Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Kama kweli una akili chukua pesa na invest vitu vyako vya maana..lkn vipesa uchwara vya biere, kukujazia mafuta kwenye gari sijui shopin mlimani city vitakusaidia nini??

Weweeeeee! Mi nainvest mwenyewe sanaa! Tena pesa ya hongo inaniongezea mataji kichiziii! Alafu hela zangu zinakaa bank tu, coz expenses zote na bill kwa wadau! Hapo mtu nikiangali account inasoma!!!!!!! Isitoshe hela yako kununua miwigi, viatu in 3 colours, miguo, inaumaaaaaaaaaaa! Ila ukinunuliwa swadaktaaaaaaa kabisa!

Asikwambie mtu pesa ya kuhongwa tamu sanaaaaaa! Haina mawazo kuitumia!

Isitoshe zina expenses za kumsaidia mwanaume, au kumweka mjini kidume kizimaaaaaaaa!

Sio kwamba nachofanya sikielewi, nimeamua tukuwa chunaji!
 
Poleni wanawake wenye mawazo kama hayo, kwangu mimi mtu akijiashua kwa njia ya kutaka pesa nikimgundua ni teke, maana anaweza kukuuwa ili aipate pesa yako, si hoja pesa, hoja ni usalama hamna hapo. jamaa kueni makini sana na wenye mawazo kama haya.
 
Zion Daughter mwambie lara 1mpaka asikile, maana mimi napenda wanawake wenye pesa.
Vipi wewe unazo?????

Mi pesa sinaaa ila nakula maisha kama kawaaaaaa! Ndo maana nimeleta huu mswada hapa ili kuleta changes! I got some skills! Mi sipendi stress za kukopana kopana! A guy has to take care of me!
 
Hongera.. Nikitaka qute girls sina hata shida wapo kibao vyuoni, kiasi cha kutega tu ukitoka review classes au kujisomea mambo yako,,, tena hawana hata shida mradi akuone tu una better future as kiajira cha kiaina, mkoko unapush hata kama ni ya home, tena wengi wao hata hawakuchuni kupasua kichwa kiasi cha kumtoa tu bumu lake likisuasua au ukiona anapotoka uwezo mdogo una msapoti, na ukweli hawachuni hawa watoto anaogopa hadi kukuomba hela eti atakupoteza as utamwacha ukaoe mwingine kisa utamuona gold digger..

Ya nini kuangaika na kina Lara 1 sijui nani wameshakubuhu wakati kuna watoto wabichi vyuon wanajua shule tu na kusali,,,

Next year mwishon nina mpango wa kuuaga ukapera at 27 yrs of age japokuwa watu wanasema ninawahi but hakuna kipya kwa hawa wanawake.. Wote wanafanana ukishawatoa pichu.. Bora ujitafutie mrembo mmoja umuweke ndan tu, ili uwe serious kwenye career world as ukiwa na familia masikhara na ujinga ujinga unapungua...
 
Hongera.. Nikitaka qute girls sina hata shida wapo kibao vyuoni, kiasi cha kutega tu ukitoka review classes au kujisomea mambo yako,,, tena hawana hata shida mradi akuone tu una better future as kiajira cha kiaina, mkoko unapush hata kama ni ya home, tena wengi wao hata hawakuchuni kupasua kichwa kiasi cha kumtoa tu bumu lake likisuasua au ukiona anapotoka uwezo mdogo una msapoti, na ukweli hawachuni hawa watoto anaogopa hadi kukuomba hela eti atakupoteza as utamwacha ukaoe mwingine kisa utamuona gold digger..

Ya nini kuangaika na kina Lara 1 sijui nani wameshakubuhu wakati kuna watoto wabichi vyuon wanajua shule tu na kusali,,,

Next year mwishon nina mpango wa kuuaga ukapera at 27 yrs of age japokuwa watu wanasema ninawahi but hakuna kipya kwa hawa wanawake.. Wote wanafanana ukishawatoa pichu.. Bora ujitafutie mrembo mmoja umuweke ndan tu, ili uwe serious kwenye career world as ukiwa na familia masikhara na ujinga ujinga unapungua...

Hahahaaaaaaaaaaa! Mashamba yaliyokushinda watayalima wenzio bila wasiwasi wowote! I guarntee you Your absence wont be missed at all!
 
TUTAFUTE tu pesa jamani ndugu zangu wanaume!!..hata MSONDO JAZZ waliimba 'kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu'...Hawa wadada wanachosema ni sahihi..Maisha bila mkwanja hayaendi!..na ukiwa na MKWANJA mbona unawakamatia tu!!...Nadhani tunachopishana ni levels tu za kuhonga (as kuna kina sie tunaohonga viatu na mikufu na kina nyie mnaohonga vitz)....but all in all angalau kwa asilimia kubwa mwanaume wa 'kiafrika' ni MUHONGAJI na halikadhalika mwanamke wa kiafrika amezoeshwa hivyo!!...Itachukua muda sana hii mentality kubadilika ila kwa sasa acheni tu WARINGIE femininity yao!!!...Any lady who is beautiful and smart as well is invited to chop ma money cuz I DONT CARE!!!


Hahahaaaaaa! Watu wanamezehsa wenzao sumu tu hapa! Mjini hapa bila kuhonga pesa ya maana utampata demu gani wa maana? Demu gani anaependa dhiki na yeye? Ukiona yupo wa hivo ana mijibaba yake pembeni inamlea kwako kafata gemu!

Mwanaume wa ukweli lazima umhudumie mamushka wako! Otherwise japo hakwambii ila jua tu akipata anaemuhudumia anahamia Airtel faster!!!!!!!!!!

Ndo kuja huku nilitaka kumuoa,nilitaka kumuoa! Hujamuoa ushamzeesha asikukimbie kwa lipi?
 
Hahahaaaaaaaaaaa! Mashamba yaliyokushinda watayalima wenzio bila wasiwasi wowote! I guarntee you Your absence wont be missed at all!

Ha ha hakunaga mashamba magumu, dizain yako tunapiga kwa msimu tena kuonesha uwezo upo but kustic jumla haiwezekani..


Uzuri wa jamii forums hatujuani, keyboard ingekuwa inasoma another side of the coin, what goes on behind keyboard na imani tungeheshimiana,, but I am sure usingeweza kusema no... enzi zangu za ujana, nowdays nimeacha as maisha yanabadilisha watu sana..
 
Wakati mwingine mnachanganyikiwa na pesa na utajiri kwa sababu hamuujui. Mkishapata pesa na utajiri ndio mnagundua kuwa happiness ni more than pesa na utajiri. Ndio maana unaona hata princess Diana alimkimbia Prince Charles pamoja na Power, Utajiri, Ufalme na vingine vyote akaenda kuchukuliwa na mtoto wa kihuni wa kiarabu mwenye visenti vya mafuta asiye hata na ulinzi rasmi na asiyetambulika kimataifa...
 
Ha ha hakunaga mashamba magumu, dizain yako tunapiga kwa msimu tena kuonesha uwezo upo but kustic jumla haiwezekani..


Uzuri wa jamii forums hatujuani, keyboard ingekuwa inasoma another side of the coin, what goes on behind keyboard na imani tungeheshimiana,, but I am sure usingeweza kusema no... enzi zangu za ujana, nowdays nimeacha as maisha yanabadilisha watu sana..


Hahaaaaaaaaaaaaa! I dig your challange! I love it when a Man defends his pride!

Jf bila jf IQ, uelewa, na itikadi za mtu ndivo zilivo in real au behind the keyboard! Huwezi kuwa fyongo in real life afu ukawa mjanja wa keybord! Mimi kusoma tu comment ya mtu naweza jua ni mtu wa design gani!

Kama wewe! You are so into you! Unajikubali mbayaaaaaaaaaa! Hupimiwi kabisaaaa! Unalowaza wewe ndio hilohilo! Uko much into looks na opinion za watu juu yako zina matter sanaaa! Bishaaaaaaaa?

Design mnazopiga kwa msimu si zangu kabisaaaaaaaa! Hadi ufikie pichu yangu laimza uwe umefuzu mind game zotee! Most cant take the heat! Its not that Easy!
 
TUTAFUTE tu pesa jamani ndugu zangu wanaume!!..hata MSONDO JAZZ waliimba 'kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu'...Hawa wadada wanachosema ni sahihi..Maisha bila mkwanja hayaendi!..na ukiwa na MKWANJA mbona unawakamatia tu!!...Nadhani tunachopishana ni levels tu za kuhonga (as kuna kina sie tunaohonga viatu na mikufu na kina nyie mnaohonga vitz)....but all in all angalau kwa asilimia kubwa mwanaume wa 'kiafrika' ni MUHONGAJI na halikadhalika mwanamke wa kiafrika amezoeshwa hivyo!!...Itachukua muda sana hii mentality kubadilika ila kwa sasa acheni tu WARINGIE femininity yao!!!...Any lady who is beautiful and smart as well is invited to chop ma money cuz I DONT CARE!!!
Ha ha ha umenifurahisha wewe!!!
 
If i were a man, I would have taken this as changamoto!!

Ladies wameamua kufunguka na huo ndo ukweli jamani, money can't buy love BUT inaongeza happiness kwenye hiyo love!!

Sio lazima uwe na pesa za kufa mtu ila MONEY AND LOVE ARE INSEPARABLE!!!
 
Hahaaaaaaaaaaaaa! I dig your challange! I love it when a Man defends his pride!

Jf bila jf IQ, uelewa, na itikadi za mtu ndivo zilivo in real au behind the keyboard! Huwezi kuwa fyongo in real life afu ukawa mjanja wa keybord! Mimi kusoma tu comment ya mtu naweza jua ni mtu wa design gani!

Kama wewe! You are so into you! Unajikubali mbayaaaaaaaaaa! Hupimiwi kabisaaaa! Unalowaza wewe ndio hilohilo! Uko much into looks na opinion za watu juu yako zina matter sanaaa! Bishaaaaaaaa?

Design mnazopiga kwa msimu si zangu kabisaaaaaaaa! Hadi ufikie pichu yangu laimza uwe umefuzu mind game zotee! Most cant take the heat! Its not that Easy!

Sawa bana, lakini kufikia pichu si ngumu kiasi chake kucheza na mazingira tu,, tutafutane tule bia pamoja wekend moja tutafutane tule bia pamoja, kama vipi hata leo jioni tusomane behind keybord,,, although no kutongozana.. Kama kuna mwingine anawish kujumuika aunge tela..

Kumvua pichu mdada kama una access ya vitu flani sio ngumu labda uwe umekulia geti kali sana unaish kitamthilia.. Eg familia inayotoka inakubeba, CV na vyeti vipo tena vinasoma hasa,, mwajiri wako nae anakubeba jina lake na reputation yake (japokuwa kazi tembo malipo sisimizi),, plus street smartness yaani ile ya kiswaz pure unajua kabisa mwanamke anataka nini.. Pichu anatoa mwenyewe kwa kukulazimisha umege na tena anakutegeshea na mimba juuu...
 
Hahahah goma limefika patamu mweee wacha niinjoi nione mwisho wake
 
Ukishinda jackpot bingo mil 70 sio kwamba umekua tajiri na maisha hayana gurantee
kwamba utakua na fedha muda wote we ni nani.
Nafikiri mtu anatakiwa kujisifu kwa kuwa mtafutaji zaidi na wala sio kumiliki au kukutana
na jamaa anamiliki au mmama anamiliki mali na fedha kibao mwisho wa siku akikumwaga
kiburi chote ,asuarance ya life ,gud time zote zinapotea.................



"Honest is very expensive dont expect it from cheap people"
 
TUTAFUTE tu pesa jamani ndugu zangu wanaume!!..hata MSONDO JAZZ waliimba 'kuzaliwa mwanaume kila kitu kwako kitakuwa ni taabu'...Hawa wadada wanachosema ni sahihi..Maisha bila mkwanja hayaendi!..na ukiwa na MKWANJA mbona unawakamatia tu!!...Nadhani tunachopishana ni levels tu za kuhonga (as kuna kina sie tunaohonga viatu na mikufu na kina nyie mnaohonga vitz)....but all in all angalau kwa asilimia kubwa mwanaume wa 'kiafrika' ni MUHONGAJI na halikadhalika mwanamke wa kiafrika amezoeshwa hivyo!!...Itachukua muda sana hii mentality kubadilika ila kwa sasa acheni tu WARINGIE femininity yao!!!...Any lady who is beautiful and smart as well is invited to chop ma money cuz I DONT CARE!!!

Keep it real blackman. Get your money!

Every blackman outta there should always put these lyrics in their wallets.

I'm talking about you blackman, don't laugh b'se it ain't funny.


 
Last edited by a moderator:
Sawa bana, lakini kufikia pichu si ngumu kiasi chake kucheza na mazingira tu,, tutafutane tule bia pamoja wekend moja tutafutane tule bia pamoja, kama vipi hata leo jioni tusomane behind keybord,,, although no kutongozana.. Kama kuna mwingine anawish kujumuika aunge tela..

Kumvua pichu mdada kama una access ya vitu flani sio ngumu labda uwe umekulia geti kali sana unaish kitamthilia.. Eg familia inayotoka inakubeba, CV na vyeti vipo tena vinasoma hasa,, mwajiri wako nae anakubeba jina lake na reputation yake (japokuwa kazi tembo malipo sisimizi),, plus street smartness yaani ile ya kiswaz pure unajua kabisa mwanamke anataka nini.. Pichu anatoa mwenyewe kwa kukulazimisha umege na tena anakutegeshea na mimba juuu...

Hahahaaaaaaaaa! Mkata kiu banaaaa! Mi nakubali kiasi na falsafa yako kuwa kuvua pichu kupo ila ujue labda na mimi nimependa au nimeuzimia mzigo ila sio umenizidi akili!!!!!!

Hata kutoka na mtu kupunguza stress kupo, hata kama hana pesa ila sio kumdanganya utakuwepo kwenye future yake au ndo unamipango nae kimaishaaa!!!!!!! Mimi kama league ya kupunguza stress tunaweka karata zote mezani tu, basi hapo burudani hakuna kuzidiana akili wala kushawishiana kuwa nakufaaa!

Afu mkata kiu turudishie chenchi wewe mtoto wa Mbezi uswazii umekujulia wapi? You wouldnt last a day! Chezea unaenda mahali kama mgeni afu mtu 8 mnakula sinia moja na bakuli moja la mboga na kujilamba mkono!!!!! Yataka moyo! We sema wa kitaa ila sio uswaziii!
 
Ukishinda jackpot bingo mil 70 sio kwamba umekua tajiri na maisha hayana gurantee
kwamba utakua na fedha muda wote we ni nani.
Nafikiri mtu anatakiwa kujisifu kwa kuwa mtafutaji zaidi na wala sio kumiliki au kukutana
na jamaa anamiliki au mmama anamiliki mali na fedha kibao mwisho wa siku akikumwaga
kiburi chote ,asuarance ya life ,gud time zote zinapotea.................



"Honest is very expensive dont expect it from cheap people"


Kuwa nacho ni dalili kuwa he can make things happen! Sio mtu mipango kibaoooo! Accomplishment 0! Mtu akiwa nacho ana chance kubwa ya kukiongeza kuliko asiekuwa nacho!
 
hahahahahah nataka kujitosa so naangalia competitor ka nawamudu....bt ka ni ww ngoja nikae pembeni nikuachie ujinafasi kwa raha zako....hahahahahahah
Hahahaaaaaaaaa! Tuko huku Wanyama hoteli tumechukua chumba!!!!! Na hii mvua! Embu acha kutukatia stimuuuuu! He si busy with me! LOLEST!!!!

Get busy weekend hii! Watu na watu wetu wa Mkopo!
 
Back
Top Bottom