Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Mwanaume Mwenye Pesa Ndo Mpango Mzimaaaa!!!!!!!!!!!

Huyo mwanamke atakula huo mchomeko wako?

Hivi ukaolewa na tajiri halafu ukakuta dushelele hakuna,utabaki?
Pesa ina umuhimu katika mahusiano,lakini sio huu umuhimu mnaotaka kuuleta hapa!
 
sifa ipo ila ni kamda kachache sana,akishalamba mzigo anakutema,anachukua rafiki au dadako!
 
Huyo mwanamke atakula huo mchomeko wako?
hapa tunaongelea bilions au multi-millions ,,,, hizo za kula ,kusomesha ,shopping ,kuendesha ,kuishi ,kutoka ni mambo ya kawaida sana as a real man ni lazima uyatekeleze...... ila hizo za kuwa kama kina Mengi ,Rostam ,Bakhresa na wengineo kama hao ndiyo furaha ipatikane hell NO. kuna SIRI moja kuhusu PESA " PESA NI ZILE ULIZONAZO WEWE" ,ukishalitambua hilo ndiyo utachekecha akili!
narudi kusema hivyo vingine ni supplements tu ,ila cha kwanza kabisa ni MGEGEDO wa maana...mwanaume hujaweza kumpa hilo mwanamke wako hamtaweza kuwa na furaha hata siku moja.
 
Huo mfano ulotoa hauapply in real life, pesa ina umuhimu tena tunaousisitiza hapa so mjipange mambo ya kupiga soga vijiweni yamepitwa na wakati...play ur roles
Hivi ukaolewa na tajiri halafu ukakuta dushelele hakuna,utabaki?
Pesa ina umuhimu katika mahusiano,lakini sio huu umuhimu mnaotaka kuuleta hapa!
 
Hahahahah kumbe ulikuwa unanistalk eeeh napunguza usumbufu na kero za PM so nawaweka wazi wajue kabisa kama ni walalahoi wanipitie kushoto! Mwanaume pesa ndevu urembo hawawezi nigegeda kwani sivui pichu hovyo hovyo!!

Ayo mambo mwamchie lara1, wewe endelea na culture yako tu.. kuwa na maisha yako nakuona unajilazimisha vitu ambavyo ni mgeni navyo
 
Mwana FA anakwambia mwanaume kuwa na pesa ni sawa na demu mzuri.. Unafanya masihara kuporwa Jokate na mtu kama Hasheem Thabiti??! Hala hala jaman tutafute pesa.

Baeleze hii bamutu baelewe!!!!!!!! MJINI SILAHA PESA PANGA MZIGO!!!!!!!!!!
 
Acha kuota ndoto za alinacha
hapa tunaongelea bilions au multi-millions ,,,, hizo za kula ,kusomesha ,shopping ,kuendesha ,kuishi ,kutoka ni mambo ya kawaida sana as a real man ni lazima uyatekeleze...... ila hizo za kuwa kama kina Mengi ,Rostam ,Bakhresa na wengineo kama hao ndiyo furaha ipatikane hell NO. kuna SIRI moja kuhusu PESA " PESA NI ZILE ULIZONAZO WEWE" ,ukishalitambua hilo ndiyo utachekecha akili!
narudi kusema hivyo vingine ni supplements tu ,ila cha kwanza kabisa ni MGEGEDO wa maana...mwanaume hujaweza kumpa hilo mwanamke wako hamtaweza kuwa na furaha hata siku moja.
 
Hahahahah kumbe ulikuwa unanistalk eeeh napunguza usumbufu na kero za PM so nawaweka wazi wajue kabisa kama ni walalahoi wanipitie kushoto! Mwanaume pesa ndevu urembo hawawezi nigegeda kwani sivui pichu hovyo hovyo!!

Hebu muulize J-Lo alikua anakosa kitu gani kwa P Didy mpaka akamkimbia!
 
Hahhaaaaaaaaa! Jamani wachina wote hawa tutakosaje! We dushelele unaloooo? Au ndo kibamia ila kelele nyingiiiiiiii!

Ah wapi! namiliki tango pori urefu nchi 8 na unene nchi 2.5, yaani tena mtoto kama wewe kwangu nitakuwa ndo kwanza nukuvunja bikira.
 
Hahahah eti culture yangu! We wanifahamu miye? Au wafanya assumptions? 4ur info siwezi kuwa na loser , anaweza asiwe tajir bt coz yuko smart huo utajir twaweza upata mimi na yy ! bt a loser? Gv m a break
Ayo mambo mwamchie lara1, wewe endelea na culture yako tu.. kuwa na maisha yako nakuona unajilazimisha vitu ambavyo ni mgeni navyo
 
Huo mfano ulotoa hauapply in real life, pesa ina umuhimu tena tunaousisitiza hapa so mjipange mambo ya kupiga soga vijiweni yamepitwa na wakati...play ur roles

Hauapply ki vipi?Hebu fafanua,what real life anyway?Au ubongo wenu ndo hauapply?
 
Hahahah tafuta pesa bana acha kupiga mayowe
ndoto kivipi?
ndiyo nawaambieni ,huwezi kusema money can buy everything kwenye mapenzi na vile vile huwezi kusema anything can buy everything kwenye mapenzi.
 
nishasenaga na nasema tena "Sitaki demu/mke na V.A.T"....ina lara 1 nikakuoa alafu ikafika kipindi mpunga ukapungua na kuisha kabisa,je utaniacha uende kwa mwingine?''''''jibu kwanza hili alafu...nitarudi

Siwezi kukuacha coz nishajua wewe mgodi sema tu madini yamepotea!!!!! If you made it to the top once you can make it again! Nakustahi na kukulipa wema!

Nachokipinga mimi ni unaona jitu linakaa kijiweni then bila aibu unahope LOVE WILL CONQUER IT ALL! Ukipotea kimaisha unamlaumu mola!
 
sasa we Sauduari unataka mwanamke pesa au mwanamke chuchu saa sita chagua moja bana,halafu we unaonyesha unapenda kulelewa

Mwanamke pesa kwanza, chuchu baadaye, anachohitaji kwangu iwe ni kumgegeda kwa sana tu mpaka aipooze na feni.
 
Money only impress lazy girls,when a woman works hard,a man with money is just a Bonus not a ladder!
Wakubwa zangu shikamooni!

Peopleeeeeeees!

Kama kawa kama dawa nimeletakwenu Mada dume, mada champions league! Lazima pachimbike hapa! Hii ni kazi chafu ila lazima mtu aifanye, na huyo mtu ndo nimejitoa muhanga!!!!!

1. Kutoka na mtu anaejiweza kuna sifa bwana asikwambie mtu!!!!!! Kila mtu anaona umeukata (Japo kiukweli sina lolote) ila tu jamii kukukubali kiaina na kukuwazia positive jst because ni Demu wa flani kuna raha yake wajameni!

2.Self esteem na comfidence level approaching 1000% Dah! Yaani among all choices alizoweza kumake kanichagua mie!!!!!!!! Bonge ya achievement na accomplishment hiyo!!!! Kwenye hierachy of Needs self satisfaction iko juu mbayaaa!

3. Its always about him!!!! Kila saa anajiongelea yeye na mikakati yake! Sasa kwa mtu kama mie mwenye past ya kuficha ficha si manajua every Saint has a past na every sinner has a future!!! inakuwa afazali nageuka msikilizaji na msapotiji tu! ! Ila mlalahoi lazima akujue in details!!!!!

4.Tittle! Unatoka kuwa little Miss No Body hadi Demu wa Flani! Si mchezo atiii! You share his glory! Hata wanawake wenzio wanaanza kukunotice Kubwa lao ukikatiza!

5.Gifts na Shopping!!!!!! Daaaaaah! Kwa raha zako unajimwaga! Sio anakupa coz anakupenda sanaaa, nooo! Coz kwake ni mambo madogo sanaaaa! He can afford! I dont care! Japo mlalahoi akikupa ujue amekuthamini sanaaa!

6.Networking na Exposure! Na wewe unaanza kukutana na watu wa maana, kwenda sehemu za maana na kuwa wa maana! Si yule chausiku wa mtaa wa pili, ila ni Madam Chau!

7. Social approval unaipata fastaaa! Jamii haiweki vikwazo visivyo na tija! Kila mtu busy kujikomba komba nae aponee hapo hapo! Mashosti hata kama Iddi Amini Dadar watamsifu handsome tena baby face!


8.Pressure na wogawoga wa kuishiwa na kurudi kijijini unakuisha! Mambo ya kuhesabu tarehe yanakuisha! Kila siku kwako mwisho wa mwezi!

9. Watoto ukizaa huna stress kabisaaa, insurance za kumwaga unajua kesho yao iko guaranteed!

10.Dreams come true! Kama mwenyewe ulikuwa na ndoto zako kuzitekeleza njenje!!!!!!!!

Wewe wapenda nini?
 
I have never heard of a man without a penis labda aliye functionless, nway myb huo ndo upeo wako wa kudadavua ishu ka hizi! Usemapo ubongo wenu wamaanisha nn? Punguza kukaa vijiweni
Hauapply ki vipi?Hebu fafanua,what real life anyway?Au ubongo wenu ndo hauapply?
 
Back
Top Bottom