Hongera, nimefurahi kwa kusema wewe ni mrembo, nilidhani na wewe utachanganya Urembo na Uzuri.Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Una wivu kama umesusiwa mimba na mpiga debe
Wewe una maneno mengi kama umemmeza Mbwiga wa Mbwiguke. Weka sura yako watu washindanishe Miss JF.
Wewe una maneno mengi kama umemmeza Mbwiga wa Mbwiguke. Weka sura yako watu washindanishe Miss JF.
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
khaaa! Mbona mwamshambulia?
Wewe una maneno mengi kama umemmeza Mbwiga wa Mbwiguke. Weka sura yako watu washindanishe Miss JF.
Wewe una maneno mengi kama umemmeza Mbwiga wa Mbwiguke. Weka sura yako watu washindanishe Miss JF.
nilidhani ndo unakupa maisha mazuri kumbe ni kujiweka hadharani huku jf? so what?Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
Umiss ni mashindano ya kudhalilishana (waaay below my standards) hivyo siwezi shiriki.
nilidhani ndo unakupa maisha mazuri kumbe ni kujiweka hadharani huku jf? so what?
craaaaaaaaaaap
Haya basi weka picha yako ili watu waione tu. Babu limekushukaaaaaaaaaaaaaaaa
he! Kuna vita ya avator?
sidhani kama unaingia kwangu hata tukifanya 1/32wenye sura ngumu utawaona tu.
Waione ili iweje?
Umaarufu wa kulazimisha sio style yangu, SORRY.
Haya basi weka picha yako ili watu waione tu. Babu limekushukaaaaaaaaaaaaaaaa
sidhani kama unaingia kwangu hata tukifanya 1/32