Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Mwanamke mmoja apigwa risasi TRA jijini Arusha

Angemtandika risasi ya papuchi tu maana amezidisha dharau
 
Duh, kwa mara ya kwanza sijaona pointi ya kumponda askari huyo, wengi mmechukizwa na mmepongeza soja. Hii ntaiweka kwenye hansard zangu. Yaani JF kumsifia askari bila kumhusisha na CCM? This is new. Na huyo mwanamke lzm ana kesi ya kujibu na bunduki ndo ataisahau kuimiliki
 
Ni kweli wana jamiiforum, mwanamke aliyepigwa risasi leo hapo nje ya benk ya CRDB ni mke wa mkuu wa mkoa wa Arusha. Kaazi kwelikweli!!!

ha ha ha wewe wacha mambo yako. Unataka kusem ni jiko la Mh. Magesa Mulongo?
 
Usiombe ukutane na mdada aliyebahatisha kupata fedha ukubwani utajuuuta na apigwe tu.
 
Marekani huyo angeshakufa saa nyingi kabla hata ya Kuingiqa Benki maana unabishia parking umebeba mambomu au?
 
Duh, kwa mara ya kwanza sijaona pointi ya kumponda askari huyo, wengi mmechukizwa na mmepongeza soja. Hii ntaiweka kwenye hansard zangu. Yaani JF kumsifia askari bila kumhusisha na CCM? This is new. Na huyo mwanamke lzm ana kesi ya kujibu na bunduki ndo ataisahau kuimiliki

Mkubwa ukiona % kubwa ya wana JF wanaponda kitu basi ujue ni kweli haiwezekani tuanze kumponda askari aliyeweza kutuliza mahafa ya huyo mbulula viola vialeth mathias.
 
Last edited by a moderator:
Hao askari waungwana sana.nimeshuhudia nmb pale Mwanza jamaa mmoja akibishana na askari wawili wa FFU waliokuwa wakilinda pale na kumkunja mmoja wao akiwa na silaha Kipigo alichoshushiwa jamaa sitokaa nisahau!!
Vitako vya SMG vilitumika ipasavyo hadi kidogo waue!!
 
Hivi maaskari wetu hawakufundishwa/hawafundishwi namna nyingine ya kupambana na hali ya hatari pasipo matumizi ya silaha za moto??
We ni mse*** kabisa. Mtu kamfuata askari na silaha ya moto halafu ulitaka askari atumie makalio? ungeenda wewe ukaonyesha hizo mbinu zako unazozijua. Kuangalia movie za bruce lee vibandani kusikufanye uote ndoto za mchana we mbulula. Umenikera sana na hii comment yako. Shiiit.. Sijui unafikiri kwa kutumia ma------???!!! Mijitu mingine ya ajabu sana. Usije na comments zako za kifala bila kufikiri wakati mwingine. PAMBAF!!!!
 
Nafikiri ukuelewa nilichokiandika. Nimeuliza tu swali ambalo lingejibiwa kistaarabu, ila nashangaa umenishushia FUSO la Ma.tu.si! Nakusamehe bila garama.

We ni mse*** kabisa. Mtu kamfuata askari na silaha ya moto halafu ulitaka askari atumie makalio? ungeenda wewe ukaonyesha hizo mbinu zako unazozijua. Kuangalia movie za bruce lee vibandani kusikufanye uote ndoto za mchana we mbulula. Umenikera sana na hii comment yako. Shiiit.. Sijui unafikiri kwa kutumia ma------???!!! Mijitu mingine ya ajabu sana. Usije na comments zako za kifala bila kufikiri wakati mwingine. PAMBAF!!!!
 
unayo sema ni ya kweli nasikia amezaa na mkuu wa mkoa mmoja ndiyo inampa jeuri.lakini nadhani huyo askari angempa ya mguu ashindwe kutembea kabisa
Ya mguu ya nini? mi ningemfumua ubongo kabisa tuwapunguzie kero raia wengine mtaani.
tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia halafu huyo mbwa nae anakuja kuongeza ya kwake kisa ni kimada wa kigogo!!! PIGA TUU..
 
Nafikiri ukuelewa nilichokiandika. Nimeuliza tu swali ambalo lingejibiwa kistaarabu, ila nashangaa umenishushia FUSO la Ma.tu.si! Nakusamehe bila garama.
Siku nyingine utajifunza, kisha kufikiri kabla ya kuuliza. Swali lako halikuhitaji majibu ya kistaarabu kwa kuwa ulilenga kukosoa maamuzi yaliyofanywa na huyo askari...
Anyway na mimi pia nimekusamehe bure pia
 
Usiombe ukutane na mdada aliyebahatisha kupata fedha ukubwani utajuuuta na apigwe tu.

Mimi leo tu yamenikuta hapa mwanza. Nimeingia jana na ka duet na kuchukua chumba hotel moja maeneo ya Nyegezi. Leo jioni nikatoka na gari kutembea. Niliporudi nikakuta kuna noah hizi new model imepack getini kama inataka kuingia. Nikabaki nimesubiri nikadhani unaingia ndani kumbe hamna mtu. Kwa kuwa nilikuwa nimechoka, nikapaki gari yangu nje nikidhani kwamba pengine ni mteja anatafuta chumba. Nikaingia ndani kupumzika, saa tatu nikatoka nikakuta gari bado ipo. Nikawaambia walinzi wamtafute mhusika ili arudi nyuma aweke pembeni gari ili mimi nipack nilale. Kumbe hiyo gari ilikuwa ya mama mmoja anapata moja baridi moja moto. Walipomfuata mama alikuja juu kama mbogo aliyekoswa risasi mpaka nikaogopa. Nikawaambia wamwache, akitoka waje kuniita. Mpaka saa hizi bado nasubiri. Kwa hiyo hilo la arusha mi hata sishangai
 
Sasa unakataa kuwa mwanamke sio mwanaume au!!!!mlitokana na sisi ni mbavu moja tuu ilikuumba!!!!umesababisha maasi tangu dunia inaumbwa mpaka leo hii na bado haujifunzi tuu ujutie makosa yako....ndio nina mfumo dume kwa sababu bible na quran vinaniambia wanawake waongozwe na wanaume na wawe watiifu kwa waume!!!!basi kama vipi huyo mwanamke wangempiga risasi za hovyo hovyo amwagike utumbbo na sura waivuruge kama nyama buchani!!!
aya mkuu umeshinda
 
Back
Top Bottom