Mwandishi nguli na Mkuu wa Dawati la Uchunguzi JF, Simon Mkina achaguliwa kushiri mafunzo ya kung’amua na kuzuia Utakatishaji Fedha

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,814
11,991
Mkuu wa Dawati la Uchunguzi (Investigative Desk) la JamiiForums, Mwandishi Mwandamizi, Simon Mkina amechaguliwa kushiriki mafunzo maalum ya mwaka mmoja ya kung'amua na kuzuia Utakatishaji Fedha Duniani.

Mkina anakuwa mshiriki pekee kutoka Afrika (kwa awamu hii) kati ya Waandishi 12 wa Habari za Uchunguzi Duniani watakaoshiriki mafunzo haya baada ya kupita katika mchujo uliokuwa na Waombaji 173 kutoka Mataifa mbalimbali Duniani.

Mafunzo yanaanza mwezi huu Desemba, 2023

IMG_8524.jpeg
 
Mkuu wa Dawati la Uchunguzi (Investigative Desk) la JamiiForums, Mwandishi Mwandamizi, Simon Mkina amechaguliwa kushiriki mafunzo maalum ya mwaka mmoja ya kung'amua na kuzuia Utakatishaji Fedha Duniani.

Mkina anakuwa mshiriki pekee kutoka Afrika (kwa awamu hii) kati ya Waandishi 12 wa Habari za Uchunguzi Duniani watakaoshiriki mafunzo haya baada ya kupita katika mchujo uliokuwa na Waombaji 173 kutoka Mataifa mbalimbali Duniani.

Mafunzo yanaanza mwezi huu Desemba, 2023

View attachment 2844167
Mkina anakuwa mshiriki pekee kutoka Afrika (kwa awamu hii) kati ya Waandishi 12 wa Habari za Uchunguzi Duniani watakaoshiriki mafunzo haya baada ya kupita katika mchujo uliokuwa na Waombaji 173 kutoka Mataifa mbalimbali Duniani.
Mungu ibariki JF


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu ni kiumbe kingine kabisa.. Ingekuwa Mkina kapata skendo fulani na kuwekwa hapa.. Post ingepata wachangiaji wa kutosha sana
Lakini kwanzaa ni ya mafanikio.. Nobody cares...

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi hawapendi kuchunguzwa, hususani kwenye hizi nchi zetu hizi za ki-Afrika ambazo zimejaa magumashi na wapiga madili haramu wengi hadi hata kwenye vyombo ambavyo vyenyewe kimsingi vina kazi ya kufanya uchunguzi.
 
Mafunzo yako katika madarasa mawili; online na pengine kwenda nje, hasa wakati wa mitihani. Taifa linachaguliwa na washiriki na kuidhinishwa na wakufunzi kulingana na bajeti na mambo mengine.
Sawa mkuu, Shukrani na kila la kheri
 
Hongera kwa mara nyingine tuendelee kukumbukana kama zamani kulee Tabata Ubaya Ubaya tulipotumbukia MATOPENI (Fungua code)
Mafunzo yako katika madarasa mawili; online na pengine kwenda nje, hasa wakati wa mitihani. Taifa linachaguliwa na washiriki na kuidhinishwa na wakufunzi kulingana na bajeti na mambo mengine.
 
Ni wakati wa JF kung'ara

ALIYETAZAMWA KAMA ADUI WA SERIKALI ATEULIWA KUWA MJUMBE WA BODI NYETI!

Baada ya miaka kadhaa ya kuandamwa na kesi akishtakiwa na Jamhuri, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo Mubyazi sasa ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi katika moja ya Mamlaka za Serikali. Kwa muono wetu sisi, uteuzi wake si hisani bali Serikali imeona ujuzi na uelewa wake katika eneo husika kwani Melo amekuwa mstari wa mbele kupazia sauti juu ya haki ya taarifa binafsi za watu.

Je, nani ajuaye kama Yericko Nyerere na Dkt. Chris Cyrilo siku moja watalishauri Baraza la Usalama la Taifa? Kama mtu humjui Dkt. Chris Cyrilo, akatafute kitabu chake cha: 'Istilahi za Uhalifu na Usalama'! Je, huo ndio muelekeo mchapuko (paradigm shift) wa Rais Dkt. Samia katika kushirikisha watu walio nje ya Serikali Je, una neno gani kwa Max Melo Mubyazi? Je, ni nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 18 Desemba 2023; 4:21 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakati wa JF kung'ara

ALIYETAZAMWA KAMA ADUI WA SERIKALI ATEULIWA KUWA MJUMBE WA BODI NYETI!

Baada ya miaka kadhaa ya kuandamwa na kesi akishtakiwa na Jamhuri, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo Mubyazi sasa ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi katika moja ya Mamlaka za Serikali. Kwa muono wetu sisi, uteuzi wake si hisani bali Serikali imeona ujuzi na uelewa wake katika eneo husika kwani Melo amekuwa mstari wa mbele kupazia sauti juu ya haki ya taarifa binafsi za watu.

Je, nani ajuaye kama Yericko Nyerere na Dkt. Chris Cyrilo siku moja watalishauri Baraza la Usalama la Taifa? Kama mtu humjui Dkt. Chris Cyrilo, akatafute kitabu chake cha: 'Istilahi za Uhalifu na Usalama'! Je, huo ndio muelekeo mchapuko (paradigm shift) wa Rais Dkt. Samia katika kushirikisha watu walio nje ya Serikali Je, una neno gani kwa Max Melo Mubyazi? Je, ni nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 18 Desemba 2023; 4:21 usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
Samia ameanza kushituka maana CCM wanamsifia pekee badala ya kumshauri
 
Back
Top Bottom