Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Mwanamke najiamini kwa avatar ya ukweli

Status
Not open for further replies.
hahaha Kid sis are we looking at the same avatar? Sababu kama ndio hio kaweka hebu angalia pose, nywele, rangi ya ngozi, size ya mweli wake, pua, boobs.... She looks lovely....

Ukija kwa uwakilishi wake kusema kuhusu uzuri wake ndio tatizo lipo hapo.... Lakini at the end of the day ukiweka hasira pembeni, If indeed hapo alipo ndio Radhia mwenyewe... She is beautiful....

Wifi habari yako hv na wewe ni mzuri kama Radhia Sweet?
 
hahaha kid sis are we looking at the same avatar? Sababu kama ndio hio kaweka hebu angalia pose, nywele, rangi ya ngozi, size ya mweli wake, pua, boobs.... She looks lovely....

Ukija kwa uwakilishi wake kusema kuhusu uzuri wake ndio tatizo lipo hapo.... Lakini at the end of the day ukiweka hasira pembeni, if indeed hapo alipo ndio radhia mwenyewe... She is beautiful....
mi sijaona maana hata housegirl wetu hayupo hivo
 
hahaha Kid sis are we looking at the same avatar? Sababu kama ndio hio kaweka hebu angalia pose, nywele, rangi ya ngozi, size ya mweli wake, pua, boobs.... She looks lovely....

Ukija kwa uwakilishi wake kusema kuhusu uzuri wake ndio tatizo lipo hapo.... Lakini at the end of the day ukiweka hasira pembeni, If indeed hapo alipo ndio Radhia mwenyewe... She is beautiful....
me naungana na smile bwana...... unajua unajiangalia afu unasema amenizidi kweli mzuriii.
ss kama hajamzidi je afanyaje?....ndio maana smile anasema wa kawaida ss.
 
Wifi habari yako hv na wewe ni mzuri kama Radhia Sweet?



Oh' Wifi unfortunately mimi sio mzuri.... ila ni Mrembo na nina mvuto ile mbaya....lol :eyebrows:

Na kakako anavochanganikiwa akiniona yatosha kabisa hata kama sio mzuri.
 
usema ukweli nimemkubali ana shepu nzuri ..

Ila ye kusema "wenye sura mbaya" na wakati
hajawahi kuona mtu anaemuongelea si fresh kabisa..

hivi ''sura mbaya'' kwa mujibu wa nani kwanza?
Remmy mwenyewe alikuwa na wake ukiachilia mbali kushiriki mashindano ya "Mr. Sura Mbaya''

Nakubaliana kabisa na wewe na dnio maana mwisho wa siku 'It is not what you say but How you say it...'
 
Wifi kweli umepona... Mpaka umekua muuguzi... Maana kua muuguzi wa ODM yataka moyo... BTW Wifi nawewe ni mzuri kweli yaani.

Wifi nimepona uzuri niutoe wapi? Huoni naficha sura na ushungi?
 
Si vibaya kujisifia uzuri wako, ila unautumia kufanya nini na kwa maslahi ya nani zaidi yako...kuna wadada wazuri tu tunawaona kila kukicha wakifanya kazi za jamii,kusaidia watu,kuwapa watu moyo,kuchangisha fedha kwa ajili ya watu wenye uhitaji,huo ndo uzuri ninaotamani wasichana wengi tujivunie. Huu wa sura uwe ufunguo wa matendo mema,na yenye utukufu kwa Mungu aliyekuumba na si wa kuangalia asiye mzuri kama wewe...!!

NB: Lizzy wewe ni msichana mwenye uwezo mkubwa wa kujadili hoja nzuri na muhimu sana kwa jamii. Kuona kwamba umetumia muda mrefu hapa kunanipa shida...i know the beauty n strength in you, lets remain focused!! mshukuru pia Mungu kukuumba mzuri na kukupa moyo wa kupenda watu,kuheshimu wote, na kupenda kuwa sehemu ya kufanya maisha ya wenye uhitaji bora zaidi. Its the beauty you should be more proud than anything!

Radhia, hongera sana,u mzuri na mwenye mvuto sana,ni kweli wala sikejeli. Uthamini uzuri wako na usiutumie ku-show off,manake hata mashangingi na malaya wengi ni wazuri zaidi hata ya wewe,asset yao ni uzuri wao lakini mbele za wanadamu si kitu. Its how you use the beauty in you that matter most.
 
mi sijaona maana hata housegirl wetu hayupo hivo



On a Serous note: Kuna house gal nyumbani... Ni mzuri mno! Tumempiga marufuku kuenda sokoni kwa jinsi anavosumbuliwa na kulalamika.... Sidhan kama kua house gal ni kigezo cha kupima uzuri Kid sis.... Ila I can definately say one thing! "hapo ulipo wee mzuri kuliko Radhia"
 
Ukitaka kujua speed ya lori, litwike mzigo wa binduki. Weeh ina maana huyarudi bado, changamkia tenda
Wivu sina, ila roho inauma beibeee!
Wanaponiona, mimi na sweetie wangu beibeee!
haki ya nani wee, hebu tupa hiyo binduki tuyarudi kabisa....
 
Kudundana siwezi ila kupepeta mdomo huniwezi. Ukianza ngumi natimka Bayi cha mtoto
Kumbe wewe ni mwenzangu dam, dam...mie mdomo mrefu kama pua la Rejao ila ngumi kama makande na mgonjwa..
 
Oh' Wifi unfortunately mimi sio mzuri.... ila ni Mrembo na nina mvuto ile mbaya....lol :eyebrows:

Na kakako anavochanganikiwa akiniona yatosha kabisa hata kama sio mzuri.

Ukimtaja my bro siongezi neno nitaharibu. Najua ulivö na mvuto
 
me naungana na smile bwana...... unajua unajiangalia afu unasema amenizidi kweli mzuriii.
ss kama hajamzidi je afanyaje?....ndio maana smile anasema wa kawaida ss.



Hivi jamani tunabishana kwa ajili ya kubishana ama kuelezana ukweli?

Radhia ana ubaya gani hapo? Kweli kabisa.... Ni mzuri aisee... Labda sababu wasema "uzuri in the eyes of beholder"
 
Kudundana siwezi ila kupepeta mdomo huniwezi. Ukianza ngumi natimka Bayi cha mtoto

hahahaa basi tutakuwa tumekutana...na hivi hatulipii withholding tax wala VAT...tutalimana mpaka kukuche
 
Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........

Utakuwa unatafuta wachumba tu wewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom