Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mkuu kwa hakika huyo askari alitumia busara sana vinginevyo kwa mazingira yale ilikuwa ya moto moyoni tu na kitu dondo chini. Ila itakuwa fundisho kwa huyu mwanamke bisho na kama ana familia basi atumike kuwaasa.

Bado ninajiuliza sana alipata wapi Confidence ya vile???? Ningelipenda sana kumfahamu ni nani yale mama. Askari wanalindwa na wana nguvu hata za kukuweka rumande hata kwa kosa la sura ya mtu kuonekana inahatarisha usalama. Kuna watuhumiwa wamekufa kwa kutaka kujaribu tu kutoroka kutoka chini ya ulinzi na walilengwa miguu lakini kwa bahati mbaya walipigwa vichwani, pia kuna hata kitu kinaitwa 'Friendly fire, huwa wanaumizana hata askari kwa askari katika ajali mbali mbali. Yule mama ana babati sana.
 
Ulitaka askari atumie manati?

Watu wanaleta masihala mpaka kwenye usalama wa raia na mali zao, jamaa alitaka polisi apambane na huyo mama kwa mikono ili baadae akiporwa silaha iwe issue nyingine tena, mjini kuna technique nyingi sana za kuiba mojawapo za kuanzisha bifu mtaani wakati watu wanashangaa ugomvi watu wanafanya mambo yao, je kama huyo mama alitumia technique ya ku-disturb saikolojia ya polisi ili aibe tutajuaje hapo?
 
Yeye mwenyewe hapo ameandika kwa udhu na adabu na ndio hakuoni,itakuwa askari na bunduki!!!! Eti anachukiwa,mkosa adabu anapendwa na nani????!!!

Jamaa alipagawa kidogo nadhani na yeye ni walewale, hakuna anaemwonea wivu bali assumtion za jeuri ya pesa lazima ziwepo maana polisi huwa hatishiwi hasa akiwa katika lindo na ndio maana wadau wakasema lazima kuna external force ambazo zimemfanya kuwa na jeuri ya kutaka kutoa silaha ambazo wengine walisema pesa na wengine jeuri ya kufahamiana na wakubwa
 
Jamani ndugu zangu Watanzania, tunahitaji kuongeza upana wa kuchanganua hoja. Huyu kapigwa kwa sababu ya kutoa silaha kwa nia ya kupambana na polisi wakiwa katika kazi halali.

Suala la pesa, kapata ukubwani mara limbukeni, mara kanbang, jamani linatoka wapi?
Unawezaje kuthibitisha kwamba ana hela ama hana? na zinahusianaje na reactions zake?
Je kama ni mgonjwa wa akili?

Tufike mahali tuwe na uwezo mpana zaidi wa kuchambua hoja badala ya kutoa matusi yenye mtazamo na mwelekeo wa wivu na chuki za matabaka zisizothibitishwa.

Nawakilisha.

Faizal usione nimeku attack. Nimetumia mchango wako kurespond hat kwenye comments nyingi zenye chuki bila uchambuzi ambazo ni nyingi tu. Nimekuchagua kwa sababu najua wewe ni mtu cool and utanielewa.

Mkuu hizo ni assumption tu maana siku zote mtu anapofanya kitendo ambacho si cha kawaida kuna mambo mengi yanakuwa nyuma yake hivyo basi kama vile wewe ulivyohoji huenda akawa na ugonjwa wa akili vivyo hivyo na wengine wakahoji huenda kuna external forces zilizomfanya afanye kitendo kile bila woga kwa either jeuri ya fedha au jeuri ya wakubwa flani wapo nyuma yake au alijua yeye ni maarufu kwa kila mtu hivyo watu watajitokeza kumsihi na kumpoza hasira zake mwisho wa siku polisi aonekane si chochote kwake.

Ukiona watu wanasema hivyo ni kwa kuwa matukio mengi ya kutoa silaha hadharani yanafanyika na watu wenye influence flani kwenye jamii esp siasa na fedha na mara nyingi huwa hawachukuliwi hatua pamoja na kwamba suala linakuwa limepelekwa mahala panapohusika, watu wa namna hii anaweza kukutolea silaha raia ukijihami na kumsukumia mbali silaha ikapotea utambambikiziwa kesi ya robbery kwamba umempora na kuondoka na silaha
 
Mkuu hizo ni assumption tu maana siku zote mtu anapofanya kitendo ambacho si cha kawaida kuna mambo mengi yanakuwa nyuma yake hivyo basi kama vile wewe ulivyohoji huenda akawa na ugonjwa wa akili vivyo hivyo na wengine wakahoji huenda kuna external forces zilizomfanya afanye kitendo kile bila woga kwa either jeuri ya fedha au jeuri ya wakubwa flani wapo nyuma yake au alijua yeye ni maarufu kwa kila mtu hivyo watu watajitokeza kumsihi na kumpoza hasira zake mwisho wa siku polisi aonekane si chochote kwake.

Ukiona watu wanasema hivyo ni kwa kuwa matukio mengi ya kutoa silaha hadharani yanafanyika na watu wenye influence flani kwenye jamii esp siasa na fedha na mara nyingi huwa hawachukuliwi hatua pamoja na kwamba suala linakuwa limepelekwa mahala panapohusika, watu wa namna hii anaweza kukutolea silaha raia ukijihami na kumsukumia mbali silaha ikapotea utambambikiziwa kesi ya robbery kwamba umempora na kuondoka na silaha

Mkubwa, ni dhahiri hata wewe hujanielewa. Mimi sijatoa assumption wala conclusion kwamba ni mgonjwa wa akili. Nilichokifanya, ni kuwauliza hao wanaoongea kwa jazba na uhakika bila hata chembe ya utashi wa kutafuta kujua undani wa jambo. Kwa kusema, hayo matusi yote, wanaweza kusema nini tena kama ikibainika huyo kafanya hayo kwa sababu tofauti na hizo, na pengine akawa ni mgonjwa wa akili?

Hapo sijasema ni mgojwa wa akili . Naomba ujaribu kuelewa kabla ya ku react.

Hata hivyo hoja yangu, ni kwamba tusikubali kudumaa na uzoefu wa tunayodhani tunayafahamu. Ni vyema sana kujitahidi kutafuta uelewa na kuona tofauati kati ya matukio yanayoweza kuwa yanfanana.

Ninachelea kusema namna hii hiii, ndiyo inayopelekea watu kuuliwa kwa jazba eti tu mtu katamka ni mwizi bila hata kujua kaiba, nini cha nani, kutoka wapi, na kiko wapi. Naendelea kutoa wito wangu wa mabadiliko katika uchambuzi na uchanganuzi wa hoja na matukio.

Salama lakini?
 
Tunamjuwa ni nani ndio maana tukaandika tuliyoandika. Wewe humjui.

Yawezekana kuna watu wachache sana hapa wanaoweza kunielewa. Naona unarudia yale yale ya uswahilini ya

Hivi unaweza kuthibitisha na kujiridhisha kwa namna gani yule mama simfaham eti wewe unamjua?

Unafahamu hata kilichoendelea nyuma ya pazia baada ya hilo tukio la hapo TRA? Anatibiwa wapi na nani anamhudumia na hali ikoje kwa ujumla?

Hata kama ni viwango, lakini ukijitahidi kutoa hoja zenye muelekeo wenye uhakiki, nadhani ni bora kwako na wadau wako pia.

Usiku mwema.
 
Mkuu hizo ni assumption tu maana siku zote mtu anapofanya kitendo ambacho si cha kawaida kuna mambo mengi yanakuwa nyuma yake hivyo basi kama vile wewe ulivyohoji huenda akawa na ugonjwa wa akili vivyo hivyo na wengine wakahoji huenda kuna external forces zilizomfanya afanye kitendo kile bila woga kwa either jeuri ya fedha au jeuri ya wakubwa flani wapo nyuma yake au alijua yeye ni maarufu kwa kila mtu hivyo watu watajitokeza kumsihi na kumpoza hasira zake mwisho wa siku polisi aonekane si chochote kwake.

Ukiona watu wanasema hivyo ni kwa kuwa matukio mengi ya kutoa silaha hadharani yanafanyika na watu wenye influence flani kwenye jamii esp siasa na fedha na mara nyingi huwa hawachukuliwi hatua pamoja na kwamba suala linakuwa limepelekwa mahala panapohusika, watu wa namna hii anaweza kukutolea silaha raia ukijihami na kumsukumia mbali silaha ikapotea utambambikiziwa kesi ya robbery kwamba umempora na kuondoka na silaha

Aaah dokta mbona unajisahau unamwaga hapa utetezi utakaotumika? We ungewaacha tu waendelee kubishana hayo mambo hakimu angekutana nayo mahakamani umeshaharibu sasa
 
Hali ya mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aliyepigwa risasi na polisi Arusha yabadilika, ahamishiwa ICU Hospitali ya Arusha Lutheran.
 
Hali ya mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aliyepigwa risasi na polisi Arusha yabadilika, ahamishiwa ICU Hospitali ya Arusha Lutheran.
kahamishiwa hapo lini? Hivi habari yote hii huyo mwanamke hamna picha?
 
Hivi maaskari wetu hawakufundishwa/hawafundishwi namna nyingine ya kupambana na hali ya hatari pasipo matumizi ya silaha za moto??

Yah nadhani hata siku ukija kukabwana vibaka au kuingiliwa na wezi usiku utatumia njia zingine kupambana nao pasipo kutumia silaha za hatari. Kweli kila mtu ana ubongo lakini ni wachahce wenye akili lol
 
Aaah dokta mbona unajisahau unamwaga hapa utetezi utakaotumika? We ungewaacha tu waendelee kubishana hayo mambo hakimu angekutana nayo mahakamani umeshaharibu sasa

Ngoja nisiendelee maana hili suala lipo mahakamani
 
Mkubwa, ni dhahiri hata wewe hujanielewa. Mimi sijatoa assumption wala conclusion kwamba ni mgonjwa wa akili. Nilichokifanya, ni kuwauliza hao wanaoongea kwa jazba na uhakika bila hata chembe ya utashi wa kutafuta kujua undani wa jambo. Kwa kusema, hayo matusi yote, wanaweza kusema nini tena kama ikibainika huyo kafanya hayo kwa sababu tofauti na hizo, na pengine akawa ni mgonjwa wa akili?

Hapo sijasema ni mgojwa wa akili . Naomba ujaribu kuelewa kabla ya ku react.

Hata hivyo hoja yangu, ni kwamba tusikubali kudumaa na uzoefu wa tunayodhani tunayafahamu. Ni vyema sana kujitahidi kutafuta uelewa na kuona tofauati kati ya matukio yanayoweza kuwa yanfanana.

Ninachelea kusema namna hii hiii, ndiyo inayopelekea watu kuuliwa kwa jazba eti tu mtu katamka ni mwizi bila hata kujua kaiba, nini cha nani, kutoka wapi, na kiko wapi. Naendelea kutoa wito wangu wa mabadiliko katika uchambuzi na uchanganuzi wa hoja na matukio.

Salama lakini?

Mkuu maandishi siku zote hutafsiriwa tofauti kutokana na kila mtu kuwa na perception yake na ndio maana kila mtu ana reaction tofauti, ni kweli unayosema mkuu though mambo yote yanawezekana katika Tz yetu ya leo ambayo neno ndugu lililotumiwa na kila mtu those days kuwa replaced na mheshimiwa na mwananchi wa kawaida, btw, asante kwa ufafanuzi huku salama kabisa.
 
Watu wanaleta masihala mpaka kwenye usalama wa raia na mali zao, jamaa alitaka polisi apambane na huyo mama kwa mikono ili baadae akiporwa silaha iwe issue nyingine tena, mjini kuna technique nyingi sana za kuiba mojawapo za kuanzisha bifu mtaani wakati watu wanashangaa ugomvi watu wanafanya mambo yao, je kama huyo mama alitumia technique ya ku-disturb saikolojia ya polisi ili aibe tutajuaje hapo?
. mimi nampa hongera na pongezi huyo polisi kwa hekima na busara aliyotumia katika kukabiliana na hili kwa sababu kama angekuwa na munkari wa kipolisi ama kijeshi yangemkuta mauti huyu mwanamama kwa kitendo alichokifanya lakini huyu askari akaona hakuna haja ni bora ajeruhi mkono ama mkono wa huyo mama ili ashindwe kupambana naye.lakini kwa matukio kama hili na mengine yanayofanana na hili ama Yale ya hata raia kushambuliana wenyewe kwa silaha serikali ilitakiwa kujifunza kupitia hayo kutathimini upya swala la kuruhusu raia kumiliki silaha.kwa mawazo yangu mimi nafikiri kwa usalama zaidi silaha zingemilikiwa na jeshi ambalo kazi yake ni kulinda raia na mali zake halafu raia asiruhusiwe kumiliki silaha na endapo raia atapatikana na silaha basi achukuliwe kama mhalifu, hii ingekuwa ni salama zaidi ya hivi ilivyo ya kwamba kila raia wenye nia mbaya ama nzuri bora awe na uwezo kifedha basi anamiliki silaha napata wasiwasi endapo itatokea virugu Tanzania kama zilivyowahi kutokea katika nchi majirani zetu itakuwa vigumu sana kwa serikali kudhibiti kutokana na silaha zilivyozagaa mikononi mwa raia,Nina hofu yatakuwa ni maangamizi silaha zimeshaingizwa mikononi mwa raia nyingi kupita kawaida.
 
Yawezekana kuna watu wachache sana hapa wanaoweza kunielewa. Naona unarudia yale yale ya uswahilini ya

Hivi unaweza kuthibitisha na kujiridhisha kwa namna gani yule mama simfaham eti wewe unamjua?

Unafahamu hata kilichoendelea nyuma ya pazia baada ya hilo tukio la hapo TRA? Anatibiwa wapi na nani anamhudumia na hali ikoje kwa ujumla?

Hata kama ni viwango, lakini ukijitahidi kutoa hoja zenye muelekeo wenye uhakiki, nadhani ni bora kwako na wadau wako pia.

Usiku mwema.

Violeth Mathias sasa alazwa ICU Na Mussa Juma, Mwananchi Posted Jumanne,Novemba5 2013 saa 24:0 AM KWA UFUPI “Ni kweli huyu mgonjwa yupo ICU, mimi nipo nje ya hospitali ila
kabla ya kuondoka nilimwacha akiwa katika chumba hicho
akipatiwa matibabu” Arusha.Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite,Vailet
Matias (37), Mkazi wa Njiro
Arusha aliyepigwa risasi na
polisi Oktoba 31 mwaka
huu mkoani Arusha,
amehamishiwa Chumba cha Wagonjwa Mahututi
(ICU) katika Hospitali ya
Arusha Lutheran Medical
Center inayomilikiwa na
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri
Tanzania (KKKT). Mfanyabiashara huyo
alipigwa risasi baada ya
kudaiwa kutaka kumpiga
risasi polisi aliyekuwa
lindoni, akitumia bastola
yake kutokana na malumbano ya maegesho
ya magari. Awali alikuwa
amelazwa katika Hospitali
ya Mkoa ya Mount Meru,
akiwa chini ya uangalizi
mkali. Kaimu Mkurugenzi wa
hospitali hiyo, Dk Paulo
Kisanga alisema jana kuwa
Vailet alihamishiwa
chumba cha wagonjwa
mahututi tangu juzi kutokana na hali yake
kuwa mbaya kutokana na jeraha. “Ni kweli huyu mgonjwa yupo ICU, mimi nipo nje ya hospitali ila kabla
ya kuondoka nilimwacha akiwa katika chumba hicho akipatiwa
matibabu” alisema Dk Kisanga. Taarifa ya Dk Kisanga ilitolewa wakati kukiwa na uvumi wa kufariki
kwa mfanyabiashara huyo, ambao jana ulisambaa katika maeneo
mbalimbali ya Jiji la Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema jana
kuwa alikuwa hana taarifa kamili za afya ya mgonjwa huyo. Alisema awali baada ya mfanyabiashara kuegesha gari hilo mbele ya
lango kuu la kuingia katika Tawi la Benki ya CRDB, alitakiwa kulitoa
na akagoma ndipo polisi walilitoa upepo na kwamba alipokuta
limetolewa upepo ndipo alipoanza kulumbana na polisi hadi
akapigwa risasi. Hata hivyo wakati mfanyabiashara huyo akiwa mahututi, uchunguzi
wa awali wa polisi unaonyesha kuwa bastola aliyotumia ni mali yake.

http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Violeth-Mathias-sasa-alazwa-ICU/-/1597296/2060348/-/o3nd09z/-/index.html
 
Back
Top Bottom