BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 576
Hakuwa Bilionea kweli? Maana Arusha ukimiliki Bastola we ni Billionea tayari.
tusubiri updates utasikia hilo la ubilionea ... ila nadhani wanangazi makumi, mamia , etc
Hakuwa Bilionea kweli? Maana Arusha ukimiliki Bastola we ni Billionea tayari.
Hakuwa Bilionea kweli? Maana Arusha ukimiliki Bastola we ni Billionea tayari.
Kwani bastola anashikia miguuni?? Kampiga mkono ambao ulishika bunduki.Huyo askari hajui miguu ilipo? Hana shabaha
Atakuwa mke au hawara wa kigogo flani ndo akaamua kuleta za kibosibosi maeneo sio yake..
kama umeotea vile,..nimetoka hapo punde tu_inasadikiwa ni chakula ya mzee wa jiji......mkuu wa kikoa
Life style ya Arusha ni ya kipekee
Labda ni bilionea
ishara nyingine kuwa wenye pesa wengi siku hizi wana na bastora huku tukisahau kuwa kiasi kikubwa cha pesa kiko mikononi mwa watu wasiostahili.Ahsante mkuu kwa taarifa,hizi pesa za ukubwani zina matatizo sana,ashukuru hajafa
Hivi maaskari wetu hawakufundishwa/hawafundishwi namna nyingine ya kupambana na hali ya hatari pasipo matumizi ya silaha za moto??
Kwani bastola anashikia miguuni?? Kampiga mkono ambao ulishika bunduki.
Inasemekana ni mke wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha!
Hivi maaskari wetu hawakufundishwa/hawafundishwi namna nyingine ya kupambana na hali ya hatari pasipo matumizi ya silaha za moto??