Mimi leo tu yamenikuta hapa mwanza. Nimeingia jana na ka duet na kuchukua chumba hotel moja maeneo ya Nyegezi. Leo jioni nikatoka na gari kutembea. Niliporudi nikakuta kuna noah hizi new model imepack getini kama inataka kuingia. Nikabaki nimesubiri nikadhani unaingia ndani kumbe hamna mtu. Kwa kuwa nilikuwa nimechoka, nikapaki gari yangu nje nikidhani kwamba pengine ni mteja anatafuta chumba. Nikaingia ndani kupumzika, saa tatu nikatoka nikakuta gari bado ipo. Nikawaambia walinzi wamtafute mhusika ili arudi nyuma aweke pembeni gari ili mimi nipack nilale. Kumbe hiyo gari ilikuwa ya mama mmoja anapata moja baridi moja moto. Walipomfuata mama alikuja juu kama mbogo aliyekoswa risasi mpaka nikaogopa. Nikawaambia wamwache, akitoka waje kuniita. Mpaka saa hizi bado nasubiri. Kwa hiyo hilo la arusha mi hata sishangai
Another mistake kwa polisi. Mtu amekutolea bastola wewe unampiga mkononi ili iwejee?? Mpige kifuani then mbambikie kesi huyo mwanamama alitaka kukushut wewe ukamuwahi. Siku zote sipendi kuona umeamua kumpiga mtu risasi then unamwacha awe hai.
Mwanamke mmoja amepigwa risasi ya mkononi kwa kujitakia mwenyewe.
Mwanamke huyo alifika maeneo ya TRA ambako kuna tawi la CRDB - Mapato na kupaki gari eneo lisiloruhusiwa. Askari walimuelekeza eneo hilo haliruhusi kupaki gari lakini alikataa na kuingia ndani ya bank kwa ajili ya shughuli za bank anazozijua yeye.
Askari hao walimfuata tena ndani na kumwambia akatoe gari lakini mwanamke huyo kwa nyodo alimjibu askari huyo aachane nae.
Kuona hivyo askari walikwenda kutoa upepo kwenye matairi ya gari yake ili kama alikuwa na watu wengine wenye nia mbaya washindwe kutekeleza mpango wao ukizingatia siku hizi matukio ya wizi wa mabanki yameshamiri.
Yule mwanamke aliporudi na kukuta gari yake imetolewa upepo aliuliza watu na kuambiwa ni askari waliotoa upepo. Basi alikwenda moja kwa moja kwenye gari na kutoa bastola kisha akaenda kwa askari polisi waliopo huku akiwatisha atawaua. Katika hali ya taharuki yule mwanamke akakoki bunduki kwa lengo la kuitumia na ndipo askari akipomuhai risasi ya mkononi.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio mwanamke huyo hajulikani alipata wapi ujasiri wa aliyoyafanya.
Mkuu namna ilivyosimuliwa katika kipindi cha Nipashe (Radio One) inaonekana huyo mama alijaribu kutoa silaha lakini hakutoa...
Katika harakati za kutishia kutoa silaha ndipo akapigwa risasi ya begani.
Nipashe wamesimulia kwa mujibu wa mashuhuda walioona kisanga kizima.
Sasa upi ni ukweli mkuu, huyo mwanamama alitoa silaha au alijaribu kutoa silaha?
Ni kweli ule mlango naufahamu haparuhusi kupaki gari yoyote labda iwe ya banki yenyewe.
C viola aliepigwa risasi n mdada mwingne bt kma vile police wanaficha wa2 kumjua.kuna ki2 hpo
Ni graduate toka Mt. Meru University
Mkuu namna ilivyosimuliwa katika kipindi cha Nipashe (Radio One) inaonekana huyo mama alijaribu kutoa silaha lakini hakutoa...
Katika harakati za kutishia kutoa silaha ndipo akapigwa risasi ya begani.
Nipashe wamesimulia kwa mujibu wa mashuhuda walioona kisanga kizima.
Sasa upi ni ukweli mkuu, huyo mwanamama alitoa silaha au alijaribu kutoa silaha?
![]()
Liberatius Sabas
Taarifa zilizotufikia hivi punde kutoka kwenye chanzo chetu cha habari Arusha, zinasema mama mmoja amepigwa risasi na polisi akiwa benki. Mama huyo aliyetambulika kwa jina la Vailet Mathias, Taarifa hii inasema mama huyo alikuwa amepaki gari katika eneo ambalo haliruhusiwi wateja kupaki gari maeneo hayo, lakini alipoambiwa na askari hao ya kwamba hatakiwi kupaki gari hapo, yeye alikaidi amri hiyo na kuamua kupaki na kuingia zake benki.
Kwa kufanya kitendo hicho inasadikiwa polisi waliamua kutoa upepo kwenye gari lake na kuliacha hapo hapo, na baada ya mama huyo kumaliza shughuli zake ndani ya benki ile anatoka akakuta moja ya tairi lake kwenye gari haina upepo na kuhisi moja kwa moja hao askari ndio walitoa upepo, mama huyo alipandwa na hasira na kuamua kutoa Bstola yake huku akiwaambia wale polisi kama na nyie mnajidai mna bunduki na mi nina bastola, kwa kitendo hicho inasadikiwa polisi hao ndio mmoja wapo akaamua kumfyatulia risasi mama huyo maeneo karibu na bega.
Taarifa hii imethibitishwa kutokea na kamanda wa polisi wa mkoa wa Arusha Bwana Liberatius Sabas, kwa mujibu wa kamanda, mama huyo yupo katika chumba cha upasuaji kwa ajili ya uangalizi na kuweza kuitoa risasi hiyo. Taarifa za awali pia zinasema mama huyo ni mfanya biashara wa madini, na mtoa habari alisema mama huyo ata jana alifika katika benki hiyo na kukaidi hivyo hivyo na kuleta maneno ya kejeli kwa askari waliokuwa zamu siku hiyo.
Taarifa zaidi tutawaletea pindi tutakapozipata.
Ishaanza kubadilishwa, kesho tutaambiwa hakuwa na silaha, alikuwa anatoa simu awapigie breakdown kuja kulivuta gari!!!!!
Habari za asubuhi bwana Sabas. Tunaomba uhakikishe kuwa askari wetu habugudhiwi na yuko salama.
"Hodihodi Seliani hospital. Violet Matias hujambo? Vipi umelalaje? wameshakutoa risasi? Nimekuletea uji utakunywa? Pole ndio ukubwa huo. kama wakishindwa kuitoa risasi tutamuomba daktari wakate tu mkono ili kuokoa maisha yako."
"Ugua pole, tukijaliwa tutakuja kukuona mchana"
Habari za asubuhi bwana Sabas. Tunaomba uhakikishe kuwa askari wetu habugudhiwi na yuko salama.
"Hodihodi Seliani hospital. Violet Matias hujambo? Vipi umelalaje? wameshakutoa risasi? Nimekuletea uji utakunywa? Pole ndio ukubwa huo. kama wakishindwa kuitoa risasi tutamuomba daktari wakate tu mkono ili kuokoa maisha yako."
"Ugua pole, tukijaliwa tutakuja kukuona mchana"
another mistake kwa polisi. Mtu amekutolea bastola wewe unampiga mkononi ili iwejee?? Mpige kifuani then mbambikie kesi huyo mwanamama alitaka kukushut wewe ukamuwahi. Siku zote sipendi kuona umeamua kumpiga mtu risasi then unamwacha awe hai.