Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Ahsante mkuu kwa taarifa,hizi pesa za ukubwani zina matatizo sana,ashukuru hajafa

....Angekufa asingejifunza. Na bado anapaswa kuhojiwa aeleze kwanini hakutii mamlaka halali. Hao ndio wale wanaosema kuwa serikali wameitia mfukoni.

Na iwe funzo kwa wengine.
 
Mama mmoja ambaye ni mfanyabiashara Arusha apigwa risas na polis akiwa bank CRDB
hapa jijin.Chanzo cha kupigwa hakijajulikana.
 
Ahsante mkuu kwa taarifa. Huyu mama kwa kweli hana busara na wala hana hekima, pesa unatakiwa utumie kwa matumizi halali si kuwatisha watu na kuvunja sheria za nchi. Pia utoaji wa silaha hasa kwa Arusha uangaliwe upya.
 
Askari huyo ni mpumba-vukabisa na kama wako wawili wote ni mbwa koko...kwa nini wamempiga kiprofeshno hivyo?mwanamke amekera huyo mpaka noma mi siwapendi polisi ila kwa hili wangempiga risasi tatu..baada ya mkono wangepiga ya goti la kulia na ankle ya kushoto awe mlemavu wa kujitakia mbwa huyo...sijaipenda adhabu waliyoitoa polisi hawa wajinga ilikuwa ndogo sana....isitoshe ni mwanamke kawaletea kiburi cha kishenzi wanaume...
ingekuwa ni mwanaume angestahili apigwe ya wapi? unaoneka na kaelement cha mfumo dume kuwashusaha wanawake si sawa.!!!!!!
 
ungeandikwa.... MWANAMKE BILIONEA APIGWA RISASI....,
 
Huyo mwanamke nadhan alitaka kuonyesha ubabe labda anajuana na viongozi wa juu wa serikali au watu maarufu sana labda hata wa polisi hivyo akapata kiburi cha hata kutaka kutishia polisi kwa bastola. umaarufu na nyodo vikitimika vibaya matokeo yake ndio hayo. Ona sasa ameshapata jeraha ambalo kalitafuta yeye mwenyewe tena kwa nguvu zote. Ulishaambiwa huruhusiwi kupaki gari hapo tena kwa ustaarabu bado unaleta jeuri, na kujibu mbovu naamini walichofanyiwa na polisi alistahili afanyiwe hivyo.
 
Atakuwa mke au hawara wa kigogo flani ndo akaamua kuleta za kibosibosi maeneo sio yake..

umenikumbusha kipind flan nilikuwa nafanya ujenz maeneo ya kijitonyama sasa gar la mchanga likaleta mchanga likamwaga sehem ya barabara. akaja mdada mmoja na gar yake akaanza kuwafokea wale mafundi na kuwauliza nani kawaambia mmwage mchanga hapa mara ooh mnajua mimi ninani? jamaa kimya dada akaendelea mnajua mnaongea nanani? wale mafundi wakasimama wote nikackia mmoja wao mkubwa anamjbu dada tunaomba ufitike ndan sekunde mbili mbele yetu, unatuuliza tunakujua wakat sisi wenyewe hatujijui tutakugeuza tope sasa hivi? au coz kuna akina komba wanakunanino huko nyuma ndio unatuletea nyodo sasa kama wewe unajipenda ongea tena. nilimwona dada wawatu mdogo mdogo kwenye gar akajiondokea mpaka namaliza ujenz hajawah fika pale na ni jiran tu wala sio wa mbal. wanawake na pesa ni nouma aisee.
 
Mwanamke mmoja amepigwa risasi ya mkononi kutokana na uzembe wake mwenyewe.

Mwanamke huyo alifika maeneo ya TRA ambako kuna tawi la CRDB - Mapato na kupaki gari eneo lisiloruhusiwa. Askari walimuelekeza eneo hilo haliruhusi kupaki gari lakini alikataa na kuingia ndani ya bank kwa ajili ya shughuli za bank anazozijua yeye.

Askari hao walimfuata tena ndani na kumwambia akatoe gari lakini mwanamke huyo kwa nyodo alimjibu askari huyo aachane nae.

Kuona hivyo askari walikwenda kutoa upepo kwenye matairi ya gari yake ili kama alikuwa na watu wengine wenye nia mbaya wahindwe kutekeleza mpango wao.

Yule mwanamke aliporudi na kukuta gari yake imetokewa upepo alliukiza watu na kuambiwa ni askari waliotoa upepo. Basi alikwenda moja kwa moja kwenye gari na kutoa bastola kisha akaenda kwa askari polisi waliopo huku akiwatisha atawaua. Katika hali ya taharuki yule mwanamke akakoki bunduki kwa lengo la kuitumia na ndipo askari akipomuhai risasi ya mkononi.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio mwanamke huyo hajulikani alipata wapi ujasiri wa aliyoyafanya.
nimemis sana chugga
 
nimepata taarifa ana kampuni ya Tours Viola midolari imempa bichwa pole zake kwa maumivu yakujitakia

Aaaaaah......kumbe ni Viola......shenzi type yake......kwa nini afande hakumfumua utumbo.......
 
Huyo mwanamke nadhan alitaka kuonyesha ubabe labda anajuana na viongozi wa juu wa serikali au watu maarufu sana labda hata wa polisi hivyo akapata kiburi cha hata kutaka kutishia polisi kwa bastola. umaarufu na nyodo vikitimika vibaya matokeo yake ndio hayo. Ona sasa ameshapata jeraha ambalo kalitafuta yeye mwenyewe tena kwa nguvu zote. Ulishaambiwa huruhusiwi kupaki gari hapo tena kwa ustaarabu bado unaleta jeuri, na kujibu mbovu naamini walichofanyiwa na polisi alistahili afanyiwe hivyo.

Aise mkuu upo......mdada ana nyodo sana huyo ingekuwa enzi za nyerere akipona anawekwa ndani na viboko 12 aubuhi na jioni anaweka serikali mfukoni!!!
 
Nimelike sababu umenichekesha ulivyo flip flop

Askari huyo ni mpumba-vukabisa na kama wako wawili wote ni mbwa koko...kwa nini wamempiga kiprofeshno hivyo?mwanamke amekera huyo mpaka noma mi siwapendi polisi ila kwa hili wangempiga risasi tatu..baada ya mkono wangepiga ya goti la kulia na ankle ya kushoto awe mlemavu wa kujitakia mbwa huyo...sijaipenda adhabu waliyoitoa polisi hawa wajinga ilikuwa ndogo sana....isitoshe ni mwanamke kawaletea kiburi cha kishenzi wanaume...
 
ubabe wa kijinga sana alitaka kuua huyo mjinga waacha wapigwe tuu serikali imechoka # pinda
 
Back
Top Bottom