alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Baada ya kusailiwa huwa kuna malipo pengine?jk naye ashawahi kuwa interviewed na shaka,najiuliza bwana yule lini atasailiwa
Baada ya kusailiwa huwa kuna malipo pengine?jk naye ashawahi kuwa interviewed na shaka,najiuliza bwana yule lini atasailiwa
[
Mwandishi Nguli na mtangazaji wa Kipindi Maarufu cha Straight Talk Africa-Shaka Ssali amemtembelea Edward Lowasa waziri mkuu mstaafu
Shaka amefarijika sana kuonana na kufanya mazungumzo na Mh.Lowasa na kuweka wazi kuwa amekutana na The Most Tolelant Politician.
Ndugu Shaka amefanya mazungumzo ya kina na Lowasa kuhusu maoni yake juu ya demokrasia ya Tanzania. Mahojiano hayo yatarushwa kupitia Star TV katika kipindi chake cha Straight Talk Africa
Anaungurumia ng'ombe wake alioahidi kuwachunga akishindwa uchaguzi mkuu.....
......Anaunguruma
dah,ina maana hujui umuhimu wa hizi interview za tv za kimataifa?Baada ya kusailiwa huwa kuna malipo pengine?
Lazima watarusha hicho kipindi maana ni mkataba kati yao na VOA. VOA ni mmoja wa wadhamini wakubwa wa Star Tv na masharti ni kurusha vipindi vyao kama ilivyo kwa BBC.Yakirushwa hayo mahojiano na Star tv labda siyo .....
Hakika sifahamu!Vipi,labda baada ya usahili huo Eddo atakuwa Rais?dah,ina maana hujui umuhimu wa hizi interview za tv za kimataifa?
kumbe na-argue na lumumba buku 7!!!kwaheriHakika sifahamu!Vipi,labda baada ya usahili huo Eddo atakuwa Rais?
Yangu macho!Lazima watarusha hicho kipindi maana ni mkataba kati yao na VOA. VOA ni mmoja wa wadhamini wakubwa wa Star Tv na masharti ni kurusha vipindi vyao kama ilivyo kwa BBC.
......Kingereza bila pesa ni kelele.....hahahaha!
Mwendawazimu tu huyo jamaa, alitumika pia kujaribu kumuweka lowassa ikulu ila watanzania tulikataa.View attachment 581447
View attachment 581448
Mwandishi Nguli na mtangazaji wa Kipindi Maarufu cha Straight Talk Africa-Shaka Ssali amemtembelea Edward Lowasa waziri mkuu mstaafu
Shaka amefarijika sana kuonana na kufanya mazungumzo na Mh.Lowasa na kuweka wazi kuwa amekutana na The Most Tolelant Politician.
Ndugu Shaka amefanya mazungumzo ya kina na Lowasa kuhusu maoni yake juu ya demokrasia ya Tanzania. Mahojiano hayo yatarushwa kupitia Star TV katika kipindi chake cha Straight Talk Africa
Hahahahaha,karibu la- Merci hotel Kigali upate japo...ndg!kumbe na-argue na lumumba buku 7!!!kwaheri
....Baada ya kusailiwa huwa kuna malipo pengine?
Bila lolote...hahahaha!......
......Lowassa beyond the Boundaries
......Mwendawazimu tu huyo jamaa, alitumika pia kujaribu kumuweka lowassa ikulu ila watanzania tulikataa.
Rejea;kingereza bila pesa ni kelele!....
...Shaka hawezi kuja lumumba kiingereza metii
wewe ndo ulimpokea lipumbavu kigali kipindi kile?Hahahahaha,karibu la- Merci hotel Kigali upate japo...ndg!
.....Anaungurumia ng'ombe wake alioahidi kuwachunga akishindwa uchaguzi mkuu.
Ingizo jipya , karibu sana Jf , umeingia ijumaa iliyopita lakini povu kibao !Rejea;kingereza bila pesa ni kelele!