Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

huyo mwanamke achunguzwe kiundani kwani inaelekea ana vichembe chembe vya tabia za alshababu hv

huyo mwanamke amepata kiburi kutoka kwa mzee wetu wa 2015 .pesa zinamsumbua maana ana kampuni inaitwa viola
 
big up askari, maaskari wengine waige kutoka kwako, ila sio kupiga watu wasio na silaha
 
Nafurahia kuona kumbe askari wetu ni watu wazuri tu wasipotumika na maccm.....

Leo nimesikia radioni kuwa Polisi yetu TZ inaongoza kwa rushwa East Africa ikiwa imepasi kwa kiwango kikubwa na imepata Grade A ya 72.9%

"Dar es Salaam. Tanzania police force is the most corrupt entity among graft-ridden sectors in East African Community member states, according to a new report.

The police forces across the EAC region took the first five positions as the most bribery prone public outfits, with Tanzania's law enforcers scoring 72.9 per cent in bribery aggregation followed by Kenya (70.7 per cent), Burundi (64 per cent), Uganda (60 per cent) and Rwanda (54 per cent), according to East Africa Bribery Index (EABI) 2013 released yesterday in Dar es Salaam. The survey, conducted by Transparency International (TI) in collaboration with an NGO called Fordia in carrying out the study in Tanzania, concludes that the Police Force, the Judiciary and the tax collectors took the overall top positions as the most bribery prone."
 
Kama anafahamika tunaomba picha yake tafadhali tulinganishe mwonekano wake na tabia
 
Huyo mwanamke labda ni mwanajeshi(JWTZ), maana hawa jamaa kila waonapo polisi huwa wanataka kuonyesha ubabe hasa sehemu za wazi ambapo raia wanawaona.
 
Huyo mama kiburi sana gari yenyewe aliyopaki ni *CRESTA ya 1998,je angepaki Range ya 2013 kama ya Davis mosha ingekuwaje?

* No offense intended

«««««««««««««««««««««««»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»
Ukipata ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
«««««««««««««««««««««««»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»»
 
Mkubwa ukiona % kubwa ya wana JF wanaponda kitu basi ujue ni kweli haiwezekani tuanze kumponda askari aliyeweza kutuliza mahafa ya huyo mbulula viola vialeth mathias.
huyu vialeth ni huyu anauza wadada au hii business imempatia pesa si mchezo
 
Last edited by a moderator:
Inasemakana ni small house ya mzee wa"nitakutafuta kokote uendako" na ni msomi kwa level ya diploma hapo mmu na amempatia mtoto dume huyo boss. Nadhani kiburi kimetokana na kuwa hawara wa mheshimiwa nani atamtisha. Ila ana nyudo ni balaa!! Nyumba ndogo jamani kuweni wapole,.

small houseni majanga tu: kila sehemu zinapokuwa huwa zinataka zionekane tu, hata akiwa ndani ya chupa atahakikisha anatoa kidole nje ili watu wajue naye yupo. na ikibidi atahakikisha mpaka wife anajua kama na yeye yupo. huyo mzee wa "nitakutafuta koote uendapo" ndio nani?
 
Arusha wana ubabe wa kipuuzi sana matambo majivuno ujuaji na kiburi ya pesa ..pesa zako zako kwanini zisumbue wengine..waje dar kama ukiwa na milion vyako ..hutajulikana hata kata ya pili..ASKARI HUYU NI WA KUZAWADIWA KABISA..kutoa bunduki tuu ni nia ya mapambano ..unaongeza na kukoki? ..------mae ..

yani Arusha wana ubabe wa kishamba sana.. niliishi muda mfupi ila sikuupenda huo mji. Violence, matambo, majivuno, wanawake kwa wanaume. mbaya zaidi wengi wanaokaa huo mji wameizoea na wanaikubali hiyo hali. sorry wana AR najua sio wote mpo hivyo, ila huo mji visu na silaha nje nje na m2 akiwa na pesa na kutukana wenzie ndio anaonekana mjanja, anasifiwa mji mzima
 
Mkuu namna ilivyosimuliwa katika kipindi cha Nipashe (Radio One) inaonekana huyo mama alijaribu kutoa silaha lakini hakutoa...

Katika harakati za kutishia kutoa silaha ndipo akapigwa risasi ya begani.

Nipashe wamesimulia kwa mujibu wa mashuhuda walioona kisanga kizima.

Sasa upi ni ukweli mkuu, huyo mwanamama alitoa silaha au alijaribu kutoa silaha?

Sasa kama aliitoa au alitishia kutoa silaha, mbele ya askari na huku akiwa kakaidi amri halali ya kutoegesha gari eneo lisilostahili... We kwa maoni yako unaonaje? Pengine/Labda una maoni yanayoweza kupindua stori hii na kuwa "two-sided" ..
 
Huyo mwanamke hana asili ya fedha na kazipata bila kuwa na asili nazo ndizo zinazomzuzua.

Alifikiri pesa ni kila kitu.

Jamani ndugu zangu Watanzania, tunahitaji kuongeza upana wa kuchanganua hoja. Huyu kapigwa kwa sababu ya kutoa silaha kwa nia ya kupambana na polisi wakiwa katika kazi halali.

Suala la pesa, kapata ukubwani mara limbukeni, mara kanbang, jamani linatoka wapi?
Unawezaje kuthibitisha kwamba ana hela ama hana? na zinahusianaje na reactions zake?
Je kama ni mgonjwa wa akili?

Tufike mahali tuwe na uwezo mpana zaidi wa kuchambua hoja badala ya kutoa matusi yenye mtazamo na mwelekeo wa wivu na chuki za matabaka zisizothibitishwa.

Nawakilisha.

Faizal usione nimeku attack. Nimetumia mchango wako kurespond hat kwenye comments nyingi zenye chuki bila uchambuzi ambazo ni nyingi tu. Nimekuchagua kwa sababu najua wewe ni mtu cool and utanielewa.
 
Safi sana askari wetu. dawa ya jeuri kiburi. na iwe fundisho kwa wanawake wengine wenye dharau kwenye ofisi za watu wengine. hata kama wewe unfanya kazi ikulu usidharau ofisi ya mtu wengine hata siku 1
 
Mkuu namna ilivyosimuliwa katika kipindi cha Nipashe (Radio One) inaonekana huyo mama alijaribu kutoa silaha lakini hakutoa...

Katika harakati za kutishia kutoa silaha ndipo akapigwa risasi ya begani.

Nipashe wamesimulia kwa mujibu wa mashuhuda walioona kisanga kizima.

Sasa upi ni ukweli mkuu, huyo mwanamama alitoa silaha au alijaribu kutoa silaha?

Sijui hata kama unajua ulichouliza!! Kujaribu kutoa una maana gani?!

Kama alipigwa risasi wakat anatoa utasema alijaribu kutoa au alitoa?!

Btw,yote ni makosa, kutoa ama kujaribu kutoa silaha, motive yake ni mbaya na inaalika kujihami! Hiyo ndiyo sheria!
 
Back
Top Bottom