masanzu
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 605
- 219
Ahsante mkuu kwa taarifa,hizi pesa za ukubwani zina matatizo sana,ashukuru hajafa
ni kweli mkuu 100 kwa 100 naungana na wewe hivi vijisenti vya ukubwani vitatutoa roho
Ahsante mkuu kwa taarifa,hizi pesa za ukubwani zina matatizo sana,ashukuru hajafa
Violeth Mathias sasa alazwa ICU Na Mussa Juma, Mwananchi Posted Jumanne,Novemba5 2013 saa 24:0 AM KWA UFUPI Ni kweli huyu mgonjwa yupo ICU, mimi nipo nje ya hospitali ila
kabla ya kuondoka nilimwacha akiwa katika chumba hicho
akipatiwa matibabu Arusha.Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite,Vailet
Matias (37), Mkazi wa Njiro
Arusha aliyepigwa risasi na
polisi Oktoba 31 mwaka
huu mkoani Arusha,
amehamishiwa Chumba cha Wagonjwa Mahututi
(ICU) katika Hospitali ya
Arusha Lutheran Medical
Center inayomilikiwa na
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri
Tanzania (KKKT). Mfanyabiashara huyo
alipigwa risasi baada ya
kudaiwa kutaka kumpiga
risasi polisi aliyekuwa
lindoni, akitumia bastola
yake kutokana na malumbano ya maegesho
ya magari. Awali alikuwa
amelazwa katika Hospitali
ya Mkoa ya Mount Meru,
akiwa chini ya uangalizi
mkali. Kaimu Mkurugenzi wa
hospitali hiyo, Dk Paulo
Kisanga alisema jana kuwa
Vailet alihamishiwa
chumba cha wagonjwa
mahututi tangu juzi kutokana na hali yake
kuwa mbaya kutokana na jeraha. Ni kweli huyu mgonjwa yupo ICU, mimi nipo nje ya hospitali ila kabla
ya kuondoka nilimwacha akiwa katika chumba hicho akipatiwa
matibabu alisema Dk Kisanga. Taarifa ya Dk Kisanga ilitolewa wakati kukiwa na uvumi wa kufariki
kwa mfanyabiashara huyo, ambao jana ulisambaa katika maeneo
mbalimbali ya Jiji la Arusha. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema jana
kuwa alikuwa hana taarifa kamili za afya ya mgonjwa huyo. Alisema awali baada ya mfanyabiashara kuegesha gari hilo mbele ya
lango kuu la kuingia katika Tawi la Benki ya CRDB, alitakiwa kulitoa
na akagoma ndipo polisi walilitoa upepo na kwamba alipokuta
limetolewa upepo ndipo alipoanza kulumbana na polisi hadi
akapigwa risasi. Hata hivyo wakati mfanyabiashara huyo akiwa mahututi, uchunguzi
wa awali wa polisi unaonyesha kuwa bastola aliyotumia ni mali yake.
Violeth Mathias sasa alazwa ICU - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Huyo mama kama ni kweli atakuwa anamzalilisha RC ni bora sheria ichukue mkodo wake ili kama kuna vismall house vinatabia hiyo waacheMagesa Mlongo mkuu wa mkoa Arusha anatajwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamama aliyepigwa risasi jijini Arusha bank ya CRDB. Inadaiwa hata kiburi na jeuri aliyoonyesha mama huyo ilitokana na "kutoka" kwake na RC. Katika tukio hilo mama huyo aliingia na gari yake ndani ya viunga vya benki na kupaki eneo lisiloruhusiwa, mlinzi alimtaka aondoe gari lkn alikaidi ndipo mlinzi huyo alijulisha askari polisi. Alipotoka benki askari polisi walimsogelea kumhoji ndipo alichomoa bastola yake kitendo kilichopelekea askari kumuwahi kwa risasi wakidhani ni jambazi.
Ukaidi wa mama unajidhihirisha katika kauli zake na kitendo cha kutoa bastola ilhali hapakuwa na sababu yoyote ama mazingira ya kujihami kwa hatari yoyote
Saivi ana hali gani ktk jeraha lile na kiuchumi pia?Unatukumbushaje mbali...huyu alikua kimada wa bosi wa mkoa aliyetumbuliwa kama jipu lililoiva
Good observation!! Sasa hivi kila kitu kinalazimishwa kuwa cha kisiasa au kuonewa kwa upinzani!!!Ingawa uzi wa zamani ila nimeusoma tena .......sasa kilicho mtokea huyo mama kingelitokea kipindi hiki nawaza ingekuwaje maana wengi walikuwa upande wa askari lakini leo ingekuwa tuonane 26 april, poli ccm kazini , wametumwa kuwamaliza wapinzani na mengine ....
..TZ tunajua kutumika vizuri ....
Yuko twn cku hizi anauza kazi kma zamani ni mfuko wko tuUnatukumbushaje mbali...huyu alikua kimada wa bosi wa mkoa aliyetumbuliwa kama jipu lililoiva
Anadanga twn tu mana jamaa hela ilipokata akapigwa kibutiSaivi ana hali gani ktk jeraha lile na kiuchumi pia?
wafanyabiashara wa madawa ya kulevya; wezi wa fedha za miradi ya serikali; wafanyabiashara zote haramu; wanahasira sana na Serikali ya awamu hii.Ingawa uzi wa zamani ila nimeusoma tena .......sasa kilicho mtokea huyo mama kingelitokea kipindi hiki nawaza ingekuwaje maana wengi walikuwa upande wa askari lakini leo ingekuwa tuonane 26 april, poli ccm kazini , wametumwa kuwamaliza wapinzani na mengine ....
..TZ tunajua kutumika vizuri ....
Bado anaishi zile zama za, "unanijua mi nani?"Mwanamke ------- huyo!!! Wewe unajua askari ana silaha halafu unatoka na silaha unataka ukapambane naye?? Tena huyo askari hakufanya vema, angemtandika ya mguu auvunje kabia ili avae mguu wa bandia.