Nawe bi shost na shungi lako hebu anza kuhesabu hatua!, mwenzio nina njaa balaa!Ndo umeshituka saa hz? Huyu anatoa watu povu bure hamna kitu hapa bana
Hahaha
Isn't a girl allowed to flaunt her beauty!?
Nawe bi shost na shungi lako hebu anza kuhesabu hatua!, mwenzio nina njaa balaa!
Twanga pepeta nnavyoipenda ntakunywa sumu juu yake!
Jirani, jirani yangu eeeh!
Nimekukosea nini!
Kila ninachokuomba jirani, mwenzangu wanikatalia!
unamuongopea mwenzio....mbona umekaa tu hapaNiko kona ya mwisho nakuja
Hongera..
ila si fresh kusema "wenye sura mbaya" ..
umetulia dada natamani nikukaribishe kwangu ila mama mwenye nyumba hataki wageni wa kike.
Radhia Sweety.... twende mbele turudi nyuma Kweli ni Mzuri....
Hongera kwa kujiamini Mrembo.... Raha jipe mwenyewe.
mmmh ana uzuri gani sasa?ana minyoo hadi kwenye puaradhia sweety.... Twende mbele turudi nyuma kweli ni mzuri....
Hongera kwa kujiamini mrembo.... Raha jipe mwenyewe.
unamuongopea mwenzio....mbona umekaa tu hapa
Mi napenda sana wanawake mnao wakubali wanawake wenzenu umeona wengine hapo juu wanavyo tokwa na mipovu
mmmh ana uzuri gani sasa?ana minyoo hadi kwenye pua
mmmh ana uzuri gani sasa?ana minyoo hadi kwenye pua
Mweeh twende zetu tukauguze wagonjwa ODM na Senator mie nimepona
kumbe je!! maana tunaweza kuwa wabaya kwake kwa wengine wazuri...lol!!
(ukikiona cha nini wenzio wajiuliza watakipata lini)
attach hiyo picha halafu Izoom, Hapo kwenye avator inaonekana kwa mbali sana..hivyo inakuwa ngumu mtu kujua ukweli uko wapi!Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
We mbona mchonganishi hv?