Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Status
Not open for further replies.
Wifi nimepona uzuri niutoe wapi? Huoni naficha sura na ushungi?



Kujificha na ushungi? ndo iwe kipimo cha kupima uzuri..... Alafu lini umeanza tabia mbaya.... Nakusifia wakataa badala ya kusema asante?
 
hivi jamani tunabishana kwa ajili ya kubishana ama kuelezana ukweli?

Radhia ana ubaya gani hapo? Kweli kabisa.... Ni mzuri aisee... Labda sababu wasema "uzuri in the eyes of beholder"
ni mzuri wapi sasas? Hv umemwangalia vizuri sis? Kwa observation ya haraka haraka anaonekana ana minyoo mikali sana tena imeshambulia hadi mifupa,ata smile ni la kulazimisha inaonekana alitoka kuugua ebola na kipindupindu ndo ana recover.
 
Radhia, hongera sana,u mzuri na mwenye mvuto sana,ni kweli wala sikejeli. Uthamini uzuri wako na usiutumie ku-show off,manake hata mashangingi na malaya wengi ni wazuri zaidi hata ya wewe,asset yao ni uzuri wao lakini mbele za wanadamu si kitu. Its how you use the beauty in you that matter most.



Michelle you are one beautiful lady I hope you know that.... (ila huna haja ya kufungua thread)..

Hallow...
 
Si vibaya kujisifia uzuri wako, ila unautumia kufanya nini na kwa maslahi ya nani zaidi yako...kuna wadada wazuri tu tunawaona kila kukicha wakifanya kazi za jamii,kusaidia watu,kuwapa watu moyo,kuchangisha fedha kwa ajili ya watu wenye uhitaji,huo ndo uzuri ninaotamani wasichana wengi tujivunie. Huu wa sura uwe ufunguo wa matendo mema,na yenye utukufu kwa Mungu aliyekuumba na si wa kuangalia asiye mzuri kama wewe...!!

hii ni nzito na ya maana saaana!!!
 
hivi ''sura mbaya'' kwa mujibu wa nani kwanza?
Remmy mwenyewe alikuwa na wake ukiachilia mbali kushiriki mashindano ya "Mr. Sura Mbaya''

Nakubaliana kabisa na wewe na dnio maana mwisho wa siku 'It is not what you say but How you say it...'

😛oa😛oa
 
ila umechoka una hata kilo 20 kweli?
urembo sio kunenepeana mdogo wangu
Hongera Bi Dada umejaaliwa, mtoto Maashallaw!
nimekupendajeee
If u think u ar too small to make an impact, try to be a mosquito.
RS umethubutu, umewezwa, unazidi kulisongesha, hongera mrembo!
lol!!!


Watu mnatoka povu hivi nani amedhibitisha kua hiyo avatar ni ya huyo bi dada?
lizzy
Mi nawashangaa baadhi ya wanaume humu ndani wanamsupport mwanamke msema hovyo kama huyo Gungulugwa hapo juu!
Atawapa nini kajichokea huyo?...Msipoteze muda wenu na muuza nyago, keshadata hapo alipo, usikute kakosa ile stimu ya mananihiino, sasa anaelekea kuuza tv ili azimue!!
Hata ukiuza jero haina mteja!...

Achaneni na kinyago!
pilipili usio ila................

Hii ni vita vya panzi furaha kwa kunguru
mimi ni kunguru nawachora tu hapa

mi sijaona maana hata housegirl wetu hayupo hivo
wewe hujawahi kuona ma house girl bomba.
Kumbe wewe ni mwenzangu dam, dam...mie mdomo mrefu kama pua la Rejao ila ngumi kama makande na mgonjwa..

hahaaaa ..
 
Kujificha na ushungi? ndo iwe kipimo cha kupima uzuri..... Alafu lini umeanza tabia mbaya.... Nakusifia wakataa badala ya kusema asante?
Sikubali asee, na mimi nataka unisifie...umeanza lini tabia ya kubagua mawifi zako?
 
ni mzuri wapi sasas? Hv umemwangalia vizuri sis? Kwa observation ya haraka haraka anaonekana ana minyoo mikali sana tena imeshambulia hadi mifupa,ata smile ni la kulazimisha inaonekana alitoka kuugua ebola na kipindupindu ndo ana recover.



"Never get Emotional. It affects you Judgement"
-Mario Puzo/God Father-

 
Sikubali asee, na mimi nataka unisifie...umeanza lini tabia ya kubagua mawifi zako?



Sweet Lady my sweet wifi tena.... How can a sweet person asiwe Mzuri? lol.... Wee mzuri kweli yaaani kuliko hata woote ulipo nao hapo wifi yangu. Ndio maana sitaki u-upload picha yako kabisaaaa..... Itakua bala hapa JF!
 
He he he, Happy New Year dear...u mzuri sana,mimi sina doubt,na wala sihitaji kuvaa mwani kuona hilo.

Happy New year too love nilikumis mpaka nikaugua sikuu zote mbili. Ulivo mzuri mpaka naona wivu
 
mimi nashangaa mtu unasema eti ooh fulani ana sura mbaya..fulani mbaya. kwani wewe mzuri? Mia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom