Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Hahahah eti culture yangu! We wanifahamu miye? Au wafanya assumptions? 4ur info siwezi kuwa na loser , anaweza asiwe tajir bt coz yuko smart huo utajir twaweza upata mimi na yy ! bt a loser? Gv m a break

kumbe unatambua kwamba pesa mnaweza tafuta wote sio! aya inakuaje unatolea macho pesa za mwenzako kama vile wewe ni disabled? btw, loser kwako ni mtu gani? naweze leo nikawa loser kesho tycoon!
 
Dependence culture...ila ninachokijua cha kuazima hakiwezi kusitiri ****** wahenga walisema. Kama mtu anakaa amebetweka anasubiri vya kunyongwa na sio vya kuchinjwa imekula kwake...ataruka ruka hovyo mjini hapa kama kunguru wa Zanzibar akivamia hata vile visivyoliwa kwa kufikiri vinalika...hata hivyo, akili ni nywele kila mtu ana zake...
 
Sipo ivyo ciello, na maana yangu kukuuliza ivyo mdogo wangu.. Hapati huduma ili upige mzigo, kumhudumia girlfriend ambae unategemea awe mke wako badae si kosa na c hadi akupe game. Ila hoja kwani nje anawapa alafu wewe hakupi?
Ulimhudumia gf ili akupe game? Ka uko hivo wale wa kona bar na kimboka watakufaa zaidi!
 
kwa hiyo mwanaume pesa ndevu urembo?????


Ila kwa siye wengine tumelelewa mwanamke kupambana, lazima uwe na mpunga wako, uweze kujimix na ufike pale juu kwa nguvu zako............acha nipite, lara 1 ntarudi kuna kimeo nakisawazisha.........



Ooo bai ze wau wanaume mmeona hii???? Wapi Dark City?

kweli wengine tumezaliwa watafutaji,,kama mm wa kaskazin uniambie niache kumpenda mtu kwa jinsi alivo ntauzulumu moyo wangu kua na jitu baya lenye pesa,,pesa naweza kuitafuta mwenyewe ila kama ikitokea nliempenda ana pesa bas sawa lkn si kwasababu ya pesa zake.,,kukaa kivulini kusubiria vya kupewa no way,!kwanza vina manyanyaso
 
Last edited by a moderator:
I have never heard of a man without a penis labda aliye functionless, nway myb huo ndo upeo wako wa kudadavua ishu ka hizi! Usemapo ubongo wenu wamaanisha nn? Punguza kukaa vijiweni

Inaonekana una tatizo la kufikiri,nilipokuambia hamna kitu nilimaanisha jogoo hawiki.Tatizo unawaza kitoto,ukikua utajua maisha sio pesa tu!
 
mwanaume mwenye upendo wa kweli ndio mpango mzima coz kama ni hela simtazitafuta???anaweza akawa na pesa lakini hakuna upendo ndio hapo ndoa inakuwa ndoano. Samahani wewe ni mchaga??

Kweli wewe juniour, subiri ukifika Useniour ndo utajua TRUE LOVE IS A MYTH!!!!!! Wala haipo kabisaaaa! Upendo unaupimaje? Jinsi anavochop his money on me ndo kipimo cha upendo hicho!!!!

MOYO WA MTU NI KIZA KINENE JIANGALIE!
 
lakini sio kujibwetesha na kusubiri mwenye hela, kuna leo na kesho mwanaume anaweza kufa au kufilisika au kukufukuza. Kama hujajifunza kutafuta vyako si utakua chizi au kujinyonga? Sioni ajabu wanaume kuendelea kuwatesa wanawake kwasababu ya ujinga wao huo wa kutegemea kuolewa na wenye pesa tayari. Mwisho wa siku mtaanza kukimbilia women empowerment.

Uwe chizi au kujinyonga kwa kisa gani? Acha hizo mambo weweeeee! Waume wako wengi, mmoja akikuacha ujue vuta mwengine!
 
Ndo huwa sound za wanawake wapenda pesa kuolewa kazi sana nyie..... Na huwa mnatumiwa kama vijiko vya kwa mama ntilie.

Heri kubaki single babu weee kuliko kuolewa na kugeuka KOPAKOPA UNTD!!!!!!! Mke wa mtu dhiki hazikuuishi!!!! Na ndo ushajifunga maisha! Nani anataka tabu hizo!
 
hahahahahahah naamini tumezaliwa empty hand and naked bila chochote kama wote tumezaliwa the same hamna aliyezaliwa ameshika mihela ,so kila mtu ana jukumu zakuzitafuta ni zetu wote.hii lakufuata wanaume wenye mihela ndio wanawake wengi mjini hapa wameishiwa kuliwa 0712....... Mpaka wakifika umri wakujifungua ni operation tu mnalo mabibie mnaotafuta wanaume wenye hela poleni mimi mwanaume akiwa na akili nzuri nasema timamu smart hata hana kitu we will fight and get money ,nyie mnaotegemea mkute mjengo kila ndugu anautolea macho inamaana hiyo K yako ni dhahabu sana ,akifa tu mumeo utakuta mpaka kachupi kako kalikochanika kametundikwa nje trust me nimeyashuhudia haya nyie .jenga na mtu hatuaa kwa hatua jitahidi kutafuta na jkubuni mbinu mpya wewe ,jiulize unafikiri UNAFIKIRI MICHELLE ALIMKUTA OBAMA NA MIHELA NYIE .FYUUUUUUUUUUUUUUUUUU MTAISHIA KULIWA TU MJINI HAPA .
 
kweli wengine tumezaliwa watafutaji,,kama mm wa kaskazin uniambie niache kumpenda mtu kwa jinsi alivo ntauzulumu moyo wangu kua na jitu baya lenye pesa,,pesa naweza kuitafuta mwenyewe ila kama ikitokea nliempenda ana pesa bas sawa lkn si kwasababu ya pesa zake.,,kukaa kivulini kusubiria vya kupewa no way,!kwanza vina manyanyaso

Mwanamke mtafutaji ni askari wa kweli
 
Mwanamke makalio na chuchu saa sita huna hivyo kaakushoto.
Sio unanijia hapa na makalio ya kijapan ukijumlisha matiti mpaka udeki ndo yasimame?
Natalia na mwnzio lara 1 kama hamna vigezo hivyo kaeni left hand.

hahahahaha na kiuno kionekane siyo vile vilivyoungana na tumbo
mkuu hiyo vesi niliyopigia mstari nimekubali
 
ha ha ahaaaa! wanawake heartbroken wana maneno ya kujifarij, manake ckiu hiz nyie ndo wahongaj wakubwa, tena na tigo mnatoa bado vijana hatuish kupepesa macho nje...........
 
Anhaaa pesa silaha kisu mzigo bana,m/ume mwenye pesa anakujengea heshima yani maisha yanakua ya uhakika sio kubahatisha,ila tatizo lao hawajatulia ukubali kua kwenye foleni..
 
Akaaaa babu weee, K bila matunzo si itafubaaaa! Shurti mgegedaji awe anairepea mara kwa mara!

hahahaha kwani kila ikigongwa inabonyea? au inasagika kama tairi za gari mpaka irepewe? labda magic kunyoa na Geisha kuosha...
 
hahahahahahah naamini tumezaliwa empty hand and naked bila chochote kama wote tumezaliwa the same hamna aliyezaliwa ameshika mihela ,so kila mtu ana jukumu zakuzitafuta ni zetu wote.hii lakufuata wanaume wenye mihela ndio wanawake wengi mjini hapa wameishiwa kuliwa 0712....... Mpaka wakifika umri wakujifungua ni operation tu.

Umeona ee,,wadada ya mujini bana mnataka maisha ya pepon wakati kuyatafuta wenyewe hamuezi,,mfume dume mpaka lini,,tokeni mjitafutie msisubiri vya kupewa mnaona vyaelea hamjui vimeundwaje udenda unawatoka tu,,
 
ha ha ahaaaa! wanawake heartbroken wana maneno ya kujifarij, manake ckiu hiz nyie ndo wahongaj wakubwa, tena na tigo mnatoa bado vijana hatuish kupepesa macho nje...........

Hao wa kwenu huko!!!!!!!!! Huku kwetu kazaliwa Mwanamke ushatunukiwa Bachelor (Hons) usipotoka kimaisha uzembe wako tu!!!!!
 
Back
Top Bottom