Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Mwandishi Nguli Shaka Ssali amtembelea Edward Lowassa

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,187
Reaction score
138,486
21231017_10154803238982823_6526243191606460436_n.jpg

21230893_10154803238987823_113440485277884018_n.jpg


Mwandishi Nguli na mtangazaji wa Kipindi Maarufu cha Straight Talk Africa-Shaka Ssali amemtembelea Edward Lowasa waziri mkuu mstaafu

Shaka amefarijika sana kuonana na kufanya mazungumzo na Mh.Lowasa na kuweka wazi kuwa amekutana na The Most Tolerant Politician.

Ndugu Shaka amefanya mazungumzo ya kina na Lowasa kuhusu maoni yake juu ya demokrasia ya Tanzania. Mahojiano hayo yatarushwa kupitia Star TV katika kipindi chake cha Straight Talk Africa
 
View attachment 581447
View attachment 581448

Mwandishi Nguli na mtangazaji wa Kipindi Maarufu cha Straight Talk Africa-Shaka Ssali amemtembelea Edward Lowasa waziri mkuu mstaafu

Shaka amefarijika sana kuonana na kufanya mazungumzo na Mh.Lowasa na kuweka wazi kuwa amekutana na The Most Tolelant Politician.

Ndugu Shaka amefanya mazungumzo ya kina na Lowasa kuhusu maoni yake juu ya demokrasia ya Tanzania. Mahojiano hayo yatarushwa kupitia Star TV katika kipindi chake cha Straight Talk Africa
Kweli ni most Tolelant!!kwi kwi kwi
 
View attachment 581447
View attachment 581448

Mwandishi Nguli na mtangazaji wa Kipindi Maarufu cha Straight Talk Africa-Shaka Ssali amemtembelea Edward Lowasa waziri mkuu mstaafu

Shaka amefarijika sana kuonana na kufanya mazungumzo na Mh.Lowasa na kuweka wazi kuwa amekutana na The Most Tolelant Politician.

Ndugu Shaka amefanya mazungumzo ya kina na Lowasa kuhusu maoni yake juu ya demokrasia ya Tanzania. Mahojiano hayo yatarushwa kupitia Star TV katika kipindi chake cha Straight Talk Africa
Tolelant=Tolerant
 
Back
Top Bottom