yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
Hiiii ije dar wengi wananyodo sana
huko hakuna smg..
Hiiii ije dar wengi wananyodo sana
Duh, kwa mara ya kwanza sijaona pointi ya kumponda askari huyo, wengi mmechukizwa na mmepongeza soja. Hii ntaiweka kwenye hansard zangu. Yaani JF kumsifia askari bila kumhusisha na CCM? This is new. Na huyo mwanamke lzm ana kesi ya kujibu na bunduki ndo ataisahau kuimiliki
huko hakuna smg..
One-sided story.
Labda kama uwe ni ndugu yake lakini huyo mama watu wanamfahamu kwa nyodo zake na katika yaliyoelezwa hakuna lililotiwa chumvi. Sasa wewe inafikiri alipigwa risasi kwa sababu gani???
Ni kweli kabisa hyo mwanamke jina tunalifadhi ni hawara wa mkuu wa mkoa arusha bwana magesa mulongo ndie anampa kiburi kujifanya yupo juu ya sheria.. Na hyo mwanamke alimaliza elimu yake mount meru university arusha..
Mkuu namna ilivyosimuliwa katika kipindi cha Nipashe (Radio One) inaonekana huyo mama alijaribu kutoa silaha lakini hakutoa...
Katika harakati za kutishia kutoa silaha ndipo akapigwa risasi ya begani.
Nipashe wamesimulia kwa mujibu wa mashuhuda walioona kisanga kizima.
Sasa upi ni ukweli mkuu, huyo mwanamama alitoa silaha au alijaribu kutoa silaha?
Mkuu namna ilivyosimuliwa katika kipindi cha Nipashe (Radio One) inaonekana huyo mama alijaribu kutoa silaha lakini hakutoa...
Katika harakati za kutishia kutoa silaha ndipo akapigwa risasi ya begani.
Nipashe wamesimulia kwa mujibu wa mashuhuda walioona kisanga kizima.
Sasa upi ni ukweli mkuu, huyo mwanamama alitoa silaha au alijaribu kutoa silaha?
Manina sana huyu... kumbe vihela vyenyewe anavipata baada ya kukojolewa manii na yule njegele Mulongo afu anawaletea nyodo vijana wetu wamekaa juani kikazi...! wallah angepigwa ya kiuno wamsambaratishe pelvic girdles tuone jeuri yake. Na li Mulongo lilivyo msukule litaanza kumfuatilia huyo askari. Inabidi tumpe counter-task kamanda Lema kufuatilia hatma ya huyo askari... hayanaga akili majitu yale... inapofikia suala la "K" akili zote zinahamia chini yanaanza kutumia kichwa cha chini kufikiria..Kumbuka "kaka yao" alichoifanyia Nguza family kisa K ya Sinza. Damn...
Una undugu na huyo Mmama? Nakuheshimu ujue Kaka Mkubwa??
Wamama kama hawa ndo wanatushusia heshima tunaonekana wote tuko hivyo risasi ya kichwa ndo ilikuwa halali yake huyu.......manina zake
Mkuu "ukweli" ni kuwa kachapwa risasi na watu wanaonekana kufurahia kwa jinsi walivyomchoka. Afu anaonekana mdogo tu.. kama ni graduate wa Mt. Meru University.. au awe amesoma akiwa mmama..
Another mistake kwa polisi. Mtu amekutolea bastola wewe unampiga mkononi ili iwejee?? Mpige kifuani then mbambikie kesi huyo mwanamama alitaka kukushut wewe ukamuwahi. Siku zote sipendi kuona umeamua kumpiga mtu risasi then unamwacha awe hai.