Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Hahaaaaaaaaaaa! Bibi wewe tumezoea vya kunyongaaa! Nyie chinjeni sie tuje tule kiulainiiiiiiiiii!!!! Nyote njema huonekana asubuhi atiiiii! We mtu 30yrs hana Corolla au hata Vitz utegemeee atanunua BMW au AUDI Q7 kweliiiiiiiiii! Si wazimu huo!!!! "In this life you get few chances if you are not smart enough to grab those chances by the balls tightly you will end up woundering how you became second rated in this life!"

Sasa sisi ni wazee wa CALCULATED RISK!!!!!!!!! Kama ana Harrier Benzi haiko mbali sio msaga lami!!!!!

Nivea, umesema. Achana na hawa wa kuja. Kuna demu mmoja alitaka kunitumia tu hiv. Siku ya siku nilimtulia vitu kutoka ghorofani.gawa ndo wale shenzy type. Trust me sisi wanaume tunajua yupi ni yupi. I believe bado kuna wanawake wazuri. And of course milupo kibao.
 
Demu mwenye mawazo kama haya naona ni mlupo tu. Ukiona mwanaume tunatumia pesa sana kwa ajili yako sio kwamba unathamani kwetu.
Wanawake hawajionagi wao ni kama maua. Vile vile wamejaa na wako wengi.
Weewe ukijifanya kunitumia kuna mwenzako atanipenda kwa dhati.
Muogope mwanamke anayejali pesa na hawa huwa nawatreat kama mlupo tu.

Ukizoea vya kuchinjaa, vya kunyonga huviwezii kabisaa waachie wapagani wanaoviwezea!!!!!!!!!!

Hata wanaume wako kibaoooooooooo! Ndo maana kila unakoenda lazima upate wa kukubip kama yaliyomo yamo! Na kumpenda mtu kwa dhati haiguarantee na yeye anajisikia hivo juu yako! Ile ukila pesa yake inaguarantee kuwa you still have space in his heart!!!!!!!!
 
Nivea, umesema. Achana na hawa wa kuja. Kuna demu mmoja alitaka kunitumia tu hiv. Siku ya siku nilimtulia vitu kutoka ghorofani.gawa ndo wale shenzy type. Trust me sisi wanaume tunajua yupi ni yupi. I believe bado kuna wanawake wazuri. And of course milupo kibao.

Kuna wanaume wachache na Ofcourse MIGUMEGUME KIBAOOOOOOO! Kazi kutaka kulelewa na kubana matumizi! YOU GET WHAT YOU PAY FOR!!!!!!!!!
 
lol LARA1 you make me hoi,lakini wa hivi hua wana wanawake lukuki,hiyo haikupi tabu my dear?
 
Last edited by a moderator:
lol LARA1 you make me hoi,lakini wa hivi hua wana wanawake lukuki,hiyo haikupi tabu my dear?

Hata kajamba nani nao wana wanawake lukuki!!!!!1 Hiyo tabia tu ya mtu wala haihusiani na Bank Statement!
 
Vipi akiomba 0713... Si anapesa bhana, na unavyozipenda lazima utatoa
 
Wakubwa zangu shikamooni!

Peopleeeeeeees!

Kama kawa kama dawa nimeletakwenu Mada dume, mada champions league!
Lazima pachimbike hapa! Hii ni kazi chafu ila lazima mtu aifanye, na
huyo mtu ndo nimejitoa muhanga!!!!!

1. Kutoka na mtu anaejiweza kuna sifa bwana asikwambie mtu!!!!!! Kila
mtu anaona umeukata (Japo kiukweli sina lolote) ila tu jamii kukukubali
kiaina na kukuwazia positive jst because ni Demu wa flani kuna raha yake
wajameni!

2.Self esteem na comfidence level approaching 1000% Dah! Yaani among all
choices alizoweza kumake kanichagua mie!!!!!!!! Bonge ya achievement na
accomplishment hiyo!!!! Kwenye hierachy of Needs self satisfaction iko
juu mbayaaa!

3. Its always about him!!!! Kila saa anajiongelea yeye na mikakati yake!
Sasa kwa mtu kama mie mwenye past ya kuficha ficha si manajua every
Saint has a past na every sinner has a future!!! inakuwa afazali nageuka
msikilizaji na msapotiji tu! ! Ila mlalahoi lazima akujue in
details!!!!!

4.Tittle! Unatoka kuwa little Miss No Body hadi Demu wa Flani! Si mchezo
atiii! You share his glory! Hata wanawake wenzio wanaanza kukunotice
Kubwa lao ukikatiza!

5.Gifts na Shopping!!!!!! Daaaaaah! Kwa raha zako unajimwaga! Sio
anakupa coz anakupenda sanaaa, nooo! Coz kwake ni mambo madogo sanaaaa!
He can afford! I dont care! Japo mlalahoi akikupa ujue amekuthamini
sanaaa!

6.Networking na Exposure! Na wewe unaanza kukutana na watu wa maana,
kwenda sehemu za maana na kuwa wa maana! Si yule chausiku wa mtaa wa
pili, ila ni Madam Chau!

7. Social approval unaipata fastaaa! Jamii haiweki vikwazo visivyo na
tija! Kila mtu busy kujikomba komba nae aponee hapo hapo! Mashosti hata
kama Iddi Amini Dadar watamsifu handsome tena baby face!


8.Pressure na wogawoga wa kuishiwa na kurudi kijijini unakuisha! Mambo
ya kuhesabu tarehe yanakuisha! Kila siku kwako mwisho wa mwezi!

9. Watoto ukizaa huna stress kabisaaa, insurance za kumwaga unajua kesho
yao iko guaranteed!

10.Dreams come true! Kama mwenyewe ulikuwa na ndoto zako kuzitekeleza
njenje!!!!!!!!

Wewe wapenda nini?

shosti umemaliza......huo ndo mpango mzima......
 
pesa ikikutia upofu, shida zitakupa chongo, busara zitakupa maono IMANI itakuponya upofu.

Mtoa umekosa IMANI.
Samahani lakini.
 
Hahahah mkuu chil bana mbona umereact hivo? Tafuta pesa bibie aenjoy

Mbesa ipo bidada wewe, je figure, sura, akili, adabu, heshima unavyo? kama sura unayo ebu weka picha yako halisi kwenye avatar kama elizabeth nikuone kama unafaa kuspendi na mimi
 
Hahahah ndo waapply kijanja nn? Tatizo nko ful booked til june 2013
Mbesa ipo bidada wewe, je figure, sura, akili, adabu, heshima unavyo? kama sura unayo ebu weka picha yako halisi kwenye avatar kama elizabeth nikuone kama unafaa kuspendi na mimi
 
Hahahah ndo waapply kijanja nn? Tatizo nko ful booked til june 2013

kwaiyo umeshakadiria utachop pesa za jamaa mpka june ndo ukipeleke kwa jamaa mwingine.. clock is ticking your expiry date is just near.
 
Hahahah bt there is alwayz a rum ukiweka financial statement yako mezani u can b squeezed in kimtindo usihofu halua haina makombo babu!!
kwaiyo umeshakadiria utachop pesa za jamaa mpka june ndo ukipeleke kwa jamaa mwingine.. clock is ticking your expiry date is just near.
 
Back
Top Bottom