Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Sasa kama aliitoa au alitishia kutoa silaha, mbele ya askari na huku akiwa kakaidi amri halali ya kutoegesha gari eneo lisilostahili... We kwa maoni yako unaonaje? Pengine/Labda una maoni yanayoweza kupindua stori hii na kuwa "two-sided" ..

Mwanzoni nilipoisoma habari ya kaka mkubwa hapa, ni wazi kuwa mwanamama huyo alifanya kosa...(askari walikuwa wanajukumika)

Lakini niliposikiliza kipindi cha Nipashe na wao walieleza tu kuwa hakutoa silaha bali alipeleka mkono somewhere in attempt of reaching something(not revealed)...hapo akapigwa risasi ya bega na kuanguka.

Sasa wazee wa kupindua story wanaweza kuanzia hapo na pengine kudai alikuwa anaenda kuchukua simu etc...

Ndio maana nikajaribu kumdadisi mleta mada atueleze tena the authenticity ya story yake kwa kila kitendo
 
Angelivunja mguu askari angelikuwa hatarini kwani mwanamke alikoki maana yake aliingiza risasi katika sehemu inayoitwa chemba tayari kwa kuifyatua. Askari alikuwa na busara sana kumpiga mkono ili asidhuriwe na risasi. Katika mazingira ya aina hii ni rahisi sana mwanamke kuuwawa kwani katika kujihami chochote huweza kutokea hata kupigwa moyoni au kishwani na askari atabaki kuwa na haki.
Mkuu kwa hakika huyo askari alitumia busara sana vinginevyo kwa mazingira yale ilikuwa ya moto moyoni tu na kitu dondo chini. Ila itakuwa fundisho kwa huyu mwanamke bisho na kama ana familia basi atumike kuwaasa.
 
Askari wetu siku hizi bure kabisa hawajui kulenga shabaha mpaka tu kwenye mikutano ya chadema, huyu na yule wa Shekhe nimewadharau sana.
 
Uyu mwanamke inavyosemekan ni dem wa mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa mulugo,na bastola pia ni ya uyo mkuu wa mkoa! Chagonja embu tazama credibility ya viongozi wetu i.e mwenyekiti wa kamati ya usalama ya mkoa.SHAME ON YOU MAGESA MULUGO kama ni kweli!!na inawezekana ni kweli
 
Jamani ndugu zangu Watanzania, tunahitaji kuongeza upana wa kuchanganua hoja. Huyu kapigwa kwa sababu ya kutoa silaha kwa nia ya kupambana na polisi wakiwa katika kazi halali.

Suala la pesa, kapata ukubwani mara limbukeni, mara kanbang, jamani linatoka wapi?
Unawezaje kuthibitisha kwamba ana hela ama hana? na zinahusianaje na reactions zake?
Je kama ni mgonjwa wa akili?

Tufike mahali tuwe na uwezo mpana zaidi wa kuchambua hoja badala ya kutoa matusi yenye mtazamo na mwelekeo wa wivu na chuki za matabaka zisizothibitishwa.

Nawakilisha.

Faizal usione nimeku attack. Nimetumia mchango wako kurespond hat kwenye comments nyingi zenye chuki bila uchambuzi ambazo ni nyingi tu. Nimekuchagua kwa sababu najua wewe ni mtu cool and utanielewa.

Just imagine!yani nimesoma comment za watu nikahisi kabisa moyo unaumia.nikawaza ndo sbb kuna watu wanalink mtandao na mambo ya kishetani.

After all nani aliye mkamilifu.ivi kwa wale waaminio uwepo was Mungu ingetokea Mungu aamue ataonyesha negative side ya kila aliyemuhukumu huyo dada kwa dk 3 hapa jf sisi tunamuhukumu tungeangalia picha zetu??

Jamani ifike pahala hata kama una jambo unalodhania juu ya mtu utashi utawale na ukizangatia out of 100 yanayokuwa publicize 20 ndo ya kweli.

Am neither side of the parties but being here anonymous isiwe sbb ya kuandika nasty thing about people who can't reach us kimwili. Jamani maneno ni sumu kali kuliko ya ----.

Nawatakieni kheri
 
Hebu wekeni jina halisi la huyu chakula ya wakubwa. Yaani analeta mambo ya K kwa usalama wa benki zetu!!! Hana adabu kabisa huyu. Sasa huyo kigogo ampeleke nje akatibiwe. Yaani ningekuwa huyo askari ningemlima moja tu ya kichwa nakifumua chote.
 
Nimetingwa namajukumu mengine ila naomba kujuzwa mgonjwa (Vailet Mathias) anaendeleaje huko hospitali?
Nakutakia afya njema upone haraka. Bila shaka utakuwa raia mwema maana utakuwa umejifunza maambo ya dunia jinsi ilivyo.
 
Mwanzoni nilipoisoma habari ya kaka mkubwa hapa, ni wazi kuwa mwanamama huyo alifanya kosa...(askari walikuwa wanajukumika)

Lakini niliposikiliza kipindi cha Nipashe na wao walieleza tu kuwa hakutoa silaha bali alipeleka mkono somewhere in attempt of reaching something(not revealed)...hapo akapigwa risasi ya bega na kuanguka.

Sasa wazee wa kupindua story wanaweza kuanzia hapo na pengine kudai alikuwa anaenda kuchukua simu etc...

Ndio maana nikajaribu kumdadisi mleta mada atueleze tena the authenticity ya story yake kwa kila kitendo
Mbona ni silaha kabisa alichukua na akaikoki? Tena pistol yenyewe inamilikiwa na kigogo!!!! Hakika hana walioshuhudia ni kuwa altoa bastola. Sasa ninajua polisi wataficha jina la mmiliki kwa kuwa ni kigogo. Ingekuwa mimi hapa ungekuta wameshafika kunikamata kwa kosa la kuruhusu silaha yangu itumike na mtu asiye mmiliki. Tanzania hovyo hovyo na dhaifu na legelege tu. Ingekuwa nchi za wenzetu ungekuta kigogo ameshajiuzulu kwa kosa kubwa hili la silaha kumpa kimada.
 
Mwanamke mmoja amepigwa risasi ya mkononi kwa kujitakia mwenyewe.

Mwanamke huyo alifika maeneo ya TRA ambako kuna tawi la CRDB - Mapato na kupaki gari eneo lisiloruhusiwa. Askari walimuelekeza eneo hilo haliruhusi kupaki gari lakini alikataa na kuingia ndani ya bank kwa ajili ya shughuli za bank anazozijua yeye.

Askari hao walimfuata tena ndani na kumwambia akatoe gari lakini mwanamke huyo kwa nyodo alimjibu askari huyo aachane nae.

Kuona hivyo askari walikwenda kutoa upepo kwenye matairi ya gari yake ili kama alikuwa na watu wengine wenye nia mbaya washindwe kutekeleza mpango wao ukizingatia siku hizi matukio ya wizi wa mabanki yameshamiri.

Yule mwanamke aliporudi na kukuta gari yake imetolewa upepo aliuliza watu na kuambiwa ni askari waliotoa upepo. Basi alikwenda moja kwa moja kwenye gari na kutoa bastola kisha akaenda kwa askari polisi waliopo huku akiwatisha atawaua. Katika hali ya taharuki yule mwanamke akakoki bunduki kwa lengo la kuitumia na ndipo askari akipomuhai risasi ya mkononi.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio mwanamke huyo hajulikani alipata wapi ujasiri wa aliyoyafanya.

Gari likiwa chini ya ulinzi mkali wa mwera ,namba zake ni T 888 BWW aina ya Cresta , Mali ya Vaileth Mathias baada ya mwenye nalo "KUPIGWA NA MANATI YA WAZUNGU" hapo TRA Arushakutokana na kukaidi amri halali ya "WAPIGWE TU"
 

Attachments

  • GARI.jpg
    GARI.jpg
    58.4 KB · Views: 151
Jamani ndugu zangu Watanzania, tunahitaji kuongeza upana wa kuchanganua hoja. Huyu kapigwa kwa sababu ya kutoa silaha kwa nia ya kupambana na polisi wakiwa katika kazi halali.

Suala la pesa, kapata ukubwani mara limbukeni, mara kanbang, jamani linatoka wapi?
Unawezaje kuthibitisha kwamba ana hela ama hana? na zinahusianaje na reactions zake?
Je kama ni mgonjwa wa akili?

Tufike mahali tuwe na uwezo mpana zaidi wa kuchambua hoja badala ya kutoa matusi yenye mtazamo na mwelekeo wa wivu na chuki za matabaka zisizothibitishwa.

Nawakilisha.

Faizal usione nimeku attack. Nimetumia mchango wako kurespond hat kwenye comments nyingi zenye chuki bila uchambuzi ambazo ni nyingi tu. Nimekuchagua kwa sababu najua wewe ni mtu cool and utanielewa.


Poor analysis!!
 
Mkuu kwa hakika huyo askari alitumia busara sana vinginevyo kwa mazingira yale ilikuwa ya moto moyoni tu na kitu dondo chini. Ila itakuwa fundisho kwa huyu mwanamke bisho na kama ana familia basi atumike kuwaasa.
Mi nahisi askari alikuwa na lengo la kupiga ya kifua(MOYO) akakosea akipiga bega,
ni kama yule alieshindwa kumlenga shehe ponda tu. Huyo dada anatakiwa akafanye maombi na kutoa sadaka, manake alitakiwa kuwa marehemu sasa hivi.

ana bahati sana
 
Kosa langu ni kuuliza kwa kuoanisha habari au kutoandika kile unachotaka kusoma?

Kwa muhtasari nimeweka chanzo kingine na kumuuliza Mzee wa Rula kama kuna ukweli wa hilo nililolisikia.
Mimi ninachokifahamu ni kuwa yule mama alitoa bastola nabkuwafuata askari mahali walipo kuhu akiwambia kama mnaringia silaha na mimi ninayo kisha akakoki, inaonekana askari alishapeleka chemba muda mrefu basi alichokifanya ni kumpa moja kapuuuu na mama wa watu chini huku damu zikimvuja
 
Polisi wa siku hzi hawana shabaha angenikuta mimi ningempa za kichwa moja kwa moja hadi hicho kibrowning chake asingekikumbuka milele
 
Ushamba mwingne bana, yani mtu akiwa na kipistol anafikiria kwamba yuko mbingu ya 7 majuha kama huyu mwanamke ni wengi sana sana...na dawa yao sio kuwapiga bega mlime kwenye kichwa kabisa...
 
Back
Top Bottom