hahahahahahah naamini tumezaliwa empty hand and naked bila chochote kama wote tumezaliwa the same hamna aliyezaliwa ameshika mihela ,so kila mtu ana jukumu zakuzitafuta ni zetu wote.hii lakufuata wanaume wenye mihela ndio wanawake wengi mjini hapa wameishiwa kuliwa 0712....... Mpaka wakifika umri wakujifungua ni operation tu mnalo mabibie mnaotafuta wanaume wenye hela poleni mimi mwanaume akiwa na akili nzuri nasema timamu smart hata hana kitu we will fight and get money ,nyie mnaotegemea mkute mjengo kila ndugu anautolea macho inamaana hiyo K yako ni dhahabu sana ,akifa tu mumeo utakuta mpaka kachupi kako kalikochanika kametundikwa nje trust me nimeyashuhudia haya nyie .jenga na mtu hatuaa kwa hatua jitahidi kutafuta na jkubuni mbinu mpya wewe ,jiulize unafikiri UNAFIKIRI MICHELLE ALIMKUTA OBAMA NA MIHELA NYIE .FYUUUUUUUUUUUUUUUUUU MTAISHIA KULIWA TU MJINI HAPA .