bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
mwambia nataka anaisalimu kwa hapa 'nisibitishe' wewe unaweza kuwa umechakachua slam zangu...lol!!MJ1 anakusalimu
mwambia nataka anaisalimu kwa hapa 'nisibitishe' wewe unaweza kuwa umechakachua slam zangu...lol!!MJ1 anakusalimu
ni mzuri wapi sasas? Hv umemwangalia vizuri sis? Kwa observation ya haraka haraka anaonekana ana minyoo mikali sana tena imeshambulia hadi mifupa,ata smile ni la kulazimisha inaonekana alitoka kuugua ebola na kipindupindu ndo ana recover.
nimempenda huyu mdada ....kawachamba japo hayanihusu
Michelle you are one beautiful lady I hope you know that.... (ila huna haja ya kufungua thread)..
Hallow...
Ni kweli lakini hakuna anayemfikia Radhia bana.wasichana wa jf wote nawaona wazuri tu .
Kujificha na ushungi? ndo iwe kipimo cha kupima uzuri..... Alafu lini umeanza tabia mbaya.... Nakusifia wakataa badala ya kusema asante? Asante my lovely wifi mie mrembo sana tu
nilitaka niseme ivoivo shost umeniwai ila pamoja sana tuChema chajiuza, kibaya chajitembeza
Hehehehe!...bht akisoma hapa lazima ajinyonge...lol. Sante wifi.Sweet Lady my sweet wifi tena.... How can a sweet person asiwe Mzuri? lol.... Wee mzuri kweli yaaani kuliko hata woote ulipo nao hapo wifi yangu. Ndio maana sitaki u-upload picha yako kabisaaaa..... Itakua bala hapa JF!
On a Serous note: Kuna house gal nyumbani... Ni mzuri mno! Tumempiga marufuku kuenda sokoni kwa jinsi anavosumbuliwa na kulalamika.... Sidhan kama kua house gal ni kigezo cha kupima uzuri Kid sis.... Ila I can definately say one thing! "hapo ulipo wee mzuri kuliko Radhia"
nusu..wewe je ??
Ni kweli lakini hakuna anayemfikia Radhia bana.
Sweet Lady my sweet wifi tena.... How can a sweet person asiwe Mzuri? lol.... Wee mzuri kweli yaaani kuliko hata woote ulipo nao hapo wifi yangu. Ndio maana sitaki u-upload picha yako kabisaaaa..... Itakua bala hapa JF!
Dah!!!
Chezea ID mpya wewe!!!
watu wanakuja wamejipanga kabisaa.......wanakuja kuleta ujumbe halafu haooooo......wanaondoka zao,
wanawaacha mnapigana vikumbo...
like that!!!
Wapi GX mia bana............kama sura zingekuwa na model kama magari, kuna watu wangesema wao ni future model ya Nissan 2013, wakati ni mandolini 109.
Orait, tunaendelea kuangalia mchapano........
nilitaka niseme ivoivo shost umeniwai ila pamoja sana tu
Hallow, I know that dearest....nikiishiwa vya kuandika naweza weka thread...lol...nafikiri mkijua nilivyo mzuri mtanipa ada ya watoto wangu wawili na chakula chao na shopping dubai au paris??? napima kwanza,end result ya hiyo thread itakuwa nini...lol
You are beautiful Ashadii....!
mi sijaona maana hata housegirl wetu hayupo hivo
Muoga wa ngumi afu unataja taja majina ya mabaunsa wa jf, ukipigwa mie wala sikuamui.Mie nimesema toka mwanzo híi kitu. Wapi Eliza wa Tegeta?