Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
watu tumejenga bahari beach siku nyingi humu.wewe ndo unaamka kuja kuuza sura usiku huuwachimba chumvi wa JF kitawashuka mwaka huu. Halooooooooooo
watu tumejenga bahari beach siku nyingi humu.wewe ndo unaamka kuja kuuza sura usiku huuwachimba chumvi wa JF kitawashuka mwaka huu. Halooooooooooo
Safari njema. Endelea kufurahi...hii ndio jf bana lol.Natoka migombani jamani narudi mjini huu uzi ,unanifurahisha!
cheki mabega hanywi dadii kweli huyu? au wanzuki?
ana uzuri gani huyo amezeeka hadi anatoa mvuke
siyo kweli!uzuri wa mtu upo machoni kwa watu na si mtu!........uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu
Natunza comment yangu hadi niione hiyo avatar.
si ndo hayo vinywele viko vichache vinapukutuka.nadhani ana minyoo sana huyu mama.Hahahaa mi sijaona hata hiyo avatar inayojadiliwa.
Ila umenikumbusha wanywa gongo wanavyotembeaga mabega juu juu kama yameegeshwa.
Uione mara ngapi wewe? Au na wewe ndiyo walewale mliohamia kwenye magadi baada ya CaroLight kudunda
kuwajua vijuso na sura mihogo JF ni rahisi sana!!!anzisha thread kama hii uone UMOJA WA SURA MBAYA (U.S.M) wanavyopanic
si ndo hayo vinywele viko vichache vinapukutuka.nadhani ana minyoo sana huyu mama.
we ni wale wale hivi unaweza kujisifu mimi nina sura nzuri?kuwajua vijuso na sura mihogo JF ni rahisi sana!!!anzisha thread kama hii uone UMOJA WA SURA MBAYA (U.S.M) wanavyopanic
weeee hana jeuri iyo.bacteria na fangasi mtupumashine je?
kuwajua vijuso na sura mihogo JF ni rahisi sana!!!anzisha thread kama hii uone UMOJA WA SURA MBAYA (U.S.M) wanavyopanic
si ndo hayo vinywele viko vichache vinapukutuka.nadhani ana minyoo sana huyu mama.
we ni wale wale hivi unaweza kujisifu mimi nina sura nzuri?
dahh!! umenikuna!! sikua nimeiona hii post!!!! safiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
ila umechoka una hata kilo 20 kweli?Nywele za kitaliano+kigiriki+kichaga hizo babu. Yaani kuhusu nywele wala usithubutu kuongea.