FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
warembo mmeshapata lunch jamani..naona sreadi inaenda tu hambanduki hapa ooh kuna hatari ya kuunguza...Mimi ni kisura najitambua
Nna hamu ya kupigana na wewe.kw ahiyo nyie kwenu mnachukuaga house galz ambao wana sura mbaya?
Hehehehe!...bht akisoma hapa lazima ajinyonge...lol. Sante wifi.
Asante my lovely wifi mie mrembo sana tu
Hehehehe!...bht akisoma hapa lazima ajinyonge...lol. Sante wifi.
Mie nimeshiba ila DA bado hajakula. Anataka homa imrudie tumpelekee tena juice na matunda.warembo mmeshapata lunch jamani..naona sreadi inaenda tu hambanduki hapa ooh kuna hatari ya kuunguza...Mimi ni kisura najitambua
Nna hamu ya kupigana na wewe.
Na hii ndiyo post ambayo imeongea dadangu AshaDii.
In other words kama malengo ya Radhia ni attention (maybe from our brothers via pm) hajakosea kupost hii kitu? lol... hivo a means to an end.... hahahaha..... Utaniambia ukirusha siku hio niwe mtunza hazina.
Hapo in blue.... I am humbled.
Michelle happy to see you.... WELCOME back!
I'm watching,closely... (Nimemtafuta ugomvi kakako ili nitikise kibiriti hata sijampatia sababu. Usiponisifia kakako anakuwa single soon!!)
Dah!!!
Chezea ID mpya wewe!!!
watu wanakuja wamejipanga kabisaa.......wanakuja kuleta ujumbe halafu haooooo......wanaondoka zao,
wanawaacha mnapigana vikumbo...
like that!!!
Wapi GX mia bana............kama sura zingekuwa na model kama magari, kuna watu wangesema wao ni future model ya Nissan 2013, wakati ni mandolini 109.
Orait, tunaendelea kuangalia mchapano........
Migombani ili tukichoka tule ndizi...chagua ukumbi; migombani, stediumu, mchangani au wapi unataka wewe?
Radhia Sweety you beautiful Lady anaejikubali na kujitambua... Kama you are not committed...
"Will you marry my Brother? Pleeeease?"
warembo mmeshapata lunch jamani..naona sreadi inaenda tu hambanduki hapa ooh kuna hatari ya kuunguza...Mimi ni kisura najitambua
Hahaha....naibandika mda sio mrefu...afu kwa taarifa yako siku hizi miguu yangu imenyooka..Bee hanaga wivu wa kihiivo bana mbona unanisingizia wee 'hater'
halafu tangu asbh unapiga domo tu wala hubandiki picha yako ile umevaa masendeu na migubaja yako...lol
Ukitaka kujua speed ya lori, litwike mzigo wa binduki. Weeh ina maana huyarudi bado, changamkia tenda
Wivu sina, ila roho inauma beibeee!
Wanaponiona, mimi na sweetie wangu beibeee!
Radhia Sweety you beautiful Lady anaejikubali na kujitambua... Kama you are not committed...
"Will you marry my Brother? Pleeeease?"