Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,340
Mzee wa rula, ni kweli kabisa uyo mdada amepigwa risasi. Jana uyo mdada amepaki ktk eneo lisilo ruhusiwa,na leo kaja kapaki pale pale licha ya maaskari kumtahadharisha bila kukubali. Kawaida ktk mabenki kuna mlango wa kuingia na kutoka ambao hutumiwa na wafanyakaz wa benki kuingia na kutoka kazini,kadhalika ndo mlango pekee unaotumiwa ktk kuweka na kutoa pesa kupeleka benki kuu. Ktk jengo la tra arusha,mlango upo kushoto wa jengo. HAKUNA ANAYERUHUSIWA KUPAKI PALE.