Kuna jamaa yangu alikuwepo hapo nasikia demu ni mzuri balaa,utafikiri ameshushwa kutoka mbinguni.Hizo nyodo zake huenda zimechangiwa na huo uzuri wake na hivyo vijisenti anavyohongwa na wazee wazito.Chezea papuchi za wanene zinakuwaga na nyodo mbaya.Ila askari nampa big up kubwa sana kwa weledi wake manake ameutungua ule mkono uliokuwa umeshika bastola na kisha kwenda kuichukua bastola ya huyo nyapu.
[HANA UZURI WOWOTE, TIPWATIPWA FULANI SANAMU LA MICHELIN HALIJULIKANI MBELE WA NYUMA KIUNO WALA MGONGO, LIKO KAMA MNYAMA FULANI USIOJULIKANA.]