Halafu eti wanawake tunalilia haki sawa na wanaume. Haki sawa itatoka wapi kama sisi wenyewe hatupendani? Mtu kama ni mzuri basi nipeni haki yangu.
na wewe si uweke hiyo sura basi wanaume waione. Aaaaarrrrrrrgggggh
Bora yenu mnaokubali maana kuna wengine wantoa povu tu bila sababuIf u think u ar too small to make an impact, try to be a mosquito.
RS umethubutu, umewezwa, unazidi kulisongesha, hongera mrembo!
Kwa uelewa wangu mdogo tu, mtu hajisifii, wanaomwona ndo wanamsifia....samahani Kama nimekukwaza!Najua kitawakera sana mashostito lakini kiufupi nimethubutu na nimeweza kutumia picha yangu halisi kama avatar yangu. Si kingine ila ni urembo wangu wa sura ulionifanya nijiweke hadharani kama nilivyo tofauti na vifidodido vinavyojipa majina makubwa lakini sura mbayaaaaa. Mwanamke kujiaminiiiiii.........
mabachelor changamkieni dili hilo
Daaaaaah,mkuu ulishakataliwaga nini, wanaume hatusemagi hivyo.Achana nae sweetie huyo anasura kavu kama anapuliza kijinga cha moto
Desperate moves are made by desperate people. . . i'm outta here.
Mke mwenza nilikuwa nakukumbuka sana, yaani usingepita hapa uache baraka zako nisingekuelewa..If u think u ar too small to make an impact, try to be a mosquito.
RS umethubutu, umewezwa, unazidi kulisongesha, hongera mrembo!
Daaaaaah,mkuu ulishakataliwaga nini, wanaume hatusemagi hivyo.
Weka wewe upate wa kukutongoza.
Kwa uelewa wangu mdogo tu, mtu hajisifii, wanaomwona ndo wanamsifia....samahani Kama nimekukwaza!
If u think u ar too small to make an impact, try to be a mosquito.
RS umethubutu, umewezwa, unazidi kulisongesha, hongera mrembo!
Sijui kama watarudi tena vishankupe. Umewamaliza shosti.
huna sura babuuuu.....makelele ya nini
weeee hana jeuri iyo.bacteria na fangasi mtupu
Weka picha mama, maneno mengi ya nini?maneno na tabia za mtu humfanya aonekane mbaya au mzuri machoni pa wengine
(kuna watu unatamani angefunga tu mdomo bila kuzungumza ili uendelee kumuona vile anavyoonekana, hamad ukasikia kauli zake loooh unasema hazijatoka kinywani mwa yule)