Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Huyo mwanamke ni Gaidi. Anatoa silaha mbele ya askari.
 
picha yake tafadhali, tumwone ambaye ana mawazo mgando akidhani yuko juu ya sheria, tahadhari askari yule asije akaanza kudhuliwa kwa alilolifanya kwani ilikuwa self defence, tusijesikia hao askari wako lockup au wana mashtaka ya kijeshi, hiyo itawakatisha tamaa, nachelea kusema hivyo kulingana na mfumo wa kulindana ulivyo na kufanya askari wadogo kutokuwa thamani inapokuja suala la mwenyekipato kuwa na tofauti na askari wadogo kwa kisingizio cha wadau.
 
Teh teh teh....

Mabilionea wa Arusha bana...

naomba nikumbushe mkuu,ulisema unaishi wapi vile?? Hivi ulisema huko kwenu mpuuzi mmoja akifanya upuzi wake huwa munaupiga moto mji mzima? Mimi naamini arusha kuna watu wenye vipesa vyao na bado ni wastaarabu mno tu!! Usiwe kama mshamba wa huku kwetu NEW YORK.kwi kwi kwiiiiiiiiiiiii.
 
Kuna jamaa yangu alikuwepo hapo nasikia demu ni mzuri balaa,utafikiri ameshushwa kutoka mbinguni.Hizo nyodo zake huenda zimechangiwa na huo uzuri wake na hivyo vijisenti anavyohongwa na wazee wazito.Chezea papuchi za wanene zinakuwaga na nyodo mbaya.Ila askari nampa big up kubwa sana kwa weledi wake manake ameutungua ule mkono uliokuwa umeshika bastola na kisha kwenda kuichukua bastola ya huyo nyapu.

Hakuna cha uzuri. uzuri anauona yeye sisi tunamuona ni polygon tu.
 
Nilikuwa yale maeneo na Ashukuru Mungu kapigwa ya mkono ningekuwa mimi ndio yule askari ningemlamba risasi ya uso mjinga yule, Huwezi mtishia askari bastola bana alaaaa

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sipati picha hao majirani zake wanaishije na huyu mama, asifanye upuuzi huu Dar labda atembee na bullet proof muda wote.

Body without head
 
binafsi nampongeza askari huyo kwa ujasiri pengine huyu mwanamke angeleta madhara makubwa katika jamii iliyokuwa pale hili ni fundisho kwa watu wengine wanajifanya wajeuri wakiwa na bastola zao,
 
kazi nzuri afande .hii iwe fundisho ukiwa na bastola uwe unafuata miiko yake
 
Ni graduate toka Mt. Meru University

Tena week end hii ndyo alikuwa anatarajia kufanya graduation.. Undumila kuwili wa kimagamba umemponza mpaka anataka kujiona yupo juu ya sheria..ajifunze manina yke.
 
Huo ndiyo ulimbukeni wa hela, sikufanikiwa kupata namba ya gari lakini tukio hilo limewasikitisha wengi sana kwa jinsi mama huyo alivyoonesha kiburi.
Poa kabisa huyo Mama kabang yake ndio ilete jeuri kwa Askari aliyesota zamu, halafu yeye malipo yake atoke na ka-revolva
Safi sana
 
huyu itakuwa mmoja wa mabwana zake ni kigogo mkubwa serikalini ndio maana anajiamini namna hiyo....dawa yake angempa risasi ya kichwa
 
Kuna jamaa yangu alikuwepo hapo nasikia demu ni mzuri balaa,utafikiri ameshushwa kutoka mbinguni.Hizo nyodo zake huenda zimechangiwa na huo uzuri wake na hivyo vijisenti anavyohongwa na wazee wazito.Chezea papuchi za wanene zinakuwaga na nyodo mbaya.Ila askari nampa big up kubwa sana kwa weledi wake manake ameutungua ule mkono uliokuwa umeshika bastola na kisha kwenda kuichukua bastola ya huyo nyapu.

[HANA UZURI WOWOTE, TIPWATIPWA FULANI SANAMU LA MICHELIN HALIJULIKANI MBELE WA NYUMA KIUNO WALA MGONGO, LIKO KAMA MNYAMA FULANI USIOJULIKANA.]

wewe unamfahamu vizuri Viola......najaribu kutafuta picha yake nakosa.....ili wadau wajionee mwanamke mjinga anayetudhalilisha wana Chugga tulio na staha...........
 
Safi sana atandikwe 2 ujue hawa wanawake siku hizi wananyodo sana .
Wanaliwa kabang na kuhongwa pesa na kuanza kutusumbua bure hata mm huwa nawatamani sana

mkuu umetisha,hela za kutoa kabang zinawapa jeuri sana hawa viumbe
 
wewe unamfahamu vizuri Viola......najaribu kutafuta picha yake nakosa.....ili wadau wajionee mwanamke mjinga anayetudhalilisha wana Chugga tulio na staha...........

...tunaomba picha yake tafadhari!
TRABuilding.jpg

Eneo la TRA, jijini Arusha.
 
Back
Top Bottom