Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Itakua lini mkuu sitaenda discussion siku hiyo ili niweze kumsikiliza nguli wa siasa za ushindani na za kistaarabu hapa East Africa
Kuna maswali mawili kashindwa kuyajibu
1.Did they abridge your name from the LIST OF SHAME?
2.Is there any chadema leader showing up to compete with you in the 2020 general elections?
Ningeweza kuwarushia kipande ya hiyo clip ila naogopa kumaliza utamu.
 
Itakua lini mkuu sitaenda discussion siku hiyo ili niweze kumsikiliza nguli wa siasa za ushindani na za kistaarabu hapa East Africa
Kwa Akili hizi hata hiyo elimu haikusaidiii

Kwanza nikulizie AGOA ni nini? Mnalia kila siku Ajira ?
 
mwenyekiti wa nyumbu ana divisheni ngapi kweli!! chama kuongozwa na sifuri inaakisi wazi kuwa wanachama wake nao ni sifuri tu.

Ngw'ana Kabula
Umemuona huyo mmoja tuu,lkn huyo ni bingwa kisiasa na kiuchumi,,,,unamlinganisha na nani kiuchumi nankisiasa? Bila mahakama bila polisi bila Wakurugenzi madc nk,ameiongoza Chadema hadi kuisimamisha nchi hapo utasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
muzee na busara zake...tumekosa bahati ya kuwa na prez kwenye hekima na maono ya hali ya juu... huyu sio zee la visasi ILA Ni mwajibikaji asiye na kukrupuka katika uongozi na ubabe wa kishamba
 
Back
Top Bottom