Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

Hoja yako ni dhaifu sana mkuu, jamaa anazungumzia juu ya Democracy ya Tanzania. ilivyo weak kulingana mazingira iliopo sasa ya kesi inayomsibu mbowe..,Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kama mmeshindwa kuinganisha tuu, Tanzania utawezaje kuiunganisha Africa ... inferiority complex...
Hilo neno demokrasia ndio lililotumika kusambaratisha Libya na Arab countries
 
Hilo neno demokrasia ndio lililotumika kusambaratisha Libya na Arab countries

Mbona Mauritius, Botswana, Seychelles, Zambia, Namibia hazijasambaratika na demokrasia yao wanaifuata?? na uchumi wa hizo nchi ni mzuri tu ?? Sisi hata huu utaratibu waliojitungia wenyewe CCM hawaufuati na hawataki kuufuata , Wanatumia jeshi na vyombo vyengina vya dola kuuwa watu ili kubakia madarakani
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
What an idiot. Propaganda ya kipumbavu kabisa hii! Hivi mnafikiri Watanzania bado tuko enzi za "zidumu fikra" ee? Endeleeni kudhulumu kura, kuteka watu, na kupoteza watu, lakini tambueni kwamba mwisho wenu uko karibu sana nyama nyie.
 
Jibu hoja alizoziibua huyo bwana badala ya kuanza kuchambua personality yake...
 
Wale majeshi na vyombo vyengine vya dola waliokuwa wakipiga watu na kusindikiza masanduku ya kura feki wewe hukuwaona wala kusikia? au na wewe uliwekwa kwenye madaraka na vyombo vya dola? Na vipi wale watu waliouliwa na waliotiwa vilema au hakuna jamaa zako humo ??
Kwa hiyo suluhu ni bunge la EU?
 
Anaafadhari nyani,kuliko mtanzania.
Sisi ni sawa na mavi ya binaadam mbele ya watawala wa ccm.
Huko tuendako waroma watamtangaza nyerere kuwa mtakatifu au mwenyeheri lakini watanzania tutakuwa tunamlaani kwa kutufanya watumwa wa ccm ndani ya nchi yetu wenyewe

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app

Nyerere alipinduliwa Na wanajeshi Na waliomrudisha madarakani ni waingereza , kuanzia hapo alikuwa kibaraka wao tu
 
What an idiot. Propaganda ya kipumbavu kabisa hii! Hivi mnafikiri Watanzania bado tuko enzi za "zidumu fikra" ee? Endeleeni kudhulumu kura, kuteka watu, na kupoteza watu, lakini tambueni kwamba mwisho wenu uko karibu sana nyama nyie.
Kama aliyeshitakiwa ni Mbowe halafu CHADEMA wote wanaona hiyo ni kesi yao, wanajaa mahakamani kuanzia saa 11 alfajiri hiyo ni zaidi ya zidumu fikra. Kizazi chenu hiki ni bure kabisa si sawa na kizazi cha mke wa Mbowe ambaye anaendelea na majukumu yake.
Yaani Mbowe kawateka kuliko hata wale mitume 12 wa Yesu maana wele 12 alipokamatwa Yesu tu wakaenda zao wakamuacha Yesu peke yake ahangaike na yake ili maandiko yatimie.
Mbowe ni Gaidi walau kwa kiwango cha tuhuma.
 
Kama aliyeshitakiwa ni Mbowe halafu CHADEMA wote wanaona hiyo ni kesi yao, wanajaa mahakamani kuanzia saa 11 alfajiri hiyo ni zaidi ya zidumu fikra. Kizazi chenu hiki ni bure kabisa si sawa na kizazi cha mke wa Mbowe ambaye anaendelea na majukumu yake.
Yaani Mbowe kawateka kuliko hata wale mitume 12 wa Yesu maana wele 12 alipokamatwa Yesu tu wakaenda zao wakamuacha Yesu peke yake ahangaike na yake ili maandiko yatimie.
Mbowe ni Gaidi walau kwa kiwango cha tuhuma.

Nani kawasha mwenge mara hii ?? Ulishatoa pesa za mchango wa mafuta ya mwenge ??
 
Back
Top Bottom