Makaro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 615
- 136
Labda ana uhusiano na MKUU WA MKOA maana wote kiburi ndio tabia yao, Huyo askari tunaomba wanaomfahamu iwapo litatokea lolote juu yake tuwekeeni hapa JF.
Kibogo,
Wewe shehee Yahaya nini! Haupo mbali kabisa. Kiburi alichokuwa nacho ni kwa ajili ya huyo mkuu wa kikoa. Kutoka kwenye gari hadi walipo askari ni mbali kidogo, kwa sababu analindwa na kiongozi huyo akaona anaweza kuwapiga bastola kabla wao hawajamgeuzia kipigo.
Ushauri wangu kwa Usalama wa Taifa, tuangalie watu tunaowapa bastola maana zinatumika kama visu siku hizi. Hata mkiwa kwenye ubishani wa mpira mtu anatoa bastola na kupiga ovyo!