Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

"...you better keep fidelity to your man.." you perhaps think everyone is of your fadded type...then I can't devote a time arguing vs a wilbeast.

Ngw'ana Kabula
......
......yaandike hayo maneno kwenye Noah itapendeza sana
 
Nakumbuka aliwahi kufanya mahojiano na JK (2008) live kutoka Ikulu ya Chamwino Dodoma. Katika mahojiano yale alimwuliza JK ni kosa gan anajutia katika historia ya uongozi wake? JK alijibu anajutia aliwahi kumfukuza kazi mtu mmoja kwa kusikiliza maneno ya watu ya uongo. Jibu JK linaweza kuwa funzo kwa JPM.
alifukuza Fisadi papa
 
Nyie nyumbu mnashida sana, Chenge akihamia kwenu mtamsifia sana. Eti uchaguzi wa 2015 walijigamba kuchukua nchi saa nne asubuhi maana walikuwa na mawaziri wakuu wastaafu wawili na kubwa zaidi aliyepata kuwa mkuu wa idara ya usalama wa taifa, masikini hawa watu nani kawaroga?
 
Angemhoji Lissu ingalikuwa balaa na kusababisha ongezeko la idadi ya kesi zilizoko mahakamani zinazomhusu Lissu. Lowassa is a tolerant politician while Lissu is a crazy politician. Shaka ni mwanahabari mwelevu, hawezi kufanya mahojiano na crazy politicians.
 
jk naye ashawahi kuwa interviewed na shaka,najiuliza bwana yule lini atasailiwa
ukute ilikuwa chance yake sasa siunajua kipindi ni cha umatemate labda akamuomba atumie matemate nadhani shaka akakataa ndiyo kwenda kwa mzee wa jubilee
 
Belt up!I can't bugger about you berk and shitty boy from Lumumba.Let me shoot to my stout fellow who know who is Lowasa

nani alikufundisha hizi broken, haya nenda kwa ras simba mkasome course moja na mwenyekiti wako.

Ngw'ana Kabula
 
Back
Top Bottom