Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Huyu aweke kwenye Immigration list ya watu wanaozuiliwa kuingia bongo, akifika tu anarudishwa kwao
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Yuko sahihi kutoa mawazo yake. Nani haoni (isipokuwa wewe) yanayotokea hapa kwetu kisiasa?
 
Sijakuelewa unamaanisha nn
Tulipozuia bidhaa kwenda Kenya ulishangilia Leo tumeondoa vizuizi niliona unashangilia.
Tulipowaita mabeberu ulishangilia Leo tumefuta ubeberu niliona umeshangilia
Makomdo walipofutwa KAZI ulishangilia Leo wanasema ukweli unashangilia. Kama una uchungu na walichofanya wajerumani kwanini pia usijifunze kuwa na uchungu na wanachopitia akina adamoo.

Mwisho unapoandika mada tambua unaandikia wenye akili timamu siyo akili zakushikiwa na maisha yakukariri fikra za mwenyekiti.

Ninyi ndo mnatufanya tusiajiriwe
Tatizo la mcallister ni rafiki wa T Lisu na ni mtetezi wa mashoga ssa huend jama amemuogopa kama atataka hizo haki hapa Tanznia.
 
Pinga hoja zake. Ukianza na wewe kumchafua kibinafsi basi inamaanisha hoja zake umeshindwa kujibu. Kumuita mtu beberu, shoga, muongo, n.k halafu hoja zake hujibu moja kwa moja hakusaidii kwenye dunia ya leo. Inawezekana kweli huyu mtu ni beberu, shoga aliyejaa uongo lakini hoja aliyotoa bungeni ina mshiko. Ajibiwe kwa hoja naye.
Hawanaga hoja hawa mkuu
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Simply put; Akili yako haina Akili, period!
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928

davidmcallister
@davidmcallister

I am deeply concerned over the human rights situation and the shrinking of civic space in
Flag of Tanzania
#Tanzania. Since 2015, the country has been sliding towards an authoritarian regime.
@EP_ForeignAff
will continue to closely follow the situation in Tanzania.

4:58 PM · Dec 1, 2021·Twitter Web App

321
Retweets
37
Quote Tweets
1,120
Likes





BITURO PASCHAL KAZER
Tweet your reply


Reply






·
3m

Replying to
@davidmcallister
and
@EP_ForeignAff
DJ McAllister it is not difficult for us to understand your so cold deep concern over human right situation in Tanzania because of your relationship with CHADEMA which is a sister party to yours CDU. You should not use EU Parliament forum to advance your ego-that is abusive
 

davidmcallister
@davidmcallister

I am deeply concerned over the human rights situation and the shrinking of civic space in
Flag of Tanzania
#Tanzania. Since 2015, the country has been sliding towards an authoritarian regime.
@EP_ForeignAff
will continue to closely follow the situation in Tanzania.

4:58 PM · Dec 1, 2021·Twitter Web App

321
Retweets
37
Quote Tweets
1,120
Likes





BITURO PASCHAL KAZER
Tweet your reply


Reply






·
3m

Replying to
@davidmcallister
and
@EP_ForeignAff
DJ McAllister it is not difficult for us to understand your so cold deep concern over human right situation in Tanzania because of your relationship with CHADEMA which is a sister party to yours CDU. You should not use EU Parliament forum to advance your ego-that is abusive


ndiyo majibu hayo , akili za ma CCM ziko makalioni. Yaani kwa kuwa ni chama rafiki wa Chadema ndiyo hoja zimejibiwa hapo
 
ndiyo majibu hayo , akili za ma CCM ziko makalioni. Yaani kwa kuwa ni chama rafiki wa Chadema ndiyo hoja zimejibiwa hapo
Mbona sioni hoja za kujibu hapo. Naona kuna mgongano wa kimaslahi pale Bunge la Ulaya linapogeuzwa kuwa uwanja wa kupigania maslahi ya vyama.
 
Sijakuelewa unamaanisha nn
Tulipozuia bidhaa kwenda Kenya ulishangilia Leo tumeondoa vizuizi niliona unashangilia.
Tulipowaita mabeberu ulishangilia Leo tumefuta ubeberu niliona umeshangilia
Makomdo walipofutwa KAZI ulishangilia Leo wanasema ukweli unashangilia. Kama una uchungu na walichofanya wajerumani kwanini pia usijifunze kuwa na uchungu na wanachopitia akina adamoo.

Mwisho unapoandika mada tambua unaandikia wenye akili timamu siyo akili zakushikiwa na maisha yakukariri fikra za mwenyekiti.

Ninyi ndo mnatufanya tusiajiriwe
Machadema akili zenu sawa na za ng'ombe
 
Mbona sioni hoja za kujibu hapo. Naona kuna mgongano wa kimaslahi pale Bunge la Ulaya linapogeuzwa kuwa uwanja wa kupigania maslahi ya vyama.

Yaani kama vile Mbowe hayuko ndani , kwa tuhuma za kubambikizwa na kama vile uchaguzi uliopita ulienda sawa tu

Kiasi usione hoja yoyote, akili zenu mnazijua wenyewe ziko wapi
 
Yaani kama vile Mbowe hayuko ndani , kwa tuhuma za kubambikizwa na kama vile uchaguzi uliopita ulienda sawa tu

Kiasi usione hoja yoyote
Wewe uliona makosa yoyote? Mbowe anatuhuma mwache azijibu kwa kusaidiwa na viongozi wengine wa CHADEMA maana CHADEMA ndiyo Mbowe na Mbowe ndiye CHADEMA
 
Wewe uliona makosa yoyote? Mbowe anatuhuma mwache azijibu kwa kusaidiwa na viongozi wengine wa CHADEMA maana CHADEMA ndiyo Mbowe na Mbowe ndiye CHADEMA

Wale majeshi na vyombo vyengine vya dola waliokuwa wakipiga watu na kusindikiza masanduku ya kura feki wewe hukuwaona wala kusikia? au na wewe uliwekwa kwenye madaraka na vyombo vya dola? Na vipi wale watu waliouliwa na waliotiwa vilema au hakuna jamaa zako humo ??
 
Wewe uliona makosa yoyote? Mbowe anatuhuma mwache azijibu kwa kusaidiwa na viongozi wengine wa CHADEMA maana CHADEMA ndiyo Mbowe na Mbowe ndiye CHADEMA


Hata uamsho walikuwa na tuhuma hizo hizo , baada miaka 9 ndani mbona mliwatoa au muwatese watu tu ?
 
Back
Top Bottom