Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
nimeshangaa leo watu wanavyomsifu askari, kumbe ni 2013
Yule alietumbuliwa bado anauguza majibu huyo vailoth mwenye taarifa zake je bado yuko ICUUnatukumbushaje mbali...huyu alikua kimada wa bosi wa mkoa aliyetumbuliwa kama jipu lililoiva
Kwani alikuwa upinzaniGood observation!! Sasa hivi kila kitu kinalazimishwa kuwa cha kisiasa au kuonewa kwa upinzani!!!
............Huyo mwanamke hana asili ya fedha na kazipata bila kuwa na asili nazo ndizo zinazomzuzua.
Alifikiri pesa ni kila kitu.
Ndo maana Wengi Mungu awapi utajiri anajua itawarahishia kifo,busara za soja ndo zimemfanya apumue hadi sasa,zaid ingekuwa ni story,Anadanga twn tu mana jamaa hela ilipokata akapigwa kibuti