Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 12,817
- 21,581
HahhaahUsiwatafutie boda boda matatizo japo kiungo Cha mwanamke ni Mali yake
HahhaahUsiwatafutie boda boda matatizo japo kiungo Cha mwanamke ni Mali yake
porojo tupu ni lini wanawake wameanza kupenda kwani wanaotii ndio wanaopenda, mwanamke anaweza kua jambazi kuu na akakutii maisha hayafanani anayetafuta pesa ili apendwe mwache na uelekeo wake anayekaa kijiweni na wanamtii nakumuheshimu mwache aendelee kukaa kijiweni, wengine tubaki kula mtori nyama tutazikuta chini.
Umemaliza Kila kitu na ikibidi mjadala ungeishia hapaNkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".
Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Robert huwa sikubaliani na wewe kwa mambo mengi lakini kwa hili nakuunga mkono.Ni wanaume wajinga wanaowaza hivyo.
Mtu kufuata Pesa zako haimaanishi anakupenda.
Vijana watafute Pesa kwaajili ya Wake wanaowapenda. Wataiona Raha ya hii Dunia
Umalaya umeanza lini Faiza?Nkaushauri soma vitabu viwili (One Thousand and One nights} "Alf lela u lela" na "The perfumed Garden".
Ukisoma vitabu hivyo utaelewa kuwa mwanamke hawezi kukutii hata uwe mfalme unaemiliki kila kitu kama humchapi fimbo akachapika.
Kila mtu ana haki ya kupenda na kupendwa kwenye mapenzi. Ni ngumu sana kuishi na mke au mume humpendi. Akuheshimu tu kwani umekuwa baba yake au mama yake, au boss?Biblia hiyohiyo inasema amri kuu ni upendo, kwa hiyo hiii haiwahusu wanawake sio?
Asilimia kubwa ya wanajeshi huoa malaya sijajua nini sababuMa luteni kanali pale lugalo wake zao Bodaboda wanajilia tu
Ni kwasababu Jamaa mostly hamnazoAsilimia kubwa ya wanajeshi huoa malaya