Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,365
- 108,520
Sijui hata kama unajua ulichouliza!! Kujaribu kutoa una maana gani?!
Kama alipigwa risasi wakat anatoa utasema alijaribu kutoa au alitoa?!
Btw,yote ni makosa, kutoa ama kujaribu kutoa silaha, motive yake ni mbaya na inaalika kujihami! Hiyo ndiyo sheria!
Umesikiliza Kipindi cha Nipashe Radio One asubuhi ya leo tarehe 31/10/2013?
Kama utakuwa umesikiliza vyema taarifa iliyosomwa utaelewa kwa nini nimeuliza hayo maswali...