na wala matapishi yao wasio na kumbukumbu!!? hahahaaMungu ibariki Chadema .
TCRA ni kitu local tuu mkuu,isikutishe na TCRA hawana mtambo wa kusema wakiuzuia Star tv hairuki,wao ni kodi na kufuata masharti yao tuuu,VOA ni technology ni kila kitu mkuu.Pia,kwa vile hufahamu star tv bila Tcra haiwezi kwenda hewani!
A.k.A mzee wa uchumi wa michikichi nchi nzimaSi kila mgeni ni mgeni!Anyway,tunamjadili rais wa mioyo ya watu-hahahahaha!
[emoji1] me nime hoji tu labda kuna maana kwny ukaaji wa mtukwa sababu ni ya kwake,unataka akuwekee wewe
Ngw'ana Kabhu,yaaah!Pole pole namhala!Chadema ya wanafiki na wala matapishi yao wasio na kumbukumbu!!? hahahaa
Ngw'ana Kabula
Eddo yeye lengo lilikuwa kugombea na kuona watanzania wanamkubali to what extent,na hilo lilitimia ndo maana mzee kawasamehe hata watesi wake.Waliomtakia kifo karibia wote wametangulia mbele ya haki,mzee amewasamehe na sasa anakula pension zake ,hana presha na urais tena.Kweli kabisa unenayo!Hata ndg yetu Eddo,pamoja na kuutafuta kwa jasho na damu km hao u-Rais atausikia tu hadi mwisho wa....yake!
mwenyekiti wa nyumbu ana divisheni ngapi kweli!! chama kuongozwa na sifuri inaakisi wazi kuwa wanachama wake nao ni sifuri tu.Lumumba wamejaa division zero tuu na phd za kuhonga,,,,,,,Taratibu ana zero Azania,Bashite ana zero ...... Makinikia ana phd ya ugoko ,,,,,DDDDDD,,,,,,Ole Sendeka ana zero.......DDD.....
ugali moto,mboga moto tufanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa safari ya matumaini-hahaha!A.k.A mzee wa uchumi wa michikichi nchi nzima
Ngw'ana Kabula
Hata hivyo Ndugu Shaka ni ugandanLazima, maana tangu early 80's yupo huko
invest what you are willing to lose
Ndege yetu inaingia lini?Waziri mkuu aliejihuzuru kwa kashfa ya ufisadi.