Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Utopolo
 
Mmeanza propaganda za Polepole na Jiwe. Badilikeni. The world and Tanzania has moved on!
Mzungu hajawai kuwa rafiki kwa nyani , sio propaganda za Magufuri au Polepole , hao wazungu ndo wameichafua dunia , angalia walivyotaka kuichafua Ethiopia ( ila mungu mkubwa ) hao hao wazungu wameichafua Central Africa , Drc , Rwanda ( 1994) , Nigeria ( ilishikwa ndege ya kifaransa ina silaha na vyakula vikielekea misitu ya Sambisa walipo boko haram sijui Buhari alimalizaje lile sakata ) Libya sio siri unaelewa , Syria ( tunaona ufadhili wa mabeberu wa wazi wazi kwa Wakurdi na IS na kuwachonganisha ) Bro kwa kumaliza hapo kenye mwaka huu lile janga la Laikipia inasemekana kuwa walishoka bundukiza wale wafugaji kumbe ni wawindaji ( wale watalii kutoka ulaya , unajiuliza silaha zilifikaje mikoni mwa watu wasiojua hata kuvaa Gucci ) kiufupi ukisikia taarifa juu ya wazungu bro usichanganye na siasa , maana wazungu wanafanya hayo mambo na hupenda kuwatumia watu wenye njaa ya maisha ili kuwatumia kutafuta ushawiahi baina yetu kisha ndo wanaunda sintofahamu
 
Mnatubeba kwa kutujazia vikosi kila kipembe na ukifika uchaguzi mnakodi mpaka majeshi ya Burundi.

Wewe utakuwa ni mmoja wa hao Alshababu , ulijuaje ??

alshababu hajamuua mtu Zanzibar , nyinyi mumetuulia watu wetu kwa maelfu na kututia vilema
Niletee video ya mzanzibar anauawa na hayo majeshi unayotaja
 
Mnatubeba kwa kutujazia vikosi kila kipembe na ukifika uchaguzi mnakodi mpaka majeshi ya Burundi.

Wewe utakuwa ni mmoja wa hao Alshababu , ulijuaje ??

alshababu hajamuua mtu Zanzibar , nyinyi mumetuulia watu wetu kwa maelfu na kututia vilema
Pili niletee ushaidi wa uwepo wa majeshi ya burundi ndani ya Zanzibar kwa baraka za serikali ya muungano
 
Mzungu hajawai kuwa rafiki kwa nyani , sio propaganda za Magufuri au Polepole , hao wazungu ndo wameichafua dunia , angalia walivyotaka kuichafua Ethiopia ( ila mungu mkubwa ) hao hao wazungu wameichafua Central Africa , Drc , Rwanda ( 1994) , Nigeria ( ilishikwa ndege ya kifaransa ina silaha na vyakula vikielekea misitu ya Sambisa walipo boko haram sijui Buhari alimalizaje lile sakata ) Libya sio siri unaelewa , Syria ( tunaona ufadhili wa mabeberu wa wazi wazi kwa Wakurdi na IS na kuwachonganisha ) Bro kwa kumaliza hapo kenye mwaka huu lile janga la Laikipia inasemekana kuwa walishoka bundukiza wale wafugaji kumbe ni wawindaji ( wale watalii kutoka ulaya , unajiuliza silaha zilifikaje mikoni mwa watu wasiojua hata kuvaa Gucci ) kiufupi ukisikia taarifa juu ya wazungu bro usichanganye na siasa , maana wazungu wanafanya hayo mambo na hupenda kuwatumia watu wenye njaa ya maisha ili kuwatumia kutafuta ushawiahi baina yetu kisha ndo wanaunda sintofahamu
Tunapenda kulaumu wengine kwa matatizo yetu. Kuna kitu kinaitwa legitimacy. Watawala wetu wengi hawana legitimacy ndo mana wanafanya madudu Mwisho wa siku wanasingizia wengine. ntakuwa wa mwisho kuamini kwamba matatizo ya waafrica yanasababishwa na wazungu au mabeberu kwa lugha pendwa. Matatizo tunayasababisha sisi na Hatuna budi kuyatatua Wenyewe.
 
kuna mtu atakuja kujibu huu ujinga aliowajaza wajinga wengi hapa kwetu TZ, Mfano ni huyu mtoa maada ni zao la ujiinga huo
 
Tunapenda kulaumu wengine kwa matatizo yetu. Kuna kitu kinaitwa legitimacy. Watawala wetu wengi hawana legitimacy ndo mana wanafanya madudu Mwisho wa siku wanasingizia wengine. ntakuwa wa mwisho kuamini kwamba matatizo ya waafrica yanasababishwa na wazungu au mabeberu kwa lugha pendwa. Matatizo tunayasababisha sisi na Hatuna budi kuyatatua Wenyewe.
Tutoke nje ya mada na nkuulize kitu , tunamshutumu magufuri kwa mauaji ila kuna ushaidi wowote wa video au picha ya mauaji Magufuri kayafanya au Magufuri akiwatuma polisi au jeshi waende kuua ? ila hizi habari za Magufuri alikuwa muuaji zinatokea wap ? ukielewa nlichouliza ndo utaelewa sasa my point
 
Mbantu hanaga akili , yaan mzungu huyo unaemsifia ana malengo mabaya na watz wote ni sio ccm au mleta post , ila kwa upeo mdogo wa baadhi ya wabantu huwa wanajiundia divisions za kjnga na mzungu ana tumia advantage , GOD BLESS ETHIOPIANS hao ndo waafrika wenye utimamu wa akili , nchi nzima imeungana kuwaondoa wale vibaraka wa wazungu , ila kwa mbantu hili hutoliona zaid ya kusapoti adui na tunastukaga kumekucha
Sasa wewe nguruwe ndiyo umeongea nini ni bora mzungu kuliko nyie ngozi ya mkuundu ni lini mzungu ulishasikia hapa tanzania kesha mchinja kama kuku mtanzania au kampiga risasi mtanzania mchana kweupe au kaua kaweka kwenye viroba au kabambika kesi mwingine mbwa nyie hamna akili bora mzungu kuliko mkoloni mweusi mtanzania mccm mafi kabisa!
 
Tunazungumzia mwamko wa kujitambua , wa ethiopia hawakutawaliwa sababu walikuwa wanajielewa sio kama nyie kazi kusifia waarabu au wakristu kazi kutetea wazungu ( bado watumwa kiakili huezi kutufananisha na wa ethiopia ) , Angalia juzi wamefanya maandamano ulaya huko juu ya kuvionya vyombo vya habari vinavyochochea mgogoro wao , huko ndo kujielewa sio nyinyi mnatetea mtu ambae ni tishio kwa usalama wa ukanda wetu wote huu , siku tz ikiingia machafukoni basi jua burundi na congo plus rwanda hawatabaki salama maana hii itakuwa kichochoro cha kuingizia silaha na hata wapiganaji wa maeneo ya landlocked countries na ndio maana tumewindwa sana tangu uongozi wa Magu , ila kwa vile hatujielewi basi tunahis hao wazungu wanatupenda sana Upinzani , tuamke jamani tofauti zetu isiwe kichochoru cha mafanikio ya mtu mwingine tujifunze kwa somalia , libya na Syria walidanganywa kuwa wanasaidiwa kuondoa tawala zao eti ni za kibabe ( bila ushaidi yaan propaganda tu ) ila baadae wanakuja kuona hao wasaidiaji wamejikita kwenye wizi wa maliasili na sio kuwasaidia raia na kibaya unakuta hali ni mbaya kuliko kipindi cha utawala wa yule muliomuita mbaya ila ndo mmekosea na hamuezi tena rekebisha makosa mpaka wahamue wao wazungu

Sisi hatuhitaji kujitambua Na mambo ya Somalia ,huyo Baba yenu Nyerere baada ya kuwekwa madarakani Na waingereza alipewa kibarua cha kuivamia Zanzibar Na kutuuwa kwa maelfu kwa kisingizio cha uarabu. Na mpaka Leo mumetujazia majeshi Na vikosi vya usalama Kama tuko vitani. Halafu unaleta mambo ya eti mjerumani. Kwanza acheni udhalimu wenu hapa Zanzibar, Ondokeni msituletee Siasa Za kudanganyana.
 
Sisi hatuhitaji kujitambua Na mambo ya Somalia ,huyo Baba yenu Nyerere baada ya kuwekwa madarakani Na waingereza alipewa kibarua cha kuivamia Zanzibar Na kutuuwa kwa maelfu kwa kisingizio cha uarabu. Na mpaka Leo mumetujazia majeshi Na vikosi vya usalama Kama tuko vitani. Halafu unaleta mambo ya eti mjerumani. Kwanza acheni udhalimu wenu hapa Zanzibar, Ondokeni msituletee Siasa Za kudanganyana.
Mkuu punguza utoto basi , kabla ya Muungano mliua waarabu video zipo , Nyerere kaiunganisha Zanzibar na Bara ndo ukawa mwisho wa mauaji Visiwani , mpk leo zipo chuki cha chini kwa chini kati ya waunguja na wapemba , muungano ndo unalificha hilo
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Mbona una jianyaga?au ume banwa na gogo?
 
Utoto unaleta wewe ,yaani majeshi yanafyatua risasi kuuwa watu ,Mimi niende mbele Na camera yangu nirikodi
Lini majeshi yaliingia mtaani kuua watu lete ushaidi , usije ukawa wakala wa vikundi vya kihuni kueneza propaganda za kuzichafua serikali zetu
 
Mkuu punguza utoto basi , kabla ya Muungano mliua waarabu video zipo , Nyerere kaiunganisha Zanzibar na Bara ndo ukawa mwisho wa mauaji Visiwani , mpk leo zipo chuki cha chini kwa chini kati ya waunguja na wapemba , muungano ndo unalificha hilo

Ndivyo ulivyodanganywa hapo Lumumba?

Hivi hujui kuwa Nyerere alipinduliwa Na wanajeshi Na Uingereza ndiyo iliyomweka madarakani. Kwa kurudishwa kwake akawa kibaraka wa Uingereza? Na kazi ya kwanza aliyopewa ni kuivamia Zanzibar Na kuweka jeshi.
 
Back
Top Bottom