Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

ivi kwann Mh Lowassa akipiga picha mikono lazima aiwekee kwny mapaja yke?

G.O.M.D
 
Shaka Ssali very humble man,

Nilihudhuria mkutano usdm last week, nikapata dakika 5 za kuongea nae, yaani Africa bado tunawazalendo na si lazima uwe mwanasiasa ili kutetea waafrica wenzako

invest what you are willing to lose
 
itabidi awepo mtafasiri hapo, leigwani hajuagi kutema yai litakalofanya watu wa VOA dunia nzima wamuelewe. wagombea wa 2015 wote kwa yai ilikuwa shida tu.
 
Shaka Ssali very humble man,

Nilihudhuria mkutano usdm last week, nikapata dakika 5 za kuongea nae, yaani Africa bado tunawazalendo na si lazima uwe mwanasiasa ili kutetea waafrica wenzako

invest what you are willing to lose
Ana English ya kuotea mbali
 
itabidi awepo mtafasiri hapo, leigwani hajuagi kutema yai litakalofanya watu wa VOA dunia nzima wamuelewe. wagombea wa 2015 wote kwa yai ilikuwa shida tu.
.....
.....weehh unazani makinikia hiyo?
 
ila shaka English yake lol cjui alisomaga semantic na kina SVOCA nikimsikiaga tu nakumbuka advance
 
Mwendawazimu tu huyo jamaa, alitumika pia kujaribu kumuweka lowassa ikulu ila watanzania tulikataa.
Kwani yeye ni mpiga kura au alikuwa msaidizi wa Lubuva? Mbona mnapenda kusingizia watu uongo?
 
Back
Top Bottom